Sitaki kunyoosha kidole kwa mamlaka maana nina imani kila mamlaka inawekwa na Mungu. Iwe mbaya au nzuri ila anaye isimika ni Mungu pekee iwe kwa wizi wa kura ama kwa namna yoyote bado Mungu ndie anaye ziweka mamlaka nakuzipa ridhaa kuwaongoza watu. Yes kama Mungu angakuwa sio anaye bariki mambo kutokea asinge ruhusu Uzaliwa wa kwanza wa Esau uwende kwa Yakobo. Ndio Yakobo alichukuwa baraka za nduguye kwa kupata taarifa toka kwa mama alie vujisha siri ya kumbariki Esau.
Ndivyo ktk siasa wananchi tunagombana na kuumizana ila watu wamesha peana urithi wa kwanza.
Kifo cha Rais wa Tano wa Taifa hili sio kifo ambacho tunaweza kukichukulia cha kawaida nikifo chenye mambo mengi yakufikirisha na sisi tunasema kazi ya Mungu haina makosa.
Hayati Magufuli ameondoka tumebaki sisi na watoto wetu na kama angekuwa hai akapewa nafasi ya mwisho kuongea angesema Watanzania msinililie mimi ila jililieni ninyi na watoto wenu.
Utabiri unaonyesha zipo nyakati ngumu tutaziendea pasipo kufunga na kuombea hili taifa hali itakuwa mbaya zaidi. Maamuzi magumu sana yapo mbeleni msiniulize maamuzi gani ila chukueni haya maono tunayo yaona na tusio yaona Mungu ndio anaye juwa.
Tupo karibu nakujaa kikombe na mwisho kumwagika ndugu zangu ombeeni Taifa Ombeeni Mungu atupe viongizi wazuri wenye nia ya dhati kuliongoza Taifa pasipo kujali dini au kabila la mtu.
Hili taifa sii mali ya mtu au chama au taifa au kabila au dini fulani hili ni taifa la watanzania ndani yake wakiwemo Watanganjika na Wazanzibari kuwa na fikira Taifa hili ni mali ya watu ni kitisho kwa uchumi na ustawi wa watanzania.
Nilazima tuwa na Tanzania mpya chini ya mwamvuli wa Mungu tuna muamini.
Ndugu zangu mimi napenda hii kauli yajayo yanafurahisha wana maombi tupige spana Mungu huyu ashuke na aonyeshe utukufu wake. Amen
Ndivyo ktk siasa wananchi tunagombana na kuumizana ila watu wamesha peana urithi wa kwanza.
Kifo cha Rais wa Tano wa Taifa hili sio kifo ambacho tunaweza kukichukulia cha kawaida nikifo chenye mambo mengi yakufikirisha na sisi tunasema kazi ya Mungu haina makosa.
Hayati Magufuli ameondoka tumebaki sisi na watoto wetu na kama angekuwa hai akapewa nafasi ya mwisho kuongea angesema Watanzania msinililie mimi ila jililieni ninyi na watoto wenu.
Utabiri unaonyesha zipo nyakati ngumu tutaziendea pasipo kufunga na kuombea hili taifa hali itakuwa mbaya zaidi. Maamuzi magumu sana yapo mbeleni msiniulize maamuzi gani ila chukueni haya maono tunayo yaona na tusio yaona Mungu ndio anaye juwa.
Tupo karibu nakujaa kikombe na mwisho kumwagika ndugu zangu ombeeni Taifa Ombeeni Mungu atupe viongizi wazuri wenye nia ya dhati kuliongoza Taifa pasipo kujali dini au kabila la mtu.
Hili taifa sii mali ya mtu au chama au taifa au kabila au dini fulani hili ni taifa la watanzania ndani yake wakiwemo Watanganjika na Wazanzibari kuwa na fikira Taifa hili ni mali ya watu ni kitisho kwa uchumi na ustawi wa watanzania.
Nilazima tuwa na Tanzania mpya chini ya mwamvuli wa Mungu tuna muamini.
Ndugu zangu mimi napenda hii kauli yajayo yanafurahisha wana maombi tupige spana Mungu huyu ashuke na aonyeshe utukufu wake. Amen