Watanzania mniombee - Ali kiba

Watanzania mniombee - Ali kiba

Nadhani sasa zamu ya watanzania kuombewa , wanapitia wakati mgumu kweli kiuchumi na vitisho vya polisi juu.
 
Ali kiba ametoa wito kwa watanzania wamuombee ili aweze fanikiwa kupata nomination yke ya kwanza kwny tuzo za mtv mama 2016 hata kwenye kipengele cha msanii chipukizi kwani hajawahi pata bahati ya kuudhuria tuzo zenye hadhi ya kimataifa.
Hivyo angependelea kupitia njia alizopita role model wake Diamond Platinumz ambaye alifanikiwa kupata nomination yake ya kwanza ya mtv awards mnamo mwaka 2010 japo alishindwa na mdada Mo Cheddah ila yeye amesema yupo tayari kupambanishwa na wasanii wa nigeria km kiss daniel, ycee, lil kesh na hatawabaga kwny icho kipengele
Tutawaombea wangapi katika nchi hii? Mbona wanatutwisha mizigo mikubwa ya maombi?
 
ufanye dhambi zako kwa sifa uje utulazimishe tukuombee ili iweje
 
Ali kiba ametoa wito kwa watanzania wamuombee ili aweze fanikiwa kupata nomination yke ya kwanza kwny tuzo za mtv mama 2016 hata kwenye kipengele cha msanii chipukizi kwani hajawahi pata bahati ya kuudhuria tuzo zenye hadhi ya kimataifa.
Hivyo angependelea kupitia njia alizopita role model wake Diamond Platinumz ambaye alifanikiwa kupata nomination yake ya kwanza ya mtv awards mnamo mwaka 2010 japo alishindwa na mdada Mo Cheddah ila yeye amesema yupo tayari kupambanishwa na wasanii wa nigeria km kiss daniel, ycee, lil kesh na hatawabaga kwny icho kipengele
If i was him, ningekaa na diamond chini tushirikiane kimawazo kama wanamuziki wa Tanzania, na sio u kiba na u diamond....., hata support tutawapa sie wa nje(especially hiyo anayoiomba sa hivi na poa show na kununua mziki wake)
 
Vipi na yeye ameshaliombea taifa?

MWambie niko bize naombea amani na utulivu kwa taifa, issue za mauno kwa sasa sio priority
 
Mimi namuombea, ili aendelee kuwa anamzidi mwenzie kwa kila kitu, kama alivyomzidi GSM basi na hii hapa atamzidi tu kama DIAMOND ananunua ndinga ya $ 400,000/- basi yeye atanunua ndinga ya $ 500,000/- Ameen.
 
If i was him, ningekaa na diamond chini tushirikiane kimawazo kama wanamuziki wa Tanzania, na sio u kiba na u diamond....., hata support tutawapa sie wa nje(especially hiyo anayoiomba sa hivi na poa show na kununua mziki wake)
unafikir hawapatan kama inavooneka huku nje??? ngoja mda utafika utajua tuu. kuna kitu kinaitwa "best for business"
 
Back
Top Bottom