Masharti ya Covid-19 fund za IMF na WB:
1😛imeni Pimeni Pimeni
2: Tangazeni tangazeni tangazeni
3: Lockdown Lockdown lockdown
4: Leteni Guinea pigs wasiojitambua
5: Chafua taswira ya TZ kuwa ndio ina-export Covid-19 nchini KE
6: Idadi ya maambukizi kila ikifika multiple of 10K tunawaongezeeni mpunga...
Mara paap: Mungu si Athumani, Maji safi yanekata nchi nzima pamoja na mvua nyingi ktk nchi zinazotuzunguka ni sisi tu ndio tumelaania hatupati kitu...
Corona madhee imeshika kasi...
Hata pesa enyewe ya mabeberu imekwisha..
Wenzetu wamefungua utalii na shule..
Mpango umefeli🙂
In Kamwana Uhuru voice: Uncle JPM tunaomba utusamehe uncle, we didn't mean it, ni wale Mabeberu ako na ushauri mbofu, samahani broh...