Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Nilichomwelewa mtoa mada anahitaji comfort zone....inakuwaje unaishi ishi kama mbwa huna maendeleo binafsi.....unalala chumba kimoja kama mbwa.
 
Ukiangalia vizuri, wewe pia ni mali ya serikalali.
 
Ukisikia kukandia, kututoa show, ukweli, kutuelimisha, kutusema. NDIO HUKU!
UKWELI UNAUMA SANA NA HAKUNA JINSI!
KUDOS MDAU TUMEKUSOMA!
 
Sahihi
 
= kumiliki

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…