Watanzania mtashangaa Katibu Mwenezi CCM atakayeteuliwa leo, msihofu

Watanzania mtashangaa Katibu Mwenezi CCM atakayeteuliwa leo, msihofu

Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!

Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.

Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
CCM ni walewale.Sasa cha kushangaza kitakuwa nini?Kwamba shetani ka-pruni mapembe yake yamekuwa mafupi na butu?
 
Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!

Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.

Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Yaani CCM yenye hazina ya wanachama wenye sifa, uwezo na weledi wengi namna ile iwe na hofu?
Acheni utani bas?🐒

hofu ya nini sasa kwa mfano kwa vifaa vya kazi vyote vile ndrugu zango 🐒

uzuri ni kwamba hukuna asie faa hata moja kwenye nafasi ile, wote ni majembe tu🐒
 
Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!

Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.

Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Lazima awe samaleko
 
Shida kibwa ya CCM na wanachama wake ni kudhania kuwa taifa zima ni CCM na tunashiriki shughuli zenu za chama.

Huu ni ukosefu wa akili na maadili ya kidemokrasia.
Wanasema hiyo ndo maana halisi ya chama dola, mambo ya chama na serikali yanachanganyikana humo.
 
Back
Top Bottom