Watanzania ndiyo raia waungawana zaidi Africa Mashariki?

Watanzania ndiyo raia waungawana zaidi Africa Mashariki?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huwa kuna kauli zinasemwa au zinaandikwa kwamba "...arudi kwao Rwanda au Burundi", "huyo atakuwa Mtusi", "Watanzania hatuko hivyo" n.k

Kwa nini inadhaniwa watu wa Rwanda na Burundi kuwa wana roho mbaya sana kuliko Watanzania?

Nini kinatufanya au kinaashira tuamini kwamba sisi ni watu waungwana au wenye roho nzuri sana kuliko raia wa mataifa mengine kama Burundi, Rwanda, Kenya na mengine mengi ya Africa?
 
Hapana sisi sio waungwana Bali ni makondoo. Hiyo sifa ya uungwana Wala cake ya Taifa huwa wanatuita Ili kutuziba ufahamu.

Ni sawa na kumuona mwanamke ni mbaya wa sura, kisha ukampa sifa za uongo kuwa yeye ni bonge la mrembo. Utashangaa na yeye anavimba kichwa kweli kuwa yeye ni mrembo, kumbe wapi.
 
Huwa kuna kauli zinasemwa au zinaandikwa kwamba "...arudi kwao Rwanda au Burundi", "huyo atakuwa Mtusi", "Watanzania hatuko hivyo" n.k

Kwa nini inadhaniwa watu wa Rwanda na Burundi kuwa wana roho mbaya sana kuliko Watanzania?

Nini kinatufanya au kinaashira tuamini kwamba sisi ni watu waungwana au wenye roho nzuri sana kuliko raia wa mataifa mengine kama Burundi, Rwanda, Kenya na mengine mengi ya Africa?
Jomo kenyata aliwahi mwambia Nyerere kwamba anatawala Maiti.
 
Hapana sisi sio waungwana Bali ni makondoo. Hiyo sifa ya uungwana Wala cake ya Taifa huwa wanatuita Ili kutuziba ufahamu. Ni sawa na kumuona mwanamke ni mbaya wa sura, kisha ukampa sifa za uongo kuwa yeye ni bonge la mrembo. Utashangaa na yeye anavimba kichwa kweli kuwa yeye ni mrembo, kumbe wapi.
Maiti acording to Jomo Kenyata
 
Unachanganya mambo na mada za kijumla jumla aina hii.
Uzembe wa kuchambua mambo unakupa nafasi ya kuhitimisha kizembe hivyo hivyo.
 
Mambo ya ajabu sana
 
Back
Top Bottom