Watanzania mnamzungumziaje mkoloni Herrmann von Wissmann?

Watanzania mnamzungumziaje mkoloni Herrmann von Wissmann?

Bwana mtafiti habari yako, mie sio mwanahistoria hivyo habari za huyo bwana uliemtaja sizijui.

Nina swari moja kwako, unamaoni gani juu ya kile kinachodhaniwa mali za Mjerumani?
Asante kwa jibu lako! Sijaelewa swali lako. Unamaanisha mali gani?
 
Asante kwa jibu lako! Sijaelewa swali lako. Unamaanisha mali gani?
Inasadikiwa Mjerumani alivyojua vita atashindwa basi mali zake akazizindika kwa makafara ambayo si rahisi mtu mwingine kuzichukua hizo mali.
Kwa Tanzania inasadikika kuna maeneo mengi ambayo yamefichwa hizo mali za Mjerumani hivyo kufanya baadhi ya yatu kutwa nzima wanahangaika kuzitafta huku kukiwa na simulizi za kutisha za mauza uza
 
Herrmann von Weissman alimwaga damu nyingi ya Wanabagamoyo katika kile kinachitwa "Vita vya Bagamoyo" ambayo kiuhalisia ilikua ni resistance ya watu wa Pwani ya Bagamoyo na Mrima dhidi ya Wajerumani tokea 1888

Abushiri alikamatwa Bagamoyo 1889 na kurudishwa kwao Pangani aliponyongwa. Lakini Wajerumani waliendelea kuwatafuta washirika wake akiwemo Makanda Bin Mwinyimkuu (huyo anayeonekana kushoto kwenye picha ya Abushiri)

Bagamoyo Massacre ilifanywa na Wajerumani wakiua watu waliokua wanahisi ni washirika wa Abushiri na walipowakosa wao (wengi walikimbia) basi waliwauwa ndugu zao. Ushahidi upo lakini vitabu rasmi vya historia vimeelezea kwa kifupi sana (pengine mstari mmoja au miwili) mauaji haya
 
Mimi ni mtafiti/mwanafunzi wa Ujerumani na ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya vitu vizuri na alikuwa rafiki wa watanzania. Hawadhani kwamba alikuwa mkoloni mkatili na alifanya mauaji ya watu wengi.

Ninajua maneno haya si kweli.

Herrmann von Wissmann na jeshi lake aliua watu wengi katika vita. Bado wajerumani wachache (especially right-wing extremist groups) wanasema kwamba watanzania wanampenda Herrmann von Wissmann kwa sababu alifanya vitu vizuri kwa Tanzania.

So, ningependa kujua: Mnajua na mnadhani nini kuhusu Herrmann von Wissmann?

Samahani kwa kiswahili changu kibaya! Nimejifunza tangu miaka miwili tu…

Asante sana kwa kujibu swali langu.
Mtafute kaka ake fred vunja bei.....anaitwa fadhili fabian ngajiro.. ingia Facebook utampatia yupo fair Sana atakuaaidia sana kwenye hii topic Yako.....
Usiache kutupa mrejesho....
 
Asante sana! Nilifanya literature review tayari. Sasa ninataka kujua kuhusu maoni ya Watanzania. Lakini umenisaidia tayari na jibu lako.
Kwa kuongezea tu Wajerumani walisifika pia kwa ubaguzi na ukatili mkubwa hasa bwana mkubwa Carl Peters na waambata wake akiwemo Winsman
 
Mchezo wa watu weusi kusalitiana haujaanza leo. Tuna hii dhambi toka zamani. Laiti tusingesalitiana leo tungekua miongoni mwa nchi ambazo hazikuwahi kutawaliwa.

Turudi katika mada. Ndugu Mtafiti wa Ujerumani, babu zako bwana Herrman Von Wissman alikua ni katili mkubwa na ameua halaiki ya watu. Nilipata kufahamu habari zake kwa uchache sana kutoka kwa Mchungaji na mwanamageuzi Kamara Kusupa. Ana ubobezi wa masuala ya harakati kabla na baada ya uhuru.
 
Mchezo wa watu weusi kusalitiana haujaanza leo. Tuna hii dhambi toka zamani. Laiti tusingesalitiana leo tungekua miongoni mwa nchi ambazo hazikuwahi kutawaliwa.

Turudi katika mada. Ndugu Mtafiti wa Ujerumani, babu zako bwana Herrman Von Wissman alikua ni katili mkubwa na ameua halaiki ya watu. Nilipata kufahamu habari zake kwa uchache sana kutoka kwa Mchungaji na mwanamageuzi Kamara Kusupa. Ana ubobezi wa masuala ya harakati kabla na baada ya uhuru.
Asante kwa jibu lako. So inamaanisha kwamba mchungaji Kamara Kusupa alijua Hermann von Wissmann? binafsi/personally?
 
Asante kwa jibu lako. So inamaanisha kwamba mchungaji Kamara Kusupa alijua Hermann von Wissmann? binafsi/personally?
Siwezi kusemea moja kwa moja.
Lakini naweza kusema hapana kwa sababu ya tofauti ya nyakati(zama) baina yao.
Nafikiri alikusanya nyaraka na tafiti ambazo ndiyo msingi wa kumhitimisha Hermann kama mtu aliyefanya unyama na ukatili mkubwa
 
Mimi ni mtafiti/mwanafunzi wa Ujerumani na ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya vitu vizuri na alikuwa rafiki wa watanzania. Hawadhani kwamba alikuwa mkoloni mkatili na alifanya mauaji ya watu wengi.

Ninajua maneno haya si kweli.

Herrmann von Wissmann na jeshi lake aliua watu wengi katika vita. Bado wajerumani wachache (especially right-wing extremist groups) wanasema kwamba watanzania wanampenda Herrmann von Wissmann kwa sababu alifanya vitu vizuri kwa Tanzania.

So, ningependa kujua: Mnajua na mnadhani nini kuhusu Herrmann von Wissmann?

Samahani kwa kiswahili changu kibaya! Nimejifunza tangu miaka miwili tu…

Asante sana kwa kujibu swali langu.
rafiki wa tanzania?
karne ya 18 kulikuwa na tanzania
 
Mimi ni mtafiti/mwanafunzi wa Ujerumani na ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya vitu vizuri na alikuwa rafiki wa watanzania. Hawadhani kwamba alikuwa mkoloni mkatili na alifanya mauaji ya watu wengi.

Ninajua maneno haya si kweli.

Herrmann von Wissmann na jeshi lake aliua watu wengi katika vita. Bado wajerumani wachache (especially right-wing extremist groups) wanasema kwamba watanzania wanampenda Herrmann von Wissmann kwa sababu alifanya vitu vizuri kwa Tanzania.

So, ningependa kujua: Mnajua na mnadhani nini kuhusu Herrmann von Wissmann?

Samahani kwa kiswahili changu kibaya! Nimejifunza tangu miaka miwili tu…

Asante sana kwa kujibu swali langu.
Nimejifunza kwa miaka miwili.ni for and not since.
 
Mimi ni mtafiti/mwanafunzi wa Ujerumani na ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya vitu vizuri na alikuwa rafiki wa watanzania. Hawadhani kwamba alikuwa mkoloni mkatili na alifanya mauaji ya watu wengi.

Ninajua maneno haya si kweli.

Herrmann von Wissmann na jeshi lake aliua watu wengi katika vita. Bado wajerumani wachache (especially right-wing extremist groups) wanasema kwamba watanzania wanampenda Herrmann von Wissmann kwa sababu alifanya vitu vizuri kwa Tanzania.

So, ningependa kujua: Mnajua na mnadhani nini kuhusu Herrmann von Wissmann?

Samahani kwa kiswahili changu kibaya! Nimejifunza tangu miaka miwili tu…

Asante sana kwa kujibu swali langu.
Mohamed Said
 
Mimi ni mtafiti/mwanafunzi wa Ujerumani na ninaandika insha kuhusu mkoloni Herrmann von Wissmann wa Ujerumani. Alikuwa meja na mwanajeshi wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani 1888-1895. Kuna wajerumani wachache wanaosema kwamba alifanya vitu vizuri na alikuwa rafiki wa watanzania. Hawadhani kwamba alikuwa mkoloni mkatili na alifanya mauaji ya watu wengi.

Ninajua maneno haya si kweli.

Herrmann von Wissmann na jeshi lake aliua watu wengi katika vita. Bado wajerumani wachache (especially right-wing extremist groups) wanasema kwamba watanzania wanampenda Herrmann von Wissmann kwa sababu alifanya vitu vizuri kwa Tanzania.

So, ningependa kujua: Mnajua na mnadhani nini kuhusu Herrmann von Wissmann?

Samahani kwa kiswahili changu kibaya! Nimejifunza tangu miaka miwili tu…

Asante sana kwa kujibu swali langu.
Nimewahi kukutana na ushairi mmoja wa kiswahili cha zamani ulindikwa kwa maandishi ya kiarabu (lakini ni wa kiswahili) huko Zanzibar miaka hiyo ya mwishoni mwa karne ya 19

Bila kukosea uliandikwa huko Zanzibari lakini ulielezea mji wa kilwa (dola ya kiislamu pia) na kiongozi wake Makungunya. Pia ulimuelezea huyu Wisman kwa uchache,

Ulikuwa unamuelezea Wismann kama kijana mwenye akili nyingi kweli kweli, muungwana kisawasawa, hodari katika vita, na boti lake la kivita lililo izunguka kilwa kisiwani, yani ukimbubujia sifa zisizo na kifani

Nikipata huo ushairi ntakuwekea hapa
 
Mazishi ya Jenerali Paul von Lettow Vorbeck (20 March 1870 – 9 March 1964) yaliyofanyika Ujerumani na askari watiifu kutoka iliyokuwa German East Africa walialikwa kuhudhuria mwaka 1964.



Paul Emil von Lettow-Vorbeck (20 March 1870 – 9 March 1964), also called the Lion of Africa ( German: Löwe von Afrika)
In 1964, Paul von Lettow-Vorbeck died in Hamburg. The West German government and the Bundeswehr flew in two former Askaris as state guests, so that they could attend the funeral of "their" general.

Several officers of the Bundeswehr were assigned as an honor guard, and West Germany's Minister of Defense, Kai-Uwe von Hassel, gave the eulogy, saying that the deceased, "was truly undefeated in the field." Paul von Lettow-Vorbeck was buried in Pronstorf, Schleswig-Holstein in the cemetery of Vicelin Church


Return to Morogoro - A valuable addition to the literature of soldiers' experiences during the First World War

Reviewer:
Kathy Munro
Book Review Type:
Standard Book Review

During the First World War (1914-1918) a surprising number of young White and Black South African men enlisted to serve in the armies of Britain and of her Empire.

They were speedily moulded into soldiers, chaplains, medical men and labourers. They came from all four provinces of the recently established Union of South Africa to join, firstly, the South African Defence force to fight in the campaign to defeat and dislodge the Germans from their colony in German South West Africa.

Later these young men enlisted to serve in an overseas expeditionary force and were sent to fight in East Africa, North Africa, the Middle East (Mesopotamia) and on the Western Front of France and Belgium.

The Germans in East Africa under Von Lettow Vorbeck were elusive and the Battles of the Somme and Flanders became wars of attrition and static trench carnage.

The motives of these volunteer soldiers and workers were varied. There were ancestral ties for some whose families were 19th century immigrants to South Africa.

Patriotism and a belief in the unity of the British empire inspired such men. Other youths sought fame, glory and adventure. Perhaps they sought an escape from humdrum ordinary lives on farms and small villages or in unpromising careers.


Few knew in advance that the slaughter and swathe of destruction of the first technologically driven war would end in death in the trenches or injury, disablement or debilitating tropical fevers.

The pity and loss of war had to be carried by the grieving mothers, widowed wives and orphaned children for lives sacrificed not in defence of their homes and farms but for some greater, vaguely understood Empire goal.

Now a century later we remember and try to understand why it all happened and what it meant. The strategic histories of the battles were told in the campaign and regimental histories; biographies and memoirs of the generals and the politicians directing the war began to appear almost immediately after the war.

The elusive histories were the experiences of the ordinary soldiers, the privates, in the trenches, ranging by foot or on horseback or motorcycles across the African veld.

Historiography of the early 21st century now writes about the voice of the small man and attempts to recover and interpret the story of the individual soldier. The Imperial War Museum has encouraged families to deposit their archives in the museum. Letters, diaries, and oral histories may be studied in such repositories in London and in the case of South Africa, the university and national archives become a mine of information.

The resurgence of interest in genealogical and family histories has revived interest in ancestors who fought or served in the First World War. This all means that there are many new First World War memoirs and histories appearing. At the same time professional historians (Stone, Macmillan, Ferguson, Hastings) write about context and meaning.

The South African literature on the First World War has also been given a boost by writers such as Bill Nasson, Chris Schoeman, Ian Uys, Peter Digby and Tim Couzens in addition to the regimental histories.

The renewed efforts to make known the experiences of individuals is a distinct genre of history. James Bourhill has sought and found his own family history. He draws heavily on the superb historical papers collection of the University of the Witwatersrand and on the South African Defence Document Centre as well as the private James Bourhill collection. In this book he tells the story of five men from three related, intertwined South African families, the Stockdales, the Tobias brothers, and the Bourhills. This is a book about family history, endurance, survival and their later lives and progeny.

The five young men, George and Meyer Tobias, Walter Stockdale, and Arthur and Jamie Stockdale come alive through their letters to their families.


Return to Morogoro - book cover.jpg


Return%20to%20Morogoro%20-%20book%20cover.JPG


Book Cover

The author sets himself the ambitious and unwieldy task of locating and then mining family letters to both relate a family history (it is almost a family saga) and then to tell the story of young men in search of identity, service, love and adventure. It was remarkable that despite the horror and loss of war the five main characters survived (though only one was unscathed) and they all returned home to South Africa.

Tropical illnesses such as malaria took their toll in East Africa. George Tobias, who served not as a soldier but as a chaplain was severely wounded as was his brother Meyer. Jamie Bourhill suffered repeatedly from malaria.
It is a complex story that takes the reader back into 19th century farming, mining and missionary roots and then forward through 20th century lives lived through warfare and peacetime adjustment.

These letters written over the four years of war are the central focus of this valuable addition to the literature of the soldiers' experiences. Their families, the fathers and mothers, wives and beloveds are also players and active participants keeping home fires burning or themselves serving as vital nurses in hospitals in South Africa and England.

The author achieves the rare feat of making the reader care about the fate of his grandfather and great uncles and I was pleased that there are some details of post war lives through the post 1919 influenza epidemic, labour strikes and economic depression. These men hardly returned to "homes fit for heroes". South Africa was still a desperately poor place for many in the interwar decades.

The best parts of the story are the actual letters. My own preference would have been for these singular, extraordinary, literate family letters from caring young men to have been produced in full.

The narrative should focus more strongly on context. Too few of these marvellous letters are reproduced in full. The voice and personality of the leading characters comes through most completely in them. I would have liked to have read the letters and not the racy mediated version.

The book is more of a family history than a military history. In a sense the author is too ambitious. He has been so caught up in the big family epic that the core of the book becomes too heavily overlaid with the background of earlier family history. It is the individual going to war who matters here.

The book is illustrated with many small, rare family black and white snapshots drawn from the private archive and hence have a documentary interest.

Supplementary photographs are extracted from internet sources. Some undocumented contemporary newspaper cartoons (no source reference given) are amusing but have little point unless directly and explicitly connected to the story. The neat maps of campaign activity help, for example, in positioning Morogoro. A glossary explains South African terms. The index is professional.
The bibliography has the feel of an incomplete working document and there are some significant omissions in the bibliography.

For example, Delville Wood cannot be discussed without reference on the work of Ian Uys. It should have been explained that "Father Hill" (dropped into the story on a few pages) was Eustace Hill, who was the hero of Delville Wood who later became the headmaster of St John's College, Johannesburg, 1922 to 1934, this sort of thumb nail sketch of a featured character could have been put into an explanatory footnote.

Richard Meinertzhagen is discussed at length but the source referencing for the controversies surrounding his career is missing. The wealthy Jewish businessman referred to as Mr Marks was presumably Sammy Marks and his biography by Mendelsohn could have thrown light on this encounter.

The source material used by Bourhill has been pinpointed in asterisk footnotes but endnotes or footnotes could have been used more effectively for research cross referencing and further elaboration. An important omission is the lack of a family tree or genealogical chart showing the links between cousins, parents, wives, uncles and aunts, to sort out the confusion of main and cameo players in this saga. In that sense the book is less polished than it should have been. Perhaps a case of rushing into print too quickly? I think the book would have benefitted if a professional editor had been engaged or if there was an editor, the job was not well done.

Thirty degree books is a publisher specializing in military history.
The strength of the book is the use of original archival material. Its historical value lies in the broad sweep of a family history and their trials, tribulations, daily anxieties and personal struggles as pioneers, pilgrims, missionaries, miners and farmers through several generations.

The subtext is the impact of wars, from the Anglo Boer War through First World War to Second World War on English speaking, British immigrant families.

Source : Return to Morogoro - A valuable addition to the literature of soldiers' experiences during the First World War | The Heritage Portal



GERMAN EAST AFRICA: Captured native German troops give a drill display (1916)


Aiseee...
Wewe mbona umechanganya madesa.....
 
Nimewahi kukutana na ushairi mmoja wa kiswahili cha zamani ulindikwa kwa maandishi ya kiarabu (lakini ni wa kiswahili) huko Zanzibar miaka hiyo ya mwishoni mwa karne ya 19

Bila kukosea uliandikwa huko Zanzibari lakini ulielezea mji wa kilwa (dola ya kiislamu pia) na kiongozi wake Makungunya. Pia ulimuelezea huyu Wisman kwa uchache,

Ulikuwa unamuelezea Wismann kama kijana mwenye akili nyingi kweli kweli, muungwana kisawasawa, hodari katika vita, na boti lake la kivita lililo izunguka kilwa kisiwani, yani ukimbubujia sifa zisizo na kifani

Nikipata huo ushairi ntakuwekea hapa
Sha'iri la Makunganya

Sha'iri la Makunganya (1898) by Mzee bin 'Ali bin Kidogo bin il-Qadiri

"Sha'iri la Makunganya"; mwenye kuandika Mzee bin 'Ali bin Kidogo bin il-Qadiri, Zanzibar


1-6

Bismillahi awali,ya pili rahmaninataka kutakallam,na khabari kwapanimsishikwe na ghururi,tafaddalini jamani

7—12

na shamba mtapandiwaleo mnajuta ninibaa la kujitakia?bass mwalimkisemaashukapo Jerumani

13-19

Tutapigana jihadiKwa rehema ya mannani,Jeremani akashukaAkangia fordani.Pasiwe mtu kujibuIkawa kutaka amani,Leo mnajuta nini

20-26

Baa la kujitakia?Mtawambia kwa yaqiniNiwape yangu moyoniNitasema kwa bainiWaliondoka mjiniWaliokwenda utamboniKilwa Kivinje mjini.

27-32

Ntawataja fursaniWaume wanao shaniWaliondoka mjiniWakaingia sitimaniWatoto wa Kijerumani.Ma'askari yaqini

33-38

Elfu na sabini:Kuwataja sitawezaWatu wote kujitengeza:Amiri jeshi Raamza,Ndiye aliye haziria.Leo mnajuta nini?

39-45

Baa la kujitakia?Wazungu thabiti mitima yaoYalikuwa marudia.Wala haina khofuKulla harubu kuingiaNa furaha kuwapata,Shindo wakilisikia,

46-52

Na bunduki mikononiMji wakuwania.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Kwa kulla neno ntatiaHapana lakubaqia:Khabari ya Makunganya.

53-58

Sikizeni ntawambia:Alianza upotovuKufanya mambo daifuNa watu kuta'arifaKujifanya mtukufu,kumbe kijitu daifu

59-64

Machoni ukimtokea;Wenziwe akawaghuriPasiwe kufikiri;Wakaingiwa na ghururiWakaja wakafa zuriHatta shahada kutoa.

65-72

Ukali wake kama ra'adiJerimani; hawarudi.Huenenda kama jaradiHapo watapotokea.Askari wa JermaniAnavowapamba kwa shaniViatu viko miguuniNa mabete kiunoni

73-80

Burangiti mgongoniGisi wanavowaliaLeo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Walipoazim vitaKwa Makunganya kufikaHatta walipomshikaNa watu kumi na sita:

81-89

Hapana pakutokeaOte wakatiwa nyororoWakawa kama watoroZikawafa roho zaoNafsi zao kupotea.Watu waliposhikanaVita vilipopiganaMjini mwa MakunganyaWatu kujikimbilia

90-98

Watumwa kwa wangwana;Hapana mtu kusemaWote wana teketeaWatu wa MakunganyaWamekufa kama panyaGisi alivoingiliwa.Boma lake likavunjwaWatu yake wakanyongwaWakewe wakapotea

99-106

Naye tanzini kangia.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Kwa hesabu sitaweshaWengine nitawabaqishaWote wakapigwa pichaPasiwe kusalia,Leo mnajuta nini,

107-114

Baa la kujitakia?Khabari nitawapaniWalio ondoka mjiniMa'adwi wa zamaniWaliokwenda Kilwa KishwaniKumondoa SulutaniYeye bwana VismaniNa tena na Govmani.

115-121

Sitima iko tayariImekwisha jingiliaWakenda wasimwone.Maneno yao wasisemeWakawa kama waganeHapa walipo kukaa.Damiri yao moyoni

122-128

Wampate VismaniBana mkubwa wa shaniAqili nyingi kichwaniMtoto wa KijermaniEmemiliki KivinjiHatta Kilwa KishwaniTangu awali ya Lindi

129-136

Hatta Tanga Afrikani.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Ushahidi sijatoaSasa mnawayawaya - ;Bandari Salama UlaiaUzuri wamebarabaraJinsi ilivotulia.

137-144

Zimekwisha sifa zakeVisman peke yakeWala hana mwenzi wakeAmbaye kumzidia.Kwa kulla neno ntatiaNi kama hapa AfrikaWala hana mushirikaSikizeni ntawambia:

145-153

Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Yeye mtu taratibuHakuumbwa na ghadabuUkimwona mwarabuMachoni mtokea;Ameumbwa na rehemaAmefanya mambo memaInchi zote kutengea

154-162

Ajua sana kusemaKiswahili kumwelea.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Niwacheni nimsifuNa yeye mtu nadifuNa la tatu mtukufuRoho yake hana khofu.Tena mtu shuja'a

163-170

Jina lake tulijua:Tangu pwani hatta baraHapo asiyo sikia.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Kaipanda AfirikaTangu nyanza hatta nyikaHapana asipofika

171-178

Barra yote kutembea.Amezaliwa BerlinaVismani mtu mwemaAnaye nyingi rehemaWatu wote wamjuaKhabari hio kufika,Walipotaka kumshikaMwaka u nussu kupita,

179-187

Hatta siku zikipitaShauri akafanyizaNa zana akatengeza;Wakenda wakifunza.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Ushairi ntasema sanaSiku waliokutanaVisman na Makunganya.

188-196

Kwanza alimtukanaNa yeye kajinamiaKumtukana machoni kwakeMakunganya na watu wakeKamwambia: mwanamke.Nani anayo kujua?Akisema akapoaKitini kajikaliaKaondoka bana Mayoa

197-204

Maneno akitongoaKizungu: hayakumwelea.Nitawaambia kwa yaqiniSahha na bana FeltiniWakasema KiswahiliWatu wote kusikia:Bana Sahha kamwambiaLeo mnajuta nini,

205-212

Baa la kujitakia?Banyani na WahindiWaarabu na WashihiriNa wengine WaswahiliWote wakaitikia.Makunganya asisemeWakanyongwa watu sabaNa mwenyewe ndio wa nane,

213-221

Hapo asiotazama;Watumwa na wangwanaWakubwa hatta vijanaWote wakashuhudia:Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Sahha ni bana mzuriWahindi akawashauriWote wakajikania.

222-230

Bana Sahha akafikiriAqili ikamwingiaRoho ikaghadhabikaKarakoni akafikaAskari akawetaWote wakamtokea;Walingiwa na uchunguAskari na wazunguWote wakamwandamia.

231-238

Akafanyiza nadhariAkaweka watu wawiliMzungu na AsikariNyumba moja kumngojea;Maneno nitawakifuZikesha zote nyumba tatuNa ya nnne ntawambiaNyumba iliobaqia

239-246

Na jina utawatajiaYa Muhindi Kassum PiraBana Sahha akaondokaIle nyumba akangiaVitabu akavichukuaMfukoni akavitia.Akawashauri sana:Wahindi wanne wakakana,

247-254

Bana Sahha akitongoaVitabu akavitoa:Ote wakujinamia.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Twamjua ma'alumBana Sahha kwa hukumHukumu anaiweza

255-292

Shauri kuitengeza;Naye kawatoza fedhaWahindi kujitolea.Na Wahindi Kilwa wengiWakatoa fedha nyingi.Nitafanyiza hesabuHalafu ntawambia:Najua kwa yaqini

263-269

Ni elfu 'asheriniHesabu nawambiaNi watajiri mbali-mbali.Niwasifu mahodari:Abdallah bin Omari;Ndiye aliyetokea,Hakukaa mwanamke,

270-276

Hakungojea ashikwe,Mwenyewe alijiendeaHatta tanzini kufikaNa shingo akaipelekaNa tanzi akajitiaNa watu kumtazamaNaye kimya hakusema

277-284

Marra akajangukiaKhabari nisha wapaniOte meshasikiaYa Makunganya kuuwawaMiji yote wamejuaMwanzo hatta akhiria:Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?

285-292

Wahindi wakatiwa nyororoniWakawekwa karakoniSitima wakangojea,Ilipokuja wakapakiwaWote safiria.Wakafika Bender-EssalamaWote wkaonekanaWatumwa kwa wangwana

293-300

Wote wakatazamaHapana asiwaone:Wakashukwa kama watumwaKette ilivowangia.Leo mnajuta nini,Baa la kujitakia?Bana Sahha twamjua ma'alumuAjua sana hukumu

301-308

Kawafunga kwa siku zakeAijua miaka yake,Halafu atawafungua:Hukum yao kabisaMiaka saba ikafikaWote watafunguliwa.Wakapakiwa sitima ingineNa kwao wasikuone

309-315

Wakawa kama wagane,Tanga wakasikilia.Wakatiwa katika kazi ya gariKufanyiza hawajuiWahindi wanaolia.Msimamizi tayariYupo kuwapokea

316-322

Machozi hujifutiaKazi wakifanyia:Leo mnajuta nini,Baa la kujitakiaQadi tamati sha'riNimesha kuwapa khabariYa Kilwa iliyojiri

323-330

Yote nimeidhukuriSina nililoachaKwa khabari ya MakunganyaKauwawa kimya-kimyaFitina hapana tenaKilwa yakutokea.Nimefikiri peke yanguHatoa rohoni kwangu,

331-338

Mimi na bibi yanguNyumbani tumejikalia:Nilipo nikiandikaBibi yangu anapikaHatta halafu kikeshaChakula, tukajilia,Yote nimeyandikia.Wakatabahu harufu

339-343

Wakatabahu: kuandikaUshairi umekwishaKhabari ya MakunganyaIliyo kujiri KilwaNimekwisha kwambia.

344-348

Mwenyi kuandika usha'iriAna mu'alimu MzeeBin mu'allimu AliBin Kidogo bin Al-QadiriNa il usuli Zingibari.
 
general Paul von Lettow-Vorbeck who was buried with military honours.

SIMULIZI ZA NAIBU MKUU WA UTAMBUZI JESHI LA GHANA KUHUSU GERMAN EAST AFRIKA KTK VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA

By the Ghana army's Dep. Chief of Defence intelligence , Big. Gen . James Hagan on Gold Coast Regiment battles in Germany East Africa (Tanganyika)...



View: https://m.youtube.com/watch?v=sl3Pl0I6Agc

SURA YA PILI

MAENDELEO YA RELI YA DAR-ES-SALAAM — LAKE TANGANYIKA

Hali ya kijeshi, wakati Kikosi cha Gold Coast kilipokea maagizo yake ya kuchukua uwanja huo, ilikuwa takriban kama ifuatavyo. Tanga, kituo cha pwani cha kaskazini zaidi ya reli mbili za Ujerumani, ilikuwa imeanguka muda fulani kabla, na njia nzima ya kutoka Moshi hadi baharini sasa ilikuwa mikononi mwa Waingereza.....

............ilikuwa ikishuka pwani na Sandani kwenye mlango wa mto Wami, Bagamoyo kwenye mlango wa Kingani, na Dar-es-Salaam, mwisho wa reli kuu, kama malengo yake mfululizo. Adui alikuwa amefukuzwa, sio tu kutoka kwa reli ya Tanga-Moschi, lakini kusini mwa barabara ya Pangani-Handeni-Kondoa-Irangi; na Jenerali Smuts alikuwa ameanzisha Makao Makuu Makuu kwenye ukingo wa kushoto wa Mto Lukigura, ambao unaangukia Wami kwenye ukingo wake wa kushoto kwa umbali wa maili sitini kutoka mdomoni mwake.

Amiri Jeshi Mkuu alikuwa naye hapa Kitengo cha Kwanza chini ya Meja Jenerali Hoskyns, kilichojumuisha Brigedi za 1 na 2 za Afrika Mashariki chini ya uongozi wa Brigedia Jenerali Sheppard na Brigedia Jenerali Hannyngton. Isipokuwa kikosi cha bunduki cha mashine cha Lancashire Kaskazini mwaminifu 11Kikosi, ambacho kiliunganishwa na Brigedi ya 2 ya Infantry ya Afrika Mashariki, brigedi hizi zote mbili ziliundwa.....

Tarehe 13 Agosti Kikosi kilisonga mbele kwenye barabara ya Turiani. Nchi ambayo walijikuta haikuwa ya kijivu tena au nyekundu ya unga, lakini kwa kweli ni ya kijani kibichi, ingawa ilikuwa bado, kwa sehemu kubwa, iliyofunikwa na chakavu na nyasi hadi kiuno, na mikunjo ya uwanda usio na uvuguvugu ulifanya iwe pana. mtazamo hauwezekani.

Ukaribu wa adui, kama ilivyo kawaida katika vita vya aina hii, ulikuwa wa uhakika zaidi kuliko mahali alipo, na tahadhari zote za kijeshi zilichukuliwa tangu wakati huo wakati wa matembezi ya mchana kwenda Turiani, na wakati wa mapema yaliyofuata.

Tarehe 15 Agosti Kikosi kilihamia Chasi, na tarehe 16 Agosti, baada ya kufanya kazi kwa siku nzima katika ujenzi wa madaraja mawili, kambi hiyo ilisonga mbele hadi Kwevi Lombo, karibu na Mto Makindu, na kuanzishwa mnamo saa 11 jioni.

Tarehe 17 Agosti Kikosi kilipokea amri ya kusonga mbele alasiri hadi Dakawa, ambako mapigano yalikuwa yakiendelea siku nzima. watu, kupumzika katika kambi baada ya siku yao ngumu na marehemu usiku, alikuwa kusikiliza asubuhi yote, kama pakiti ya terriers mtetemeko na msisimko, kwa sauti familiar ya mashine-gun na bunduki-moto; na baada ya mwendo wa saa nne na nusu walifika Dakawa saa 7 mchana Hapa Jenerali Smuts alikuwa ameweka makao yake makuu...


mashambani tulivu ndani ya moto mkali. Ni mara kwa mara tu kwamba usawa wao ulivunjwa kwa nafasi kwa bahati ya mlipuko wa ganda karibu na makazi yao.

Uendeshaji wa Jenerali Smuts hadi sasa ulikuwa na mafanikio, na Wajerumani, wakipigana na hatua ya ulinzi wa nyuma, lakini bila kutoa upinzani mkali au wa muda mrefu kwa wakati wowote, walilazimishwa kurudi, kwanza kwenye mstari. Dar-es-Salaam-Ziwa Tanganyika reli, na kisha kuivuka hadi kwenye nchi ya milima ambayo iko kati ya reli na bonde la chini la Mto Rufiji.


Kikosi cha Gold Coast chenyewe kilikuwa kimevuka njia ya reli katika sehemu ya maili moja mashariki mwa Morogoro, na kutoka hapo kilikuwa kimepenya katika nchi yenye milima kusini kwa umbali wa maili kumi na tano, kikipiga kambi siku ya Jumapili, Septemba 3, mwaka huu. jirani na kituo cha misheni huko Matombo. Mahali hapa papo kwenye ukingo wa kaskazini wa Milima ya Uluguru—nyanda za juu ambazo zinachukua eneo lenye ukubwa wa takriban maili mia za mraba—ambapo sasa ilikuwa ni kazi ya Kitengo cha Kwanza kujitahidi kuwafukuza adui waliokimbilia humo. .


Ilikuwa ni tarehe 4 Septemba, 1916—siku ambayo kituo cha misheni huko Matombo kiliachishwa kazi—ambapo Kikosi cha Gold Coast kilijaaliwa, kwa mara ya kwanza, kushiriki kikamilifu zaidi katika kampeni ya Afrika Mashariki.

kikasogezwa nje ya barabara, na kuchukua nafasi ya kujificha upande wa kulia wake, kwenye utumbo kati ya vilima viwili.
26Kapteni Jack Butler, VC, DSO—ambaye alikuwa ameshinda tuzo hizi zote mbili alipokuwa akihudumu na Kikosi cha Gold Coast katika Kamerun—basi alitumwa mbele na Kampuni ya Pioneer ili kuchunguza upya nafasi ya adui.


Kapteni Butler na watu wake walisonga mbele kwenye barabara hiyo, iliyopanda kwa kasi, yenye vilima vingi na vilima vingi, kuelekea kwenye kichwa cha njia inayoelekea kwenye Milima ya Uluguru—iliyokuwa karibu na chini ya vilima ambavyo, upande wa kushoto wa barabara, Kikirunga ni hatua ya kilele. Barabara hii ilikimbia, kutoka mahali ambapo Kikosi kilisimamishwa, hadi kwenye mwinuko mkali na kando ya bonde nyembamba, kila upande ambao kopjes za urefu unaoongezeka polepole zilipanda mara kwa mara. Ya kwanza kati ya hizi, iliyo karibu maili moja na nusu kutoka mahali pake pa kuanzia, na iliyokuwa upande wa kushoto wa barabara, ilichukuliwa na Kapteni Butler na Kampuni ya Pioneer, na mnyang'anyi alitumwa kuchukua nafasi katika mahali ambapo, mbele kidogo, barabara ilichukua mkondo wa umbo la U kuelekea kushoto.
i037.jpg

KILIMA CHA KIKIRUNGA


Kutoka kwa kopje iliyochukuliwa na Waanzilishi mtazamo wa jumla wa nafasi ya adui ungeweza kupatikana. Upande wa mbele wa kushoto, yapata maili moja huku kunguru akiruka, Kikirunga aliinuka kuelekea angani kutoka kwenye msongamano wa vilima vya chini ambamo kina msingi wake, na kutoka kwenye mojawapo ya miteremko ya hivi, kiasi fulani kuelekea upande wa kulia wa kilele, mashine ya...

Von Lettow-Vorbeck, Amiri Jeshi Mkuu wa Ujerumani, ambaye kwa muda wote alikuwa nafsi hai ya upinzani uliotolewa kwa Waingereza, hakuwa mtu anayeamini kufanya mambo kwa nusu, na alipogundua kuwa bonde la Rufiji lilikuwa. hali isiyoweza kutegemewa, alianzisha makao yake makuu karibu maili mia mbili zaidi upande wa kusini wa mto huo, mahali palipo umbali wa maili thelathini na tano kutoka Rovuma, ambao ni mpaka kati ya iliyokuwa Afrika Mashariki ya Wajerumani na Wareno. Mahali palipochaguliwa palikuwa kituo cha misheni huko Massassi, ambacho kiko kwa urefu wa futi 1500. 73juu ya usawa wa bahari, na ni mahali ambapo barabara kuu zinazopitia sehemu ya kusini-mashariki ya eneo hupishana. Barabara kuu kutoka bandari ya Lindi, ambayo inapita upande wa kusini-magharibi hadi Makotschera kwenye Rovuna, na inaathiri makutano ya barabara kuu ambayo inapita ukingo wa kaskazini wa mto huo kutoka Sassaware hadi mdomo wake, inapita Massassi. barabara kuu kutoka Newala upande wa kusini-mashariki, ambayo inapita upande wa kaskazini-magharibi hadi Liwale, na kutoka hapo karibu kuelekea kaskazini kuelekea Mto Rufiji huko Mikesse. Kutoka Liwale, zaidi ya hayo, barabara nyingine kuu inapita upande...


Kutoka Liwale, zaidi ya hayo, barabara nyingine kuu inapita upande wa kaskazini-mashariki hadi baharini huko Kilwa Kivinje, na magharibi kuelekea kusini hadi Songea- yenyewe ni sehemu ya makutano ya mfumo wa barabara-na kutoka magharibi kuelekea Wiedhafen kwenye mwambao. ya Ziwa Tanganyika.

Hata katika kampeni hii, ikumbukwe, ushawishi wa nguvu ya bahari ya Uingereza ulijifanya kuhisi, kwa kuwa ingawa vifaa vingine vinajulikana kuwa vilimfikia adui licha ya kizuizi cha majini, amri ya bahari iliwezesha jeshi la Jenerali Hannyngton. kuingizwa nyuma ya Wajerumani ...

Wakati huo huo, askari wa Ubelgiji kutoka Kongo 109walikuwa wakisonga mbele kuelekea kusini-mashariki, huku lengo lao likiwa ni Mahenge mara moja,—Mahenge ikiwa ni sehemu muhimu, maili mia mbili kuelekea magharibi mwa Kilwa, kwenye barabara kuu ipitayo kaskazini na kusini kutoka Songia hadi Kilossa Dar-es- Reli ya Salaam-Ziwa Tanganyika. Wakati huo huo, kikosi cha Jenerali Northey, ambacho kilikuwa kimepitia kutoka Rhodesia Kaskazini na kilikuwa na kiasi fulani cha mapigano katika kitongoji cha Ziwa Tanganyika, kilikuwa kikisonga mbele, kuelekea kaskazini-mashariki, juu ya Mpepo, sehemu ambayo iko maili hamsini kusini-magharibi. wa Mahenge. Lengo la...


Sasa alikuwa ameanguka nyuma ya bonde la Mbemkuru kwa umbali wa maili kumi na nne zaidi hadi Nahungu, mstari wa jumla wa mafungo yake ukielekea kusini-magharibi. Maili sitini kuelekea mashariki mwa Nahungu ilikuwa bandari 133wa Lindi, ambapo kikosi kikubwa chini ya Jenerali Beves kilikuwa kikipigana njia yake, kupitia nchi yenye vilima na ngumu, kando ya barabara inayoelekea makao makuu ya von Lettow-Vorbeck huko Massassi, mstari wa jumla wa maendeleo haya ukiwa sambamba na safu ya adui ya kurudi nyuma. bonde la Mto Mbemkuru. Massassi yenyewe ilikuwa maili tano na sitini tu kusini mwa Nahungu, na kama ingekamatwa kabla ya mwisho wa msimu wa kiangazi...

READ MORE : READ MORE : The Gold Coast Regiment in the East African Campaign, by Hugh Charles Clifford.
 
Back
Top Bottom