ushauri kwa mkuu wa kaya ni muhimu. ila jamani matatizo yetu makubwa KIUTAWALA yanachangiwa na KATIBA yetu hii. raisi amepewa nguvu kubwa sana kupitia katiba ndo maana lawama za uongozi na utawala zinamwendea yeye moja kwa moja. Raisi anawajibika moja kwa moja kwa wananchi kupitia wasaidizi wake. Lazima awe na picha kamili ya taifa analoliongoza na angependa liweje wakati wa uongozi wake (VISION). Sasa mkuu wa KAYA ana vision gani na taifa hili kwa sasa? Je anafikiaje malengo hayo? Mambo ya kukumbuka matatizo ya nyuma na kuanza kuleta huruma kwa utawala uliopo haijengi. huyu ni kiongozi wa taifa kwa sasa na jukumu lake ni kubeba yote mazuri na mabaya kuyarekebisha. sio kulaumu, huo sio uongozi. afterall yeye ni wa chama kile kile toka uhuru kwa hiyo amepokea kutoka kwa wenzie wenye mwelekeo mmoja kiitikadi.
watanzania tupende kuwa objective kwani kwa kufikiria kwa mapana yake na tuwe watu wa kuamini inawezekana. Jana mh zitto aligusia hasara tulizopata na tunazoendelea kupata kutoka sekta ya madini. ila akatoa changamoto yaliyopita hayana tija tusonge mbele kwani tutakuwa na migodi mingi zaidi miaka 20 ijayo. Hivi twaelewa taifa hili litaendelea kuwepo kwa vizazi vijavyooo!! sas tujenge misingi endelevu sio blah blah na cheap popularity. Mfumo wa kiutawala kwa sasa haundani na hali halisi ya taifa!!! kama kiongozi wa nchi hatendi kwa nn sisi watanzania tusitende kwa vitendo. Taasisi za umma kwa nn utendaji wake sio wa kuridhisha? je hawa sio watanzania wenye dhamana katika taifa lao?
afterall VISION ya taifa ikoje na kweli inakidhi haja ya sasa? je twailewa na kufuatilia kwa vitendoooo... mapungufu yanarekeibshwaje na kwa wakati gani?
bahati nzuri huo mpango upo lakini wadau wanaulewa utekelezaji wake na wanashiriki vipi?
Kosa kubwa linalodumaza maendeleo yetu ni mfumo wa kupata viongozi wetu.
ni baadhi ya changamoto nizionazo katika taifa hili ambalo tuna jukumu kuliendeleza sote.
watanzania tupende kuwa objective kwani kwa kufikiria kwa mapana yake na tuwe watu wa kuamini inawezekana. Jana mh zitto aligusia hasara tulizopata na tunazoendelea kupata kutoka sekta ya madini. ila akatoa changamoto yaliyopita hayana tija tusonge mbele kwani tutakuwa na migodi mingi zaidi miaka 20 ijayo. Hivi twaelewa taifa hili litaendelea kuwepo kwa vizazi vijavyooo!! sas tujenge misingi endelevu sio blah blah na cheap popularity. Mfumo wa kiutawala kwa sasa haundani na hali halisi ya taifa!!! kama kiongozi wa nchi hatendi kwa nn sisi watanzania tusitende kwa vitendo. Taasisi za umma kwa nn utendaji wake sio wa kuridhisha? je hawa sio watanzania wenye dhamana katika taifa lao?
afterall VISION ya taifa ikoje na kweli inakidhi haja ya sasa? je twailewa na kufuatilia kwa vitendoooo... mapungufu yanarekeibshwaje na kwa wakati gani?
bahati nzuri huo mpango upo lakini wadau wanaulewa utekelezaji wake na wanashiriki vipi?
Kosa kubwa linalodumaza maendeleo yetu ni mfumo wa kupata viongozi wetu.
ni baadhi ya changamoto nizionazo katika taifa hili ambalo tuna jukumu kuliendeleza sote.