Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Nilichomwelewa mtoa mada anahitaji comfort zone....inakuwaje unaishi ishi kama mbwa huna maendeleo binafsi.....unalala chumba kimoja kama mbwa.
 
Hivi kuishi kwenye majengo mazuri yanayomilikiwa na Serikali na hauna chako hiyo ni nini kama sio utumwa? Serikali yao imetaka ndiyo imiliki utajiri wote lakini sio Wananchi wake, ni sawa na mimi kuishi kwenye nyumba nzuri ya ndugu yangu lakini ni apeche alolo
Ukiangalia vizuri, wewe pia ni mali ya serikalali.
 
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.

Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.

Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.

Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.

Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.

Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.

Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?

Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.

View attachment 3035626View attachment 3035627

Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho

View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7

Ukisikia kukandia, kututoa show, ukweli, kutuelimisha, kutusema. NDIO HUKU!
UKWELI UNAUMA SANA NA HAKUNA JINSI!
KUDOS MDAU TUMEKUSOMA!
 
Acha kulisha watu matango pori,
America ni tajiri mara 1000+ya Tanzania, mapato yetu kwa mwaka hayafikii mapato ya ksmpuni ya tweeter/X! Tunafsnya nao kazi kwenye mashirika ya kimataifa, wana mkwsnja mrefu, swala LA kusema eti hawawezi kumiriki nyumba, ni relative tu, kwani hapa bongo kila mtz anaweza kununua kiwanja au nyumba masaki, Oyster Bay, njiro,Shanghai(mtwara), nyamkazi(bk),
Mbona watu kibao wanarnda kuishi bunju,mbagara, kwanini wasipange masaki, au upanga?
Kama maisha Yao ni kama kwetu, mbona wa bongo kibso w anakimbilia USA kutafuta maisha?
Acha akili za manzese na kuwa za ki ccm
Sahihi
 
Acha kulisha watu matango pori,
America ni tajiri mara 1000+ya Tanzania, mapato yetu kwa mwaka hayafikii mapato ya ksmpuni ya tweeter/X! Tunafsnya nao kazi kwenye mashirika ya kimataifa, wana mkwsnja mrefu, swala LA kusema eti hawawezi kumiriki nyumba, ni relative tu, kwani hapa bongo kila mtz anaweza kununua kiwanja au nyumba masaki, Oyster Bay, njiro,Shanghai(mtwara), nyamkazi(bk),
Mbona watu kibao wanarnda kuishi bunju,mbagara, kwanini wasipange masaki, au upanga?
Kama maisha Yao ni kama kwetu, mbona wa bongo kibso w anakimbilia USA kutafuta maisha?
Acha akili za manzese na kuwa za ki ccm
= kumiliki

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom