Watanzania mnaambukiza hadi Namibia, msilalamike kwanini mnatengwa EAC na SADC kote kote

Watanzania mnaambukiza hadi Namibia, msilalamike kwanini mnatengwa EAC na SADC kote kote

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Raia wa Namibia akutwa na kirusi kisa alitembelea Tanzania, hawa majirani zetu japo wanapenda kulia lia lakini wamekua kero kweli, kitovu cha kusambaza corona.

Capture.PNG
 
Tanzania haijui hali halisi ya gonjwa hili nchini kwa kuwa haipimi. Nchi inategemea kuhesabu wagonjwa waliolazwa mahospitalini wakati huohuo watu hawaendi hospitali, wanaugulia na kufa majumbani. Huko mahospitalini hakuna huduma ya maana wanayoipata. Ni bora kukaa nyumbani kupiga nyungu.
 
Nna povu kwa ajili yako mtoa mada!

Mimi nafika mjini Dar mara kwa Mara japo shughuli zangu nafanyia mkoa wa Pwani.
Unaanza kua mtu mjinga sasa maana tahadhari zote za namna ya kujikinga zimeimbwa mno, mno, mno.

Wewe ondoka hapo ulipo nenda unakoenda bila tahadhari ukishapata ugonjwa uje ufungue Uzi, matter of fact Anzeni nyie kupambana na corona ndani ya Kenya kabla hamjawashwa na yanayoendelea Tz.
 
Sasa Kama yeye amejiexpose na kinga yake hafifu anategemea nn, na huenda huo ugonjwa ameambukizwa ata na Mkenya..coz kusema ameupata tz how sure he/ she is..kwani kabla ya kutoka alipima?
 
Nna povu kwa ajili yako mtoa mada!

Mimi nafika mjini Dar mara kwa Mara japo shughuli zangu nafanyia mkoa wa Pwani!!
Unaanza kua mtu mjinga sasa maana tahadhari zote za namna ya kujikinga zimeimbwa mno mno mno.

Wewe ondoka hapo ulipo nenda unakoenda bila tahadhari ukishapata ugonjwa uje ufungue Uzi, matter of fact Anzeni nyie kupambana na corona ndani ya Kenya kabla hamjawashwa na yanayoendelea Tz

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Nyie kwenu niliona rais anasema corona imeisha kisa hakuna aliyevaa barakoa, ilhali watu wanakuja kwenu wakigeuza kurudi kwao wanapimwa na kukutwa na corona, madereva wenu wakipimwa na majirani wenu wote wanakutwa na kirusi, sasa mlilia lia tukaacha kuwaumbua kwenye madereva wenu, sasa tunapima tukiwakuta na kirusi tunawapokeza kimya kimya, ila akina Museveni hata mlie vipi hao wanataja tu.
 
Nyie kwenu niliona rais anasema corona imeisha kisa hakuna aliyevaa barakoa, ilhali watu wanakuja kwenu wakigeuza kurudi kwao wanapimwa na kukutwa na corona, madereva wenu wakipimwa na majirani wenu wote wanakutwa na kirusi, sasa mlilia lia tukaacha kuwaumbua kwenye madereva wenu, sasa tunapima tukiwakuta na kirusi tunawapokeza kimya kimya, ila akina Museveni hata mlie vipi hao wanataja tu.
Idadi yenu ya cases hazijafika 10,000 tu maana mkopo unawasubiri.
 
Nyie kwenu niliona rais anasema corona imeisha kisa hakuna aliyevaa barakoa, ilhali watu wanakuja kwenu wakigeuza kurudi kwao wanapimwa na kukutwa na corona, madereva wenu wakipimwa na majirani wenu wote wanakutwa na kirusi, sasa mlilia lia tukaacha kuwaumbua kwenye madereva wenu, sasa tunapima tukiwakuta na kirusi tunawapokeza kimya kimya, ila akina Museveni hata mlie vipi hao wanataja tu.
Mpaka vyakula vyetu c vinaandaliwa na watanzania wenye korona mbona hampigi marufiku magunia ta mahindi yasije huko ? Ukisikia unafiki ndio huo unaruka mavi unakanyaga mkojo.
 
Idadi yenu ya cases hazijafika 10,000 tu..maana mkopo unawasubiri

Tunaendelea kupima kupima kupima pima pima....hatujajichokea kwa umaskini kama nyie huko mpaka mnatengwa na majirani wote kuanzia EAC hadi SADC.
 
Tunaendelea kupima kupima kupima pima pima....hatujajichokea kwa umaskini kama nyie huko mpaka mnatengwa na majirani wote kuanzia EAC hadi SADC.
Hakuna mwenye huo ubavu...nyie matajiri wa wapi ambao Hadi mishahara mnakopa
 
Raia wa Namibia akutwa na kirusi kisa alitembelea Tanzania, hawa majirani zetu japo wanapenda kulia lia lakini wamekua kero kweli, kitovu cha kusambaza corona....


INASIKITISHA SANA
 
Tunaendelea kupima kupima kupima pima pima....hatujajichokea kwa umaskini kama nyie huko mpaka mnatengwa na majirani wote kuanzia EAC hadi SADC.
Tumetengwa na nani?
BTW unafahamu kuwa nyie na South Sudan ndo mnaongoza kusupply #covid19 Uganda na ukanda huu?
 
We jamaa hadi leo hii bado tu unawaza corona!!? Siisi huku tulishahau kama kuna kitu kinaitwa corona kilishawahi tokea.
 
Sawa tuna Corona so what? Kunyaland ipo Corona the matter of fact mmei'gia hadi lockdown lakini bado ipo eti mnanimbia Corona mmeshindwa kukimbia ebola manina. Rais hakusema Corona imeisha alisema epungua fuala ww. Nyie endeleeni na lockdown sisi twachapa kazi na kudunda kama kawa ni kupga nyungu, limao na tangawizi kwenda mbele hapa ni kuishi nao if you can't beat it, live with it!
Nyie kwenu niliona rais anasema corona imeisha kisa hakuna aliyevaa barakoa, ilhali watu wanakuja kwenu wakigeuza kurudi kwao wanapimwa na kukutwa na corona, madereva wenu wakipimwa na majirani wenu wote wanakutwa na kirusi, sasa mlilia lia tukaacha kuwaumbua kwenye madereva wenu, sasa tunapima tukiwakuta na kirusi tunawapokeza kimya kimya, ila akina Museveni hata mlie vipi hao wanataja tu.
 
Back
Top Bottom