Watanzania mlitusema wakati tulikawia kutoa gari kutoka baharini, nyie mumeshindwa kwenye mto, siku kumi sasa

Kwetu gari lilitumbukia kwenye bahari na kusogeshwa kabisa kiasi cha kutoweka, utaalam ukatumika wa hali ya juu na wa kisasa, nyie mtoni tu mumeshindwa siku kumi mnatokwa udenda. Ombeni msaada waje wataalamu na madubwasha yao muachwe vinywaa wazi.
mama hana pesa ya kulipa ili kupewa hio huduma

Vitu vingine haviitaji kujifanya mjuaji
 
poleni waswahili mazee dah!! maneno mengiii ila utekelezaji zeroooo!!😂
 
Ya bahari huwa yamesimama? Ushawahi sikia Sea Currents? Sea Depth? 10 days Serikali imeshindwa kuiokoa lori ni ishara kuwa hamna equipments na ujuzi wa kazi ya aina hiyo. Ombeni msaada Kenya mwenye gari atafute posho.
Sasa hapo serikali imetoka wapi gari Ile ya kwanza ilikuwa na uwezo wa kuitoa ila bei ndo walishindwana
 
Sasa nikisema mkenya hana akili nisikie mtu ananiuliza kwanini.

Nambaka.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie watu akili zenu mnazijua wenyewe.

Unajua WAMI mtoni mpaka dar kwenye winchi za kunyangua vitu vizito ni km ngapi??,ukilinganisha na pale mombasa ilipozama noah[emoji2960][emoji2960]

Unajua zilitumia siku ngapi kuopoa mwili wa marehemu aliyekuwa kabanwa ndani ya gari,ulilinganisha na marehemu dada na binti yake waliokuwa wamefungwa mikanda tu ndani ya noah mombasa[emoji2960][emoji2960]

Unajua tofauti ya uzito kati ya lori lenye cement 30ton vs noa yenye watu wawili na mdori wa kuchezea mtoto ni nguvu kiasi gani zinahitajika kwa kila moja[emoji2960][emoji2960]

Mimi sijacheka kwa reasoning yako,ila nimesikitika[emoji20][emoji20]
 

Gari limewashinda kutoa kwenye mto, siku kumi sasa mpaka mmliki ameamua kulitelekeza, eti kina kirefu, yaani nyie watu huwa mumejichokea mbaya sana.
 
Gari limewashinda kutoa kwenye mto, siku kumi sasa mpaka mmliki ameamua kulitelekeza, eti kina kirefu, yaani nyie watu huwa mumejichokea mbaya sana.
Wewe ni mwepesi sana jamaa yangu.hivi unadhani hiyo gari ikitoka humo itafaa tena zaidi ya kupimwa scrapper!!!!

Kwahiyo yeye kaangalia gharama za kuleta winch~$ anachokwenda kuopoa,kaona hailipi bora aache tu.

Winch 10mln,hiyo vyuma hata uuze nini hufikishi hiyo 10mln.
 
Gari limewashinda kutoa kwenye mto, siku kumi sasa mpaka mmliki ameamua kulitelekeza, eti kina kirefu, yaani nyie watu huwa mumejichokea mbaya sana.
hahaa hivi karibuni watatoa tamko lori halipo tena tz !! wameliombea likapotea km korona mazeee..mswahilii dah😂
 
Fikiria kabla ya kuandika, ishu ni kwamba kutoa gari ilo it was personal matter at first instance Lakin kwa kuwa hakuna private organ capable of that so taifas will.
 
Hahahaa!!mtoni bana, siku kumi ni nyingi sana[emoji23][emoji23]
 
Umesahau kile kiza kinene mle baharini, na urefu wa kitu km 60m chini..
Kulitumika vifaa vya hali ya juu sana mpka kwenda kulitambua lile gari..

Mi nashangaa hko kwwnu mtoni bana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achana na sisi majitu majinga sana. Hata nyumba ikiwaka moto sehemu inayoweza kufikika kirahisi utaskia zimamoto hawana maji.....
Hizi ndo maujinga za awamu ya tano
 
mama hana pesa ya kulipa ili kupewa hio huduma

Vitu vingine haviitaji kujifanya mjuaji
Ni sawa na kusema serikali yenu haiwezi saidia mtu na huduma yoyote kama hana pesa za kulipa.
 
Umesha zeeka pumzika haya mambo hayahitaji hasira
 

Sio suala la kufaa au kutofaa, lori lote kwenye mto la nini libaki humo, na ukweli mumejaribu kulitoa ikashindikana maana uwezo hamuna ila tatizo lenu kiburi, mumeogopa kuomba msaada tuje wenye uwezo huo.
 
Fikiria kabla ya kuandika, ishu ni kwamba kutoa gari ilo it was personal matter at first instance Lakin kwa kuwa hakuna private organ capable of that so taifas will.

Ajali siku zote huwa private matter, ila limetumbukia kwenye mto wa taifa, mumejaribu kulitoa siku kumi mimeshindwa kisa kina, ombeni msaada acheni aibu.
 
Sio suala la kufaa au kutofaa, lori lote kwenye mto la nini libaki humo, na ukweli mumejaribu kulitoa ikashindikana maana uwezo hamuna ila tatizo lenu kiburi, mumeogopa kuomba msaada tuje wenye uwezo huo.
Tumia akili kidogo bas MK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…