mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili.
Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.
Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:
1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.
2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.
3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.
Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.
4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.
Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.
5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.
6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.
7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.
8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.
9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.
Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.
Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.
Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:
1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.
2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.
3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.
Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.
4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.
Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.
5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.
6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.
7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.
8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.
9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.
Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.