Huu ni ujumbe toka kwa sauti ya mtu aliyae nyikani. Baada ya kulimia meno for 5 yrs Safari hii mtalimia kucha tabia ya mtu ni ngozi, furaha yake ni kuona machozi ya watu wakilia. Kuna watu Kama wakipewa haki ya kugawa pumzi duniani Wallah hakuna ambae angebaki duniani.
Kama Kimara waliobomolewa nyumba zao kosa lao kubwa ni kuchagua upinzani, Kama watumishi wa umma wameshughulikiwa haswaa kwa hisia tu walimchagua Lowasa wakinyimwa haki zao kimakusudi, wakiwekewa kikokotoo kianze tumika mwakani ili akistaafu mtu asipate chochote baada ya kutafuna michango yao kwenye mifuko ya hifadhi ya Jamii na kupelekea kuiunganisha baada ya kufilisiwa.
Wewe ni nani hadi utakuwa salama atohitaji kura zenu tena au atabadili katiba ili akutawaleni milele. Mkirudia Tena kosa mmekwishaa mjiandae kwa visasi.
Mwenye sikio na asikie nafasi pekee aliyokupa Mungu ni October ya kuchagua shida au nafuu.
Kama Kimara waliobomolewa nyumba zao kosa lao kubwa ni kuchagua upinzani, Kama watumishi wa umma wameshughulikiwa haswaa kwa hisia tu walimchagua Lowasa wakinyimwa haki zao kimakusudi, wakiwekewa kikokotoo kianze tumika mwakani ili akistaafu mtu asipate chochote baada ya kutafuna michango yao kwenye mifuko ya hifadhi ya Jamii na kupelekea kuiunganisha baada ya kufilisiwa.
Wewe ni nani hadi utakuwa salama atohitaji kura zenu tena au atabadili katiba ili akutawaleni milele. Mkirudia Tena kosa mmekwishaa mjiandae kwa visasi.
Mwenye sikio na asikie nafasi pekee aliyokupa Mungu ni October ya kuchagua shida au nafuu.