kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
1.Is 9 percent a kenya centre bank rate or normal bank rate????
2.Is interest rate the only factor to attract investment? If so check the following:
world investment report/united nations conference on trade and developments(unctd) on foreign direct investments as per each country has attracted by rank
1Tz =$ 1.2b
2.ug=$ 700m
3.Kenya=$672m
4.Rwanda $366m
5.S/sudan=$80m
6.Burundi=$ 0.3m
Please,dont use data from kibera
Hii data mtatumia mpaka mkufe. Ukweli ni kwamba FDI yote yenu ni mashine mbili za mining.
Lakini topic ya huu uzi ilikuwa kuhusu interest rates.
Foreign investors wanakuja na pesa yao kutoka kwa benki zao.
Lakini ukweli ni kuwa local investors ndio wengi zaidi kwa kila nchi. Wadogo kwa wakubwa.
Watapata wapi mikopo ya bei nafuu?