Watanzania ni 'low minded'?

Watanzania ni 'low minded'?

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili.

Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.

Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:

1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.

2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.

3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.

Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.

4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.

Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.

5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.

6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.

7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.

8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.

9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.

Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.
 
Ukienda twitter ndio utajionea maajabu ya Dunia,

Mfano Mo Dewji anapost kakutana na mfanya biashara fulani,Kiongozi au muwekezaji,ameongea mambo ya biashara,

Ila zinashuka comment za mambo mengine kabisa na mada husika!

Utasikia ''Tajiri tunataka umsajili Feisal,tajiri mbona team inaleta kocha wa hivi"

Halafu comment zitakazofuata,zote zitaijadili ile comment ya mwanzo, ''Kweli tajiri mlete Feisal Simba''
 
Ukienda twitter ndio utajionea maajabu ya Dunia,

Mfano Mo Dewji anapost kakutana na mfanya biashara fulani,Kiongozi au muwekezaji,ameongea mambo ya biashara,

Ila zinashuka comment za mambo mengine kabisa na mada husika!

Utasikia ''Tajiri tunataka umsajili Feisal,tajiri mbona team inaleta kocha wa hivi"

Halafu comment zitakazofuata,zote zitaijadili ile comment ya mwanzo, ''Kweli tajiri mlete Feisal Simba''
It sound crazy
 
Akili tunazo, shida ni umasikini...

Umasikini unaleta ignorance.

Watu wengi hawajapata elimu bora, wanaishi kwenye hali ngumu, wamekulia kwenye familia zilizoharibika unategemea nini?

Hata wakenya wanalalamikia hii issue, niliona kwenye subreddit yao. Nadhani nchi maskini zote zipo hivi...
 
Tatizo ukiongelea siasa hasa siasa za kuikosoa serikali na chama chake unajiingiza kwenye matatizo na wachangiaji wengi hautapata maana kila mmoja anaona ni kujiingiza kwenye hatari. Kwahiyo wengi wanaona ni bora kujadili Simba na Yanga ni salama zaidi kuliko siasa.
 
Akili tunazo, shida ni umasikini...

Umasikini unaleta ignorance.

Watu wengi hawajapata elimu bora, wanaishi kwenye hali ngumu, wamekulia kwenye familia zilizoharibika unategemea nini?

Hata wakenya wanalalamikia hii issue, niliona kwenye subreddit yao. Nadhani nchi maskini zote zipo hivi...
Ukielimika inatakiwa uwe sehemu ya suluhisho au mleta suluhisho kwenye matatizo ya jamii na si kukejeli.
 
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili.

Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.

Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:

1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.

2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.

3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.

Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.

4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.

Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.

5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.

6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.

7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.

8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.

9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.

Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.
Kutokana na ulichokiandika sifa tajwa hapo juu basi kwa heshima na taadhima unaunganishwa nawewe ukiwemo basi kama wewe umo huu uzi unakosa sifa za kuwalaumu Watanzania kwani andiko limeandikwa na Mtanzania huku anatukana watanzania Andiko hili lingekuwa na mashiko lingeandikwa na Raia wa kigeni sasa kama wewe una Low minded nani atakuamini kwa andiko hili?
 
Kutokana na ulichokiandika sifa tajwa hapo juu basi kwa heshima na taadhima unaunganishwa nawewe ukiwemo basi kama wewe umo huu uzi unakosa sifa za kuwalaumu Watanzania kwani andiko limeandikwa na Mtanzania huku anatukana watanzania Andiko hili lingekuwa na mashiko lingeandikwa na Raia wa kigeni sasa kama wewe una Low minded nani atakuamini kwa andiko hili?
Hiyo ndio maana halisi ya maneno haya "with vivid examples"
 
Back
Top Bottom