Watanzania muache huu ushamba mnapofika majuu

Watanzania muache huu ushamba mnapofika majuu

[emoji28][emoji28][emoji28]
Et uswahilini pale nyakato. . .
Mi nashukuru tu leo mwanamke hajausishwa katika ulichoandika apo
Kwani ulijua mtanashati na story zake za tunda
 
WaTz bwana wakienda Ulaya haraka sana
wanajibadilisha majina, ni dalili ya ushamba tu !
tunakujua ulikuwa unakaa uswahilini pale nyakato,
umesoma Shule ya Msingi kirumba ulikuwa bingwa
wa kuiba maembe kule nyegezi, sasa kwa nini jina
lako la Huseni Baruti umeliacha unajiita eti Usain Bolt? Au
nikuongelee kikwenu ndo utanielewa?
Wihonginyoni be
Haaaah unarusha jiwe gizani wewe ila kama nakuelewa hivi unamlenga MTU......

But any way umeongea ukweli uo ni ulimbukeni.....
 
ki

kiswahili chako na maeneo ulotaja inaonekana ww ni ngosha bhas usisaha hata akna ngosha wenzako kama kubaja,magabilo wanapata shida sana huku dah kwa ushamba!!!!na hapo bdo hata majuu hawajaenda
Aisee Laiti ungejua mimi ni wawapi hahahhahah
 
Mie naitwa MISOJI sasa sijui nikienda kule nijiiteje! msaada kwenye tuta please!
 
WaTz bwana wakienda Ulaya haraka sana
wanajibadilisha majina, ni dalili ya ushamba tu !
tunakujua ulikuwa unakaa uswahilini pale nyakato,
umesoma Shule ya Msingi kirumba ulikuwa bingwa
wa kuiba maembe kule nyegezi, sasa kwa nini jina
lako la Huseni Baruti umeliacha unajiita eti Usain Bolt? Au
nikuongelee kikwenu ndo utanielewa?
Wihonginyoni be
Hahahaaaaa hii kali
 
Wazungu wanapata tabu kuita jina la kiafrica baruti anaweza kujing'ata ulimi akitaka kutamka. Inabidi uchague jina rahisi ktk mazingira yanayokuzunguka.

Hata kuvaa nguo usivae kibongo bongo vaa kutokana na mazingira yao. Hata swagga za kuongea pia sio mbaya ukitumia za kwao

Ukikaa kiswazi sana unaonekana wakuja
Aaah wapi, tatizo sisi ndo tunajipa kiherere hicho lakini wao wakija kwetu utakuta mzungu anajina gumu zaidi ya maisha ya awamu hii lakini hata haangaiku kulibadilisha
 
Hahhaha...
Alafu mkuu ID yako inanikumbusha mapango ya Tanga...

Ninajaribu kutangaza utalii wa ndani mkuu; sio kila siku mlima Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar tu. Kuna na Mapango ya Amboni-Tanga. Usipoyatangaza majirani wanaweza dai yako kwao!
 
Haaaah unarusha jiwe gizani wewe ila kama nakuelewa hivi unamlenga MTU......

But any way umeongea ukweli uo ni ulimbukeni.....
Shukrani kama tupo pamoja mkuu
 
Ninajaribu kutangaza utalii wa ndani mkuu; sio kila siku mlima Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar tu. Kuna na Mapango ya Amboni-Tanga. Usipoyatangaza majirani wanaweza dai yako kwao!
Yeah mi niliyapenda yale mapango ya pili yale ya jinsia.. Hahaha
 
Back
Top Bottom