johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli Watanzania kama taifa bado tuna safari ndefu sana kufika kule tunakotarajia kufika.
Jana mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge mh Mwakasuka na wajumbe wa kamati wametumia takribani saa 3 kuelezea utovu wa nidhamu uliofanywa na wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima.
Kwa bahati mbaya wakati wa kuhitimisha Spika aliteleza ulimi kwa sentensi ya sekunde moja tu.
Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Wananchi tubadilike tuwe wazalendo.
Jana mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge mh Mwakasuka na wajumbe wa kamati wametumia takribani saa 3 kuelezea utovu wa nidhamu uliofanywa na wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima.
Kwa bahati mbaya wakati wa kuhitimisha Spika aliteleza ulimi kwa sentensi ya sekunde moja tu.
Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Wananchi tubadilike tuwe wazalendo.