Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Kwanza nipe location ya hao wapigwa miti tuwatembelee mana ndio wanaharibu vijana wetu
 
Watu wamesahau kuwa 75% ya nyumba zote New York ni za Trump. Wanadhani US kila mtu anamiliki ardhi kama hapa bongo.
Acha uongo jitu kama wewe hujawahi kufika hata New York umeokoteza vitaarifa mtandaoni halafu unasema asilimia 75% nyumba za trump hivi unaijua new York city au unalopoka tu na unajua maana ya asilimia 75% mzee hivi mijitu kama nyie ambayo haijielewei itaisha lini jamii forum yaani huyo trump mwenyewe kakuta nyumba zimejazana new York na za kifahari Leo unalopoka hapa eti asilimia 75% ukiambiwa uzioneshe utazionesha au umasikini unakusumbua
 
Umetumia akili ndogo sana kuwaza

Wabongo ni maskini nae unakuta kaajiri mfanyakazi wa ndani na hii inasababishwa na sheria mbovu
Unakuta tajiri mshahara wake kwa mwez ni 500-600k af na yeye kaajiri msichana wa kaz anamlipa 30-50k
 
Watu bwana ivi unajua wtz wengi hawana nyumba,nyumba za udongo na majani nazo ni nyumba? Mtu anaeishi kwenye nyumba Haina maji umeme shida ukimwambia akaishi kwenye izo kota unadhani atakataa?
 
Acha watu waende US wakajionee wenyewe..lakini post Yako haipo balanced,ningependa kama ungeainisha na faida za kuishi Amerika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…