Watanzania mnaambukiza hadi Namibia, msilalamike kwanini mnatengwa EAC na SADC kote kote

Watanzania mnaambukiza hadi Namibia, msilalamike kwanini mnatengwa EAC na SADC kote kote

Sawa tuna Corona so what? Kunyaland ipo Corona the matter of fact mmei'gia hadi lockdown lakini bado ipo eti mnanimbia Corona mmeshindwa kukimbia ebola manina. Rais hakusema Corona imeisha alisema epungua fuala ww. Nyie endeleeni na lockdown sisi twachapa kazi na kudunda kama kawa ni kupga nyungu, limao na tangawizi kwenda mbele hapa ni kuishi nao if you can't beat it, live with it!
As for coronavirus, "If you can't beat it, learn to live with it! Then you will learn how to beat it...!" BUT you can't stop living with it and expect to beat it, for this strategy you already failed njoo Tz take all precautions, hii sio jukumu la serikali ni jukumu la kila Mtanzania kukilinda chini ya mwongozo wa wiza ra afya matangazo kila dakika hadi inaboa Corona ipo ila nyie mmejikuta wamarekani na serikali kuchukua jukumu ya kumambana kuwa linda kama kuku but still failed yet still thinking the same way expecting to win, the enemy is invisible, around 24/7 learn to live with it,to beat it. Hata barakoa mnashidwa kutengeneza dah haya endeleeni na maandamano ya George Loyd mnaviherehere sana
 
Ila majirani zetu mmejitahidi yani mmefikia kiwango cha buku sisi bado tupo jero.
 
We jamaa hadi leo hii bado tu unawaza corona!!????...sisi huku tulishahau kama kuna kitu kinaitwa corona kilishawahi tokea
Semea nafsi yako, huku bado iko majumbani, sema sasa wagonjwa hawapimwi
 
As for coronavirus, "If you can't beat it, learn to live with it! Then you will learn how to beat it...!" BUT you can't stop living with it and expect to beat it, for this strategy you already failed njoo Tz take all precautions, hii sio jukumu la serikali ni jukumu la kila Mtanzania kukilinda chini ya mwongozo wa wiza ra afya matangazo kila dakika hadi inaboa Corona ipo ila nyie mmejikuta wamarekani na serikali kuchukua jukumu ya kumambana kuwa linda kama kuku but still failed yet still thinking the same way expecting to win, the enemy is invisible, around 24/7 learn to live with it,to beat it. Hata barakoa mnashidwa kutengeneza dah haya endeleeni na maandamano ya George Loyd mnaviherehere sana
Povu la nini mkuu? Mara corona haipo/ imekwisha mpaka ikafanyiwa sherehe, sasa unasema mtu ajifunze kuishi nayo! Au unamaanisha kuishi nayo kwa kusema uongo kuwa haiko au una maana gani mkuu?
 
Sawa tuna Corona so what? Kunyaland ipo Corona the matter of fact mmei'gia hadi lockdown lakini bado ipo eti mnanimbia Corona mmeshindwa kukimbia ebola manina. Rais hakusema Corona imeisha alisema epungua fuala ww. Nyie endeleeni na lockdown sisi twachapa kazi na kudunda kama kawa ni kupga nyungu, limao na tangawizi kwenda mbele hapa ni kuishi nao if you can't beat it, live with it!
Hawa huwa hawaelewi Kiswahili vizuri na pia Kiingereza kinawatupa mkono si unajua asilimia kubwa wanazungumzaji wao wa Kiingereza wanatokea Nairobi na jamaa yeye anatokea Turkana, nadhani utajua tatizo lipo wapi.
 
Hongereni wakenya kwa kupata wagonjwa wengi wa corona! Haya ni mafanikio makubwa katika historia ya Africa mashariki.

Mmevuka malengo na mnatekeleza kwa vitendo! Kwa sasa ninyi ni African corona giants!
 
TANZANIA Ni nchi ya asali na maziwa nyie endeleni kujikoroga
 
Nyie kwenu niliona rais anasema corona imeisha kisa hakuna aliyevaa barakoa, ilhali watu wanakuja kwenu wakigeuza kurudi kwao wanapimwa na kukutwa na corona, madereva wenu wakipimwa na majirani wenu wote wanakutwa na kirusi, sasa mlilia lia tukaacha kuwaumbua kwenye madereva wenu, sasa tunapima tukiwakuta na kirusi tunawapokeza kimya kimya, ila akina Museveni hata mlie vipi hao wanataja tu.
Tokea nyinyi wakenya muanze kupima mmepata faida gani.
 
Semea nafsi yako, huku bado iko majumbani, sema sasa wagonjwa hawapimwi
Duh basi we jamaa unaishi Tanzania ya kwako wewe binafsi..😂🤣🤣😀😀

Hakuna mtanzania anayewaza corona saa hii,imebaki history
 
Duh basi we jamaa unaishi Tanzania ya kwako wewe binafsi..[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]

Hakuna mtanzania anayewaza corona saa hii,imebaki history
Pungu two huyo ukimuuliza hapo mtaani kwenu nani anaumwa korona hawezi kumtaja hata mmoja tu halafu anadai ugonjwa upo ndani sababu awapimi kwan maralia mtu ikimpata aonekani Kama anaumwa mpaka apime? Itakua akili ya chadema hii mpaka leo hii bado wanawaza kwanini TANZANIA hakuwekwi lockdown hahahahaha wakilala wakiamka hamna wanachowaza zaidi ya lockdown
 
Acha kuropokwa ....una ndugu au jamaa alopata korona had Sasa....au tu unaporomokwa tu na maneno
Kwahiyo ugonjwa wa korona TANZANIA watu wanaumwa tu hawafi ee? Maana kwa jinsi wanavyopanga maambukiz ya TZ ndio ingekuwa kweli bc saa hiz tungekua tunakufa 700 kwa cku maana haiwezekan mtu ungie tu ukitoka una korona bc tungekua Kama Italia au labda huu ugonjwa watanzania wanao tu mwilini Ila hauwadhuru hawaumwi Wala kufa kwa corona labda
 
Ila majirani zetu mmejitahidi yani mmefikia kiwango cha buku sisi bado tupo jero.

Halafu mtatengwa sana nyie, sasa mumekua kitovu cha corona na ugaidi pia

2417088_Screenshot_20200603-161430.png
 
Back
Top Bottom