Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mello? Wee mbona hatarii.Anaweza akawa boss wetu humu, who knows
Thubutuu yake, [emoji23][emoji23][emoji23]Lucas mwashambwa anamjua anayeenda kuteuliwa leo.
CCM ni walewale.Sasa cha kushangaza kitakuwa nini?Kwamba shetani ka-pruni mapembe yake yamekuwa mafupi na butu?Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Why notMello? Wee mbona hatarii.
Yaani CCM yenye hazina ya wanachama wenye sifa, uwezo na weledi wengi namna ile iwe na hofu?Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Lazima awe samalekoKuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Huyu atatufaa sana.Apewe Lucas mwashambwa, chawa mwandamizi
Huyu wanajua ni zombi wao hawezi kumpaApewe Lucas mwashambwa, chawa mwandamizi
Wana roho mbaya kabisa hao wateuzi hii ingemfaa sana member mwenzetu Lucas mwashambwa.Lucas mwashambwa anamjua anayeenda kuteuliwa leo.
Labda tumuulize Lucas mwashambwa kwanini hachaguliwi!?Wana roho mbaya kabisa hao wateuzi hii ingemfaa sana member mwenzetu Lucas mwashambwa.
Kabisa 💯 👏👏🙏Shida kibwa ya CCM na wanachama wake ni kudhania kuwa taifa zima ni CCM na tunashiriki shughuli zenu za chama.
Huu ni ukosefu wa akili na maadili ya kidemokrasia.
Boss wetu ni chama tawala kwani?Anaweza akawa boss wetu humu, who knows
Najua basiBoss wetu ni chama tawala kwani?
Wanasema hiyo ndo maana halisi ya chama dola, mambo ya chama na serikali yanachanganyikana humo.Shida kibwa ya CCM na wanachama wake ni kudhania kuwa taifa zima ni CCM na tunashiriki shughuli zenu za chama.
Huu ni ukosefu wa akili na maadili ya kidemokrasia.