Watanzania mnajua kuhusu Bandari mpya Bagamoyo?

Watanzania mnajua kuhusu Bandari mpya Bagamoyo?

Tatizo ni wasiwasi juu ya huo mkataba, naona ni wakinyonyaji vibaya mno na ndiyo maana hauwekwi wazi, Tanzani inaliwa na watu wachache wengine wanasindikiza tu
 
Sijui kama hili lina ukweli najua na wao watakuwa wame consider hili la chuo.

Natumaini bandari mpya itakisaidia chuo hiki pia ambacho kilikuwa hakijulikani.
 
kama sikosei,Serikali inampango wa kukihamisha chuo kwenda Mtwara,niliwai ongea na one of the teacher pale Mbegani wakati fulani nilipoenda kununua vifaranga vya sato mwanzoni mwa mwaka huu.So Wana Mtwara wanapelekewa chuo pia cha uvuvi
 
Hizi ndio athari za kutawaliwa na ngozi nyeupe in this case ngozi ya njano...
 
Hapa tunajadili mradi ambao hata haujaanza, huu uzi naona ugepelekwa kwenye jukwaa la siasa
 
Bandari haiwezi jengwa popote, kwani hutegemeana na kina cha maji, na mambo mengine. bali chuo chaweza jengwa popote, hata SUA kuna kozi za ufugaji samaki wakati hawako ufukweni mwa bahari, ziwa wala Bwawa. tatizo sio chuo kuhama, mbona kambi ya jeshi Buhemba ilihama kupisha mgodi? tatizo ni pale ahadi za kujenga chuo kingine zisipotimia, na katika hilo hatuwezi kujadili sasa.

Wondering ,is the site for the proposed Bagamoyo harbour sheltered kama ilivo DAR port na proposed Lamu port Kenya?
 
kama sikosei,Serikali inampango wa kukihamisha chuo kwenda Mtwara,niliwai ongea na one of the teacher pale Mbegani wakati fulani nilipoenda kununua vifaranga vya sato mwanzoni mwa mwaka huu.So Wana Mtwara wanapelekewa chuo pia cha uvuvi
mkuu huko mtwara kijengwa kwanza kabla ya huyo mchina kufanya au kubomoa chochote hapa mbegani,maana wakishakabidhiwa na suala hilo kubaki katika serikali yetu,wataanza kutafuta sababu za kusafiri kuomba mfadhili wa kujenga chuo
 
Hapa tunajadili mradi ambao hata haujaanza, huu uzi naona ugepelekwa kwenye jukwaa la siasa
Kakalende hapa ni sehemu huru kwa kila mtu kuleta mada au kutoa mawazo yake na sisi pia kuchangia!

Hata hivyo naheshimu mawazo yako mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Wewe unasema mambo ya chuo akipatikana hata mwekezaji wa kuhamisha Ikulu ya Magogoni mbona inawezekana tu. Lipo swali la kiuchokonozi, Tanzania imebarikiwa kuwa na kila kitu ispokuwa kitu kimoja tu Je wakijua hicho ni kitu gani

Tafakari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Akili/Ufahamu

baadhi ya viongozi wetu wa juu
mzunguko wa mawazo yao RAM-1563kb
ubongo/memory yao 4gb
low thnking capacty 15kbps
sjui processer -n1t4kul4 64n 6ur3!!!
 
kutmia gharama nyingi kwa visivyo namaana viongoz WA tz wanapenda sana wangeboresha bandari zlizopo kwanza kama ya mtwara ambayo inauwezo mkubwa kuliko ya Dar. wabadilike!!!!
 
Kweli ndugu zangu, kila jambo zuri na lenye manufaa kwa nchi wapo wapinzani na vibaraka wao.nawahifadhi.tz inakuja kwa kasi ya ajabu na tunakwenda kuwa hub ya east Africa;twen,zetu.
 
Kweli ndugu zangu, kila jambo zuri na lenye manufaa kwa nchi wapo wapinzani na vibaraka wao.nawahifadhi.tz inakuja kwa kasi ya ajabu na tunakwenda kuwa hub ya esat Africa;twen,zetu.
 
Nadhani bado wanafat a msemo unaosema kua KUSOMA BONGO? Elimu yetu sisi wabongo imekua ya kukaririshana tu, na ndo maana wameona wajenge kitu kitakachoingiza mapato. Tunasoma tunaishia kwene ufisadi, uvuvi haramu kila kukicha, wakowapi hao wanachuo wanaowaelimisha watu kuhusu uvuvi bora na wenye manufaa? Wanaosema chuo kivunjwe nao wamesoma elimu hii hii kama yetu, MTU ATAFIKIRIA SA NGAPI? Tuanze kwanza sisi kufikiria ndio tuwalaumu wengine, tubadili kwanza mfumo wa elimu then nadhani vichwa vyetu vitafanya kazi
 
Eneo litakalojengwa bandari mpya bagamoyo ni lile lile ambalo chuo cha uvuvi mbegani kipo.Waalimu wanasema mamlaka ya bandari imeahidi kujenga chuo kingine eneo ambalo hawajajua ni wapi.Ikumbukwe kuwa chuo kile ni cha aina yake Africa Mashariki,kati na kusini,kuna wanafunzi toka nchi mbali mbali.

Pia chuo hicho kilijengwa mwaka 1972 na baadae wa Norway wakakikarabati kwa majengo ya kisasa na zana za kisasa za kufundishia kama boat za uvuvi na cold rooms.Jee leo hii wa Norway wakisikia chuo ambacho tulitumia maneno matamu kuomba msaada na wao wakatumia kodi za wananchi wao kutujengea, kimevunjwa na kupewa mchina kwa matumizi mengine watatuelewaje?

Na serikali imelisema hili kwa watanzania tukakubali chuo kuvunjwa?ikumbukwe tunahitaji sana wataalamu wa mambo ya uvuvi kwani tuna ukanda mkubwa wa bahari na maziwa lukuki!Kwa nini huyo mchina asipewe eneo jingine aanze upya ujenzi wa miundombinu?Pale chuo kuna maji safi ya dawasco,kuna umeme mkubwa,kuna gati ndogo,pia kuna barabara ya lami toka main road ya kuelekea bagamoyo-dar,kuna nyumba za waalimu na madarasa,maabara,mabwawa ya samaki wa shamba darasa.

Yaani hapo mchina hatawekeza chochote zaidi ya kuweka mashine za upakuaji mizigo na kuanza kuvuna!hii ni sawa na serikali ilipotaka kuuza jengo la mahakama ya rufaa ili kupisha ujenzi wa hotel-kempinsk. wabunge,Wananchi tunalijua hili?na tumeridhika na uamuzi huo wa kukiua chuo?ninavyo jua mamlaka ya bandari-TPA kujenga hicho chuo sehemu nyingine ni hadithi kwani vya kwao wenyewe vinakufa wameshindwa kuviendesha.Kama ni hivyo mchina ajenge kwanza chuo cha kisasa zaidi ya kile ndipo aende mbegani kuanza ujenzi wa bandari.

mkataba unasemaje juu ya hili?Nawasilisha

Wavunje tu hicho chuo. Hakina manufaa yoyote hapa tanzania. Wavuvi wetu bado wanatumia teknolojia duni, miaka 40 baada ya chuo kujengwa. Hicho chuo kinatayarisha maafisa uvuvi ambao wanakuja kuwa watawala wa maofisini, wakati wavuvi wanaendelea kutaabika na maisha ya baharini. Ni bora wajenge tu hiyo bandari labda itasaidia kufufua uchumi wetu.

Na serikali isiogope hao jamaa wa norway. Isitoshe, kama sikosei serikali ilikopa huko norway. Sasa mnaogopa nini? Acheni uoga. Tunataka maendeleo bana.

 
Eneo litakalojengwa bandari mpya bagamoyo ni lile lile ambalo chuo cha uvuvi mbegani kipo.Waalimu wanasema mamlaka ya bandari imeahidi kujenga chuo kingine eneo ambalo hawajajua ni wapi.Ikumbukwe kuwa chuo kile ni cha aina yake Africa Mashariki,kati na kusini,kuna wanafunzi toka nchi mbali mbali.

Pia chuo hicho kilijengwa mwaka 1972 na baadae wa Norway wakakikarabati kwa majengo ya kisasa na zana za kisasa za kufundishia kama boat za uvuvi na cold rooms.Jee leo hii wa Norway wakisikia chuo ambacho tulitumia maneno matamu kuomba msaada na wao wakatumia kodi za wananchi wao kutujengea, kimevunjwa na kupewa mchina kwa matumizi mengine watatuelewaje?

Na serikali imelisema hili kwa watanzania tukakubali chuo kuvunjwa?ikumbukwe tunahitaji sana wataalamu wa mambo ya uvuvi kwani tuna ukanda mkubwa wa bahari na maziwa lukuki!Kwa nini huyo mchina asipewe eneo jingine aanze upya ujenzi wa miundombinu?Pale chuo kuna maji safi ya dawasco,kuna umeme mkubwa,kuna gati ndogo,pia kuna barabara ya lami toka main road ya kuelekea bagamoyo-dar,kuna nyumba za waalimu na madarasa,maabara,mabwawa ya samaki wa shamba darasa.

Yaani hapo mchina hatawekeza chochote zaidi ya kuweka mashine za upakuaji mizigo na kuanza kuvuna!hii ni sawa na serikali ilipotaka kuuza jengo la mahakama ya rufaa ili kupisha ujenzi wa hotel-kempinsk. wabunge,Wananchi tunalijua hili?na tumeridhika na uamuzi huo wa kukiua chuo?ninavyo jua mamlaka ya bandari-TPA kujenga hicho chuo sehemu nyingine ni hadithi kwani vya kwao wenyewe vinakufa wameshindwa kuviendesha.Kama ni hivyo mchina ajenge kwanza chuo cha kisasa zaidi ya kile ndipo aende mbegani kuanza ujenzi wa bandari.

mkataba unasemaje juu ya hili?Nawasilisha

Nimejua leo kuna chuo cha uvuvi bagamoyo. Thanx
 
Kweli ndugu zangu, kila jambo zuri na lenye manufaa kwa nchi wapo wapinzani na vibaraka wao.nawahifadhi.tz inakuja kwa kasi ya ajabu na tunakwenda kuwa hub ya east Africa;twen,zetu.
unaota????kasi ya ajabu kuporomoka kiuchumi
 
Eneo litakalojengwa bandari mpya bagamoyo ni lile lile ambalo chuo cha uvuvi mbegani kipo.Waalimu wanasema mamlaka ya bandari imeahidi kujenga chuo kingine eneo ambalo hawajajua ni wapi.Ikumbukwe kuwa chuo kile ni cha aina yake Africa Mashariki,kati na kusini,kuna wanafunzi toka nchi mbali mbali.

Pia chuo hicho kilijengwa mwaka 1972 na baadae wa Norway wakakikarabati kwa majengo ya kisasa na zana za kisasa za kufundishia kama boat za uvuvi na cold rooms.Jee leo hii wa Norway wakisikia chuo ambacho tulitumia maneno matamu kuomba msaada na wao wakatumia kodi za wananchi wao kutujengea, kimevunjwa na kupewa mchina kwa matumizi mengine watatuelewaje?

Na serikali imelisema hili kwa watanzania tukakubali chuo kuvunjwa?ikumbukwe tunahitaji sana wataalamu wa mambo ya uvuvi kwani tuna ukanda mkubwa wa bahari na maziwa lukuki!Kwa nini huyo mchina asipewe eneo jingine aanze upya ujenzi wa miundombinu?Pale chuo kuna maji safi ya dawasco,kuna umeme mkubwa,kuna gati ndogo,pia kuna barabara ya lami toka main road ya kuelekea bagamoyo-dar,kuna nyumba za waalimu na madarasa,maabara,mabwawa ya samaki wa shamba darasa.

Yaani hapo mchina hatawekeza chochote zaidi ya kuweka mashine za upakuaji mizigo na kuanza kuvuna!hii ni sawa na serikali ilipotaka kuuza jengo la mahakama ya rufaa ili kupisha ujenzi wa hotel-kempinsk. wabunge,Wananchi tunalijua hili?na tumeridhika na uamuzi huo wa kukiua chuo?ninavyo jua mamlaka ya bandari-TPA kujenga hicho chuo sehemu nyingine ni hadithi kwani vya kwao wenyewe vinakufa wameshindwa kuviendesha.Kama ni hivyo mchina ajenge kwanza chuo cha kisasa zaidi ya kile ndipo aende mbegani kuanza ujenzi wa bandari.

mkataba unasemaje juu ya hili?Nawasilisha
tumesikia mkuu ngoja tuone kwani hatuna sauti ukisema tu. utangolewa

ulimi
 
Back
Top Bottom