Watanzania mnajua kuhusu Bandari mpya Bagamoyo?

Mie mamuzi ya baba mwanahasha yamenichosha kweli, yani huwa simwelewi kila kukicha zengwe analizua kwani mama cholo huwa hamshauri jamani hivi kweli amekosa pahala pa kujenga mpaka avunje chuo hicho majanga.

Si Bora uamuzi atoe mwenyewe kuliko....
 
ninaelekea huko wiki hii kuanza valuation ya fidia kwa eneo la bandari. Nimeshakagua majengo yale hayana upekee kama vuvuzela linavyopigwa. Ntakuwa fair kwa mali za wananchi. Mwenye hoja za maana alete au a pm sio majungu mradi huu ni muhimu.
 
Samahani hivi kumbe tunao wataalamu wa uvuvi,sasa huo utaalamu wao huwqa wanautumia sehemu gani?maana ukienda pale feri utakuta uvuvi unaendeshwa kijima.Kwa staili hii bora kivunjwe tu maana uwepo wake hauna faida kwa taifa,kama ungekuwa na faida tungeona mapinduzi kwenye sekta ya uvuvi.
 
Ndo hivyo wadanganyika tushaliwa, Huku mi ccm inashangilia kuua nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…