Watanzania mnaopenda kuja Norway kutafuta maisha chukua ushauri huu, kazi nyingi ni za bandarini

Hapo Stord pamjejaa Washambaa tu. Kutoka Bergen hadi Stord unachukua ferry. Waafrika wa Stord ni wa kuhesabu kwenye vidole ndiyo maana unakimbilia JF sababu ya upweke. Kama ungekuwa unaishi Oslo au hata Bergen usingekuwa na muda wa kujitangaza JF kuwa unaishi Norway.
 

Mkuu jamaa amekuboa nini bana? Mbona yeye katoa tu wazo wenyekulipuuza Sawa na wenye kulikubali napo poa tu. Nazani na wewe ungetoa ushauri ujuavyo kama hao temp agency.
 
Mkuu jamaa amekuboa nini bana? Mbona yeye katoa tu wazo wenyekulipuuza Sawa na wenye kulikubali napo poa tu. Nazani na wewe ungetoa ushauri ujuavyo kama hao temp agency.
Anapotosha ukweli
 
Zamani waafrika walikuwa wanalazimishwa kwenda ulaya kwa viboko kama watumwa siku hizi wanagombea foleni kuomba viza kuwa watumwa wa hiari.Ulaya Ingekuwa ni rahisi kwenda mwanza hakuna kijana angebakia afrika.
 
Nadharia za watu wavivu eti ulaya imeendelea baada ya kuwaibia waafrika swali zile nchi za ulaya ambazo tulikuwa tumezizidi uchumi baada ya UHURU na hazikuwahi kuwa na makoloni afrika mfano nchi za scandinavian na nordic zenyewe ziliiba wapi zikawa na maendeleo.Point of conclusion kutawala haikufanyi nchi kuwa masikini karibu nchi zote duniani zimewahi tawaliwa na nchi nyingine.Japani iliitawala China,UK iliitawala USA,India na pakistan zilitawaliwa na UK.Ethiopia na Liberia hazikuwahi kutawaliwa mbona nazo ni masikini.Ureno imetawala Angola na msumbiji mbona nayo ni masikini ktk nchi za ulaya.
 
Bado watu mnaenda tu kutafta maisha ulaya.duh...

Mbona mi sjawai kupapenda ulaya hata mara moja..ila tunatofautiana..

Mi siwez kaa mbali na mama.dada zangu etc..zaid siwez kaa hata nje ya dsm..yaan naipenda bongo .infact nawapenda mademu wa kibongo..yaan napenda joto inshort....nmetembea tembea kdogo huko..sjawai kusema et ngoja nibak huko foreva..labda sabab nna majukum meng bado home.

Labda nna matatzo sjui...nakumbuka enz za Univ. Of Aberdeen..daah..eniwei
 
ile kaz yako ya kukuingizia million 70 kwa Mwezi umeacha?
 
Invitation vipi sasa, maana huko kila mahali nikualikwa huku Africa hakuna mwaliko ni uzamiaji tuu hata sherehe ndio zilivyo

Per Diem hata huko DM patajibika hizi ujumbe kwa maelezo ya ziada?
 
Nje nje nje ndani, popote kambi babu weka maskani,
Nje nje nje ndani, kama ipo ipo tu kimiani. (in Inspector Haroun Babu' voice.)
 
Vp KUHUSU mafundi mfano"welding' Kuna michongo unaweza kuotea??
 
[emoji3][emoji3][emoji3] za kuambiwa changanya na zako kwa hisani kutoka msonga. Lakini jamaa hajasema kama atasaidia watu kwenda. Kasema wanaotaka kwenda waende fursa zipo. Hasa kazi bandarini
Hamna hiyo. Yeye mwenyewe kasema kawekwa hapo kama kibarua hana contract ya kudumu hapo bandarini bali ana contract na temporary agency ambaye ndiyo mwajiri wake. Anapangiwa kazi sehemu tofauti tofauti kulingana na demand ya vibarua na uwezo wako kukubali offer za temporary job agency. Hata kuosha vyombo siku moja au mbili watakupigia. Kama ukikubali poa lakini ukikataa wataanza kukukacha. Chochote watakacho kutupia inabidi ukubali la sivyo utalala njaa.
 
Madam binti kiziwi , pitia kipande hii. Mzee wa Norweeyi Mkuu Per Diem yupo kwa hewa tena... kamwaga 'madini'.

Dada lake kama vipi twenzetu Norweeyi 'tukachukue maisha'.

Wazee wa 'koneksheni' za ughaibuni... Uduwanzi unaendelea!

-Kaveli-
Hahhaha! Missing you Kaveli. Twende zetu bana naona wazee wa connection wamekomaa!
 
Mkuu Mimi Niko Qatar nifanyie mpango basi nije uko mkuu. Najua unaweza kabisa mkuu ..fanya kweli
 
WEWE JAMAA MPUMBAVU SANA. SHETANI MKUBWA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…