Watanzania msiweke pesa Benki

Mnanitisha NMB wana kaela kangu,

Na hivyo huwa siangalii Salio mara kwa mara.
Usikute wanakata isivyotakiwa.
 
@NMB Tanzania ni ya kweli haya?
 
@NMB Tanzania ni ya kweli.haya?
 
Anzeni nunua dollar angalau uwe na dollar 20,000 cash maana siku yoyote hii nchi inaweza iba pesa za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…