Watanzania muwe Makini Wakenya wameanza tena Chokochoko zao

Hapana nitakuwa simtendei haki. Kumjibu mtu mwenye stress za maisha ni kumwongezea mzigo. So huyo unamwacha tu maana ukisoma kitaalamu unagundua ana stress sana za maisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nimeamini kweli wewe ni intelligent. Umemaliza Boss. Umemaliza kabisa.
 
"wanataka mbegu zako uwachakate"
 
Dah kijana unajua kutuchangamsha 😀
 
Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga?
 
Mpwayungu Village ya kweli haya mbona jamaa anakudhalilisha kiboya kama hivi ?
Huyo anawamudu walimu tu, hajui pigo za kidukulilo maana amejiunga Jf juzi tu.



Kama huwa anapata nguvu za kuwazodoa walimu kisa umasikini laiti angesoma mabandiko ya huyu Billionea wetu wa Jf angejiona ni mpuuzi maana hana hata hela yeye na ukoo wake ya kununua juice moja anayokunywa Billionea wetu Lugano.


Mpwayungu Village
 
Huyo ni bwege tu yupo tandika anauza mihogo ya kuchemsha
 
Mjinga kabisa wewe fala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…