Watanzania mnaambukiza hadi Namibia, msilalamike kwanini mnatengwa EAC na SADC kote kote

Duh basi we jamaa unaishi Tanzania ya kwako wewe binafsi..[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]

Hakuna mtanzania anayewaza corona saa hii,imebaki history
Kuna mgonjwa leo kafariki kwa corona, jana mume wake alifariki kwa corona, je wataka ushahidi? It's so sad my friend, sikia kama ni utani lakini yasimkute ndugu/rafiki/yoyote umjuaye mtu wangu. Uwe na wakati mwema
 
Tunaendelea kupima kupima kupima pima pima....hatujajichokea kwa umaskini kama nyie huko mpaka mnatengwa na majirani wote kuanzia EAC hadi SADC.
Masharti ya Covid-19 fund za IMF na WB:
1πŸ˜›imeni Pimeni Pimeni
2: Tangazeni tangazeni tangazeni
3: Lockdown Lockdown lockdown
4: Leteni Guinea pigs wasiojitambua
5: Chafua taswira ya TZ kuwa ndio ina-export Covid-19 nchini KE
6: Idadi ya maambukizi kila ikifika multiple of 10K tunawaongezeeni mpunga...

Mara paap: Mungu si Athumani, Maji safi yanekata nchi nzima pamoja na mvua nyingi ktk nchi zinazotuzunguka ni sisi tu ndio tumelaania hatupati kitu...

Corona madhee imeshika kasi...

Hata pesa enyewe ya mabeberu imekwisha..

Wenzetu wamefungua utalii na shule..

Mpango umefeliπŸ™‚

In Kamwana Uhuru voice: Uncle JPM tunaomba utusamehe uncle, we didn't mean it, ni wale Mabeberu ako na ushauri mbofu, samahani broh...
 

Nyie mumekua kero kwa majirani zenu wote kuanzia EAC hadi SADC, mumekua kitovu cha uchafu wote, corona, ugaidi na hadi hata omba omba, hebu ona hapa mnachokifanya Msumbiji

 
Kuna mgonjwa leo kafariki kwa corona, jana mume wake alifariki kwa corona, je wataka ushahidi? It's so sad my friend, sikia kama ni utani lakini yasimkute ndugu/rafiki/yoyote umjuaye mtu wangu. Uwe na wakati mwema
Leta ushahidi,maneno tu hayatoshi jombaa..hata mimi naweza kusema hivyo ulivyosema..simple tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…