Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kama unajijua una pesa za mawazo nakushaur usije ukathubutu kuziweka pesa zako bank eti kuzihifadhi utakuja kujuta, hali ni mbaya Sana serikali inakwapua pesa za walalahoi bila chembe YA Huruma
#Tonzonia nchi ya kusadikika.
#Tonzonia nchi ya kusadikika.