Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Watu kama ninyi ni laymen linapokuja suala la hesabu na uchumi .
Uneangalia factors za ugumu wa kupata hiyo 5000 hapa Bongo na ugumu wa kupata 25000 USA ?
Ndugu yangu dola $1000 usd pale haitoshi, nimepata maendeleo makubwa sana baada ya kurudi Tanzania ningebaki kule hata meter ya umeme nisingekuwa na
Kweli Wananchi wa Ulaya kuwa matajiri mfano wa daraja la Uchumi wa kuanzia wakati ni ngumu sana,yani kule masikin hawezi kuwa Tajiri tofauti na Tanzania, Unaweza kutoka chini ukapanda juu kule iko kitu hakipo.Hivi kuishi kwenye majengo mazuri yanayomilikiwa na Serikali na hauna chako hiyo ni nini kama sio utumwa? Serikali yao imetaka ndiyo imiliki utajiri wote lakini sio Wananchi wake, ni sawa na mimi kuishi kwenye nyumba nzuri ya ndugu yangu lakini ni apeche alolo
IRS wanakata kodi ,lakini ni bora kuliko hao mchwa na kupe hapa kwetu Tz ,hawa TRA ,wanaofyonza Paye na kuweka kodi kwenye kila kitu (double taxation) + kubambikia kodi na kufirisi biashara mitaji ya raia na kuwarudisha kwenye umasikini ,+Rushwa kwenye mfumo wa kodi na kinachopatikana kinaishia kwenye matumbo ya misukule ya ccm ,wananchi wanaishi kama digidigi na waziri wa fedha anawaambia wananchi kwa dharau na kiburi wahamie Burundi .Kikwete ana pesa chafu lakini ukimwambia aishi USA hawezi kukuelewa anafahamu ni nchi la Mabeberu yananyonya kama kunguni ukiishi na Marekani utakufa maskini. Huwezi ukaishi nyumba ya mkoloni ukawa na kitu. Marekani pesa utaingiza nyingi lakini Serikali italamba zote wametegesha bomu la tax mzee baba wachache watanelewa
Social mobility Europe ni bora kuliko Bongo , Acha uongo wako hapa .Kweli Wananchi wa Ulaya kuwa matajiri mfano wa daraja la Uchumi wa kuanzia wakati ni ngumu sana,yani kule masikin hawezi kuwa Tajiri tofauti na Tanzania, Unaweza kutoka chini ukapanda juu kule iko kitu hakipo.s
Aisee 🤣🤣🤣🤣🤣ngoja niwaambie utumishi kuna li jobless linawakoromea huku 🤣🤣🤣🤣🤣mie ninamiliki nyumba atlanta na washington pia ninay
Huna akili jomba ,kaa ficha ujinga wako ,unajidhalilisha sana .Utachelewa kunelewa wewe nenda kule kapoteze muda kama upo tayari, ukawafanyie wakoloni kazi Taifa lao lizidi kukua hili letu liendelee kuzorota
Wamarekani wangapi wanamiliki v8? Hapa Bongo unaona ngapi?
Marekani wasenge ndiko uchoko ulipoanzia sasa machoko yanawababaishaje Wabongo asee jiaminini wale ni mafala sana baki hapa mtapata maishaHuna akili jomba ,kaa ficha ujinga wako ,unajidhalilisha sana .
Hizi takataka used za kijapan zinazouzwa humu ndio mmekaririshwa na kujiita v8 ,wakati USA mortgage ya kupata gari tena gari mpya ,SuV za nguvu kama BMW ,VW ,GMC , Chevy nk ni kugusa .
Wewe na hivi vi kirikuu vyetu tunavyotembelea ndio ukamlingishie mmarekani ?
We kweli mwehu
Unapigia mbuzi gitaa.IRS wanakata kodi ,lakini ni bora kuliko hao mchwa na kupe hapa kwetu Tz ,hawa TRA ,wanaofyonza Paye na kuweka kodi kwenye kila kitu (double taxation) + kubambikia kodi na kufirisi biashara mitaji ya raia na kuwarudisha kwenye umasikini ,+Rushwa kwenye mfumo wa kodi na kinachopatikana kinaishia kwenye matumbo ya misukule ya ccm ,wananchi wanaishi kama digidigi na waziri wa fedha anawaambia wananchi kwa dharau na kiburi wahamie Burundi .
Hili li nchi ni shithole kabisa .
Nakushangaa sijui unapata wapi ujasiri wa kuleta comparison ya USA na shithole country kama hii
Unajua logic ya nyumba kujengwa kwa mbao pale Marekani na Canada ? Au unadhani wanajenga kwa mbao tu na material kama hizo kwamba hawana means za kujenga Kwa materials nyingine ?Wanalala nyumba za mbao wakati humu kwetu Afrika nyingi tunazitumia kama mabanda
Ukiwauliza kulikoni wanadanganya eti matetemeko kwahiyo msijenge za tofauli mbona za tofali zipo lakini ni za matajiri? Kumbe ni serikali inafanya ujanja ili watu wasijenge nyumba za kudumu ardhi ibaki hewani iendelee kuwa ya Serikali. Haya sasa kazi kwako kama upo tayari kulala kwenye mabanda nenda
View attachment 3036364
Hivi unajua unaandika vitu visivyo na uhalisia kama mwendawazimu ?Serikali yao na wafanyabiashara wakubwa ndio wanawezq, mwananchi unashindwa kwasababu wanakuwekea ushuru mkubwa kiasi kwamba ukiwa nayo ni sawa na umejichimbia kaburi
Marekani bado ni pazuri kwa wasakatonge kama sisi , nchi zetu hizi kama Tz bado zina mifumo ya kishenzi sana ambayo imelenga kuua dreams za wananchi ,na lengo ni kutengeneza mafukara wengi ili iwe rahisi kuwatawala .Ukiwa mtoto wa mama mboga saba bongo huwezi kuishi ulaya na marekani lakn mm mtoto wa mkulima sina ajira mwaka wa nane huu,nimevua samaki Sana,nimechimba maduara kusaka dhahabu,vimeshinda shambani Sana lakn mpaka sasa naishi kwenye kitu wanaita subsistence living.
Kwa hakika nakwambia kama Mungu anatenda miujiza basi kesho niamkie marekani halafu nisipo toboa basi heri nife tu.
Kwann nasema haya jamaa yangu mmoja aliyeshinda green card mwaka 2019 ya kuingia marekani kafanya matusi bongo Kwa miaka hii mitano.
Kuna jamaa kaingia Kwa intern za kilimo marekani mwaka 2020 nae kafanya matusi bongo,lakn hawa wote ni watoto wa makulima wamekulia uji ya chumvi asubuhi,mchana viazi na maji kama lunch usiku ugali na kabichi.
Maisha ni magumu tangu wako bongo baada ya kutua marekani Kwa hakika hawana mchezo.
Sasa wewe mleta mada subiri mdingi afe ugombanie urithi tu maana kupambana huwezi
Mkuu hii kuichezea inaweze kana?View attachment 3035980View attachment 3035981Hiyo ndio Smart Meter ya USA hapo utalipa bill mpaka utazeeka, bill yenyewe ya maji inakutoa para mwanangu
Ukweli ndo huo,na pia nakwambia Getto hata south inawatesa wanatamani kurudi lakini wapi.Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?
Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.
View attachment 3035626View attachment 3035627
Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho
View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7
Mwehu ni wao mazee ya miaka 80 kuishi kota kwasababu Serikali yao imeyaweka mkononi hakuna kumiliki assets ukipata upigwe kodi mpaka ufe. Tanzania ndiyo nchiHivi unajua unaandika vitu visivyo na uhalisia kama mwendawazimu ?
Hivi unajua kodi ya Toyota TXL used toka Japan Kuletwa kuuzwa Tanzania ni kubwa na ni zaidi ya nusu ya thamani ya gari lenyewe ?
Unajua kodi ya Kuingiza Toyota TXL mpya pale Marekani haifiki hata asilimia 30 ya thamani ya hilo gari ?
Au unatufanya sisi Mabwege huku
Sasa kwa akili yako pima ulichoandika na uhalisia huo .
Wewe jamaa ni mwehu
Mwehu ni wao mazee ya miaka 80 kuishi kota kwasababu Serikali yao imeyaweka mkononi hakuna kumiliki assets ukipata upigwe kodi mpaka ufe. Tanzania ndiyo nchi
Akili zako ziko vizuri wewe ?Mwehu ni wao mazee ya miaka 80 kuishi kota kwasababu Serikali yao imeyaweka mkononi hakuna kumiliki assets ukipata upigwe kodi mpaka ufe. Tanzania ndiyo nchi
Sawa lakini uzuri Marekani hakuna sisiemWatanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?
Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.
View attachment 3035626View attachment 3035627
Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho
View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7
Nimekaa kule miaka 7 habari za tsunami na baridi kiasi kwamba inaathiri nyumba za tofali hizo ni propaganda za Serikali yao ili ardhi ibaki mikononi mwao mwananchi asijenge jengo la kudumu, zile ghorofa za New York wamejengea mbao sio?? Umeme wa kuendesha wao wanatoa wapi wa streets ukosekane au tsunami itatokea kwenye streets vipi New York haitatokea sio je baridi ipo streets tu vipi CalforniaAkili zako ziko vizuri wewe ?
Nimekuuliza unadhani hawana matofali ya kujengea nyumba ?
Au unadhani wanajenga nyumba za mbao la mapambo ?
Nimekuuliza unajua consumption ya umeme kwa heating system ya kupasha joto nyk a ya tofali kipindi cha baridi Marekani au Canada ?
Wewe kwa akili yako unaona iko economically feasible kutumia mamilioni kulipia Electrical bills Kwa mwaka ili kupasha joto nyumba na huku unaingiza pato la kawaida na wala sio milionea au bilionea ?Nimekaa kule miaka 7 habari za tsunami na baridi kiasi kwamba inaathiri nyumba za tofali hizo ni propaganda za Serikali yao ili ardhi ibaki mikononi mwao mwananchi asijenge jengo la kudumu, zile ghorofa za New York wamejengea mbao sio?? Umeme wa kuendesha wao wanatoa wapi wa streets ukosekane au tsunami itatokea kwenye streets vipi New York haitatokea sio je baridi ipo streets tu vipi Calfornia
Endelea na undezi wako ,unajua ni asilimia ngapi ya nyumba za California zimejengwa Kwa concrete na si mbao ?Nimekaa kule miaka 7 habari za tsunami na baridi kiasi kwamba inaathiri nyumba za tofali hizo ni propaganda za Serikali yao ili ardhi ibaki mikononi mwao mwananchi asijenge jengo la kudumu, zile ghorofa za New York wamejengea mbao sio?? Umeme wa kuendesha wao wanatoa wapi wa streets ukosekane au tsunami itatokea kwenye streets vipi New York haitatokea sio je baridi ipo streets tu vipi Calfornia
Nimekaa kule miaka 7 habari za tsunami na baridi kiasi kwamba inaathiri nyumba za tofali hizo ni propaganda za Serikali yao ili ardhi ibaki mikononi mwao mwananchi asijenge jengo la kudumu, zile ghorofa za New York wamejengea mbao sio?? Umeme wa kuendesha wao wanatoa wapi wa streets ukosekane au tsunami itatokea kwenye streets vipi New York haitatokea sio je baridi ipo streets tu vipi Calfornia