Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikia kiazi huyu hata hajui ulaya iko wapi na America iko wapiKikubwa nipo ulaya hayo mengine utajua wewe
Lazima uwe na bima na bima kule angalao uwe na dollar 1000, maisha ya pale utapata pesa lakini zitaishia kwenye matumizi kwasababu kila kitu ni ghali sanaVipi kuhusu matibabu, elimu, maji, umeme? Mmarekani asiye na kitu akiumwa huduma za afya zipoje? Analipa kiasi gani? Bima kiasi gani inacover? Nasikia kuna majimbo yana unemployment benefit ni kweli?
Raia wa Marekani % kubwa wana bima? Huduma za hosp zipoje? Linganisha na mhimbili, Kcmc, Mt Meru n.k kwa raia asiye na kitu.Lazima uwe na bima na bima kule angalao uwe na dollar 1000, maisha ya pale utapata pesa lakini zitaishia kwenye matumizi kwasababu kila kitu ni ghali sana
Umeandika mengi sana yaliyo hasi kuhusu wa huko USA ili wasitubabaishe lakini mimi wananibabaisha sana.Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini
Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka???
Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings
View attachment 3035626View attachment 3035627
Hutaki kumiliki mita ya umeme na bili zake Bongoland?Basi tunatofautiana mtazamo.
Mimi nataka kuwa nakula bata tuu sina mpango na maendeleo wala hakuna anaenitegemea kifedha.
Exposure! Exposure! Exposure!Maisha popote, ni kuwa na malengo na kujipanga tu.
lakini ukweli ni kuwa Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Ni vyema kijana akasafiri duniani ili apate "exposure", hata akirudi Tanzania atakuwa ni tofauti na Watanzania wengine.
Vya nini hivyo sasa?Hutaki kumiliki mita ya umeme na bili zake Bongoland?
Huyo Ni mmarekani, sio sawa na muhamiaji.Vipi kuhusu matibabu, elimu, maji, umeme? Mmarekani asiye na kitu akiumwa huduma za afya zipoje? Analipa kiasi gani? Bima kiasi gani inacover? Nasikia kuna majimbo yana unemployment benefit ni kweli?
Ni sawa boss, na mm nia yangu ni kulinganisha maisha ya mmarekani asiye na kitu vs mtanganyika asiye na kitu.Huyo Ni mmarekani, sio sawa na muhamiaji.
Hivi kuishi kwenye majengo mazuri yanayomilikiwa na Serikali na hauna chako hiyo ni nini kama sio utumwa? Serikali yao imetaka ndiyo imiliki utajiri wote lakini sio Wananchi wake, ni sawa na mimi kuishi kwenye nyumba nzuri ya ndugu yangu lakini ni apeche aloloMaisha magum ndio Lin ulisikia wanafunzi usa wanakaa chin? Au shule hamna vyoo? Au Kuna hospital Haina wahudumu ? Au barabara na umeme hamna sehemu nyingi?
Anayekataa kuenda kuishi USA lazima atakuwa chizi maarifa,mwehu au kichaa tu.Hivi kuishi kwenye majengo mazuri yanayomilikiwa na Serikali na hauna chako hiyo ni nini kama sio utumwa? Serikali yao imetaka ndiyo imiliki utajiri wote lakini sio Wananchi wake, ni sawa na mimi kuishi kwenye nyumba nzuri ya ndugu yangu lakini ni apeche alolo