Watanzania ni 'low minded'?

Watanzania ni 'low minded'?

Sijapinga ila kwa kuwa Akili huna ndo maana huoni mantiki ya nilichokiandika kwa kuwa wewe si Mtanzania ndo maana unaniona low minded mleta mada hajasema baadhi ni wa Tanzania ni wote sasa kama ni watanzania wote yeye atakuwa nani? Na kama nawe ni Mtanzania umo kwenye kundi umeelewa we Matak?
Hiyo amesema yeye, Binafsi mimi sio low minded.. na yeye kuandika hivo inawezekana amebadilika
 
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili.

Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.

Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:

1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.

2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.

3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.

Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.

4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.

Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.

5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.

6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.

7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.

8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.

9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.

Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.
Uko sahihi 99%.
 
Mimi nakazia hoja watanzania wote ni wajinga kabisa ukitoa tu wale wenye asili ya Asia na ulaya.Na ukitaka uwin kimaisha na kipesa hapa bongo waanzishie biashara za kuwatia umaskini kama viwanda vya pombe Kali a.k.a gongo iliyothibitishwa na Tbs ya Bei rahisi na anzisha kampuni ya kubeti tu uwapune pesa zao Wacha wawe masikini tu,shubaamiti.
 
Mimi nakazia hoja watanzania wote ni wajinga kabisa ukitoa tu wale wenye asili ya Asia na ulaya.Na ukitaka uwin kimaisha na kipesa hapa bongo waanzishie biashara za kuwatia umaskini kama viwanda vya pombe Kali a.k.a gongo iliyothibitishwa na Tbs ya Bei rahisi na anzisha kampuni ya kubeti tu uwapune pesa zao Wacha wawe masikini tu,shubaamiti.
Acha ubaguzi na uzwazwa. Inaonekana wewe ni gabacholi. Hao waasia wamefanya nini zaidi ya kutawaliwa na kuwaramba matako wazungu? Hujui usemalo nyambaff na umeishiwa na kukata tamaa kiasi hki! Senzi kabisa. Nenda kaishi huko kwa wanjanja wako uone watakavyokubagua na kukunyonya.
 
Ukienda twitter ndio utajionea maajabu ya Dunia,

Mfano Mo Dewji anapost kakutana na mfanya biashara fulani,Kiongozi au muwekezaji,ameongea mambo ya biashara,

Ila zinashuka comment za mambo mengine kabisa na mada husika!

Utasikia ''Tajiri tunataka umsajili Feisal,tajiri mbona team inaleta kocha wa hivi"

Halafu comment zitakazofuata,zote zitaijadili ile comment ya mwanzo, ''Kweli tajiri mlete Feisal Simba''
Itakuwa channel za wengi hazikamati 😀😀 unakuta labda kuna habari inaihusu Kenya wamefanya jambo fulani la maendeleo mtu anatoka huko anaanza kusema Tanzania baba lao.
 
Tunaposema wa-Asia kama China, Singapore, South Korea na Japan wako vizuri zaidi kuliko wengine duniani katika hesabu tunajua wapo viliaza sana pia katika hesabu.
Nuance my dude, nuance.

The statement needs nuance, calibration, qualification, contex, etc., to be meaningful.

Otherwise, it is a simple case of hasty generalization.

To say "Tanzanians generally don't speak French" is not the same as saying "Tanzanians don't speak French".

The word "generally" here is a caveat that qualifies the statement to put it in context that this is not the case in every case, just generally.

I know Tanzanians who speak French. My mother spoke French before I could speak English.

So, saying "Tanzanians don't speak French" would not be correct.
 
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili.

Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.

Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:

1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.

2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.

3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.

Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.

4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.

Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.

5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.

6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.

7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.

8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.

9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.

Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.
Naona umeamua kuwasema CCM, ndani ya CCM kila mwanachama anaweza kuwa rais mradi tu ateuliwe kugombea na kura zake za ushindi tayari zimekwisha jumlishwa.
 
unataka ufanyiwe kila kitu?

Utakuwa umegraduate degree kitivo cha lugha au mambo ya kale...

To every problem there is a solution, sasa kwa kuwa umeng'amua ya kwamba walio Watanzania wengi wana ufinyu wa fikra basi toa muongozo wa namna ya kuwasaidia wasiendelee kuwa kwenye ufinyu wa fikra...

Kitendo cha kutaja tu matatizo pasipo kuainisha pia namna ya kujikwamua nayo pia ni ufinyu wa fikra...
 
Heri ya sikukuu ya mwaka mpya, Wanajukwaa hili.

Penye ukweli uongo hujitenga. Hili naomba lieleweke vema.
Miongoni mwa low minded people in Africa ni jamii za Watanzania.

Mpaka kufikia umri huu, nakubaliana na 'phrase' hiyo hapo juu kwa sababu nilizoona kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu kwa jamii hizi:

1. Kutopenda kujibu vitu kwa facts.
Sifa za watu wenye akili za chini ni kupenda kuchukulia vitu kirahisi rahisi na kuleta majibu ya mepesi kwenye hoja ngumu. Watanzania ni mabingwa sana kwenye hili.

2. Kuchukia kuulizwa maswali na kukwepa mijadala ya hoja.
Watanzania kwa wingi wao, hawajazoea kuongea kwa facts na kuulizwa maswali. Wanakwepa maswali kwa sababu CPU ni ndogo, kisoda.

3. Kutopenda kujifunza mambo ya msingi na kuyafuatilia.
90% ya mikusanyiko niliyoishuhudia hususani hapa jijini, maudhui yaliyoongelewa ni ya Simba na Yanga. 90% ya wahusika wa mijadala hiyo, wote ni vijana ambao walitakiwa kuwaza vitu sensible.

Hatukatai kuna muda wa kazi na refreshment, ila kwa uzoefu wangu 90% ya time vijana wa jijini hutumia kwenye mpira na mijadala mingine ya kipuuzi ya kupoteza muda. Wakitoka hapo kwenye betting, kisha kulala. Siku imekwisha.

4. Kujificha kwenye wingi na makundi ya kijinga.
Utasikia, "sisi akina fulani tuna hela kweli, 90% ya yale maghorofa pale Kariakoo ni yetu".
Wengi ni kama nyumbu, mmoja akinyoa afro, basi wote wananyoa afro. Mitaa mingi DSM 99% ya vijana wamenyoa mnyoro unaofanana.

Wanachuo tunaotegemea wawe wataalamu wetu, nao ni low minded kwa finding yangu. Wote wana minyoro sawa.

5. Kuoneana aibu na kufumba fumba maneno.
Utasikia, " usiongee kwa sauti atasilia", "punguza ukali wa maneno" nk, ukiuliza huo ukali wa maneno unauogopea nini, jibu hakuna. No fact. Low minded hawajazoea na hawataki lugha kali.

6. Concentration kwenye vitu vya kijinga.
Unakuta unaulizwa, "kwa nini humjui Breezy?". Nonsense.
Mara, " halafu mbona hunenepi tu?". Vitu vya msingi hawaulizi. Maswali kama, "hivi katiba ni nini?", " budget model naiandaaje?" nk.

7. They are easily manipulated.
Tusiende mbali. Hapa hapa nyumbani unakuta linatokea jambo kubwa la kitaifa, ambalo ni muhimu raia wawe nalo macho na watafute updates zake kwa udi na uvumba. Ila unakuta spinning ndogo tu inawatoa mchezoni.

8. Wepesi sana ku-panic.
Akikosolewa ata panic, hata akikosolewa kwa staha. Akishauriwa ata panic. Akitukanwa ndiyo usiseme. Suluhisho la yote ni kupigana. Akili ndogo.
Na Watanzania wengi wapo hivyo.

9. Kuchunguzana kwenye vitu vya kipuuzi. Hili maelezo yake ni mengi sana.

Safari ya Taifa hili kiukweli ni ndefu.
Don't anything personal
 
Kuna Ile ya "Ngoja niingie hapo kati kupoteza poteza muda"... Na hilo la kuchunguzana kama ulivyosema ni ndefu mno.
Tatizo la mfumo wa Serikali Magufuli angekuwepo na mifumo yake ya kutuminya tufanye kazi tupate pesa Vijana akili ingetukaa sawa, Maana vijana wangeamka wasinge waza kukaa vijiweni kuongea Simba na yanga wakati wana njaa na hajui atakula nini na atapaka ajira wapi.
 
Hatuko tayari kwa huu mjadala, are we?

Kama unafanya utafiti usio rasmi, Platform ya umbea ya nje kitu kikipostiwa utaona reaction zenye mtazamo tofauti tofauti kutoka kwa watu wanaocomment, Argument itakayoendelea hapo baina ya mtu na mtu utagundua hawa watu wako “hai” na hii ni page ya umbea/habari za kawaida sijui hali ikoje kwenye platform zao za masuala ya siasa, science etc

In contrary; Huku kwetu Post ya kitu cha msingi kabisa, utasikia sina mwanasheria, mwingine mitano tena, ilimradi vurugu . Na hata watakaojaribu kuargue basi utagundua ni kama wanaongea mawazo ya mtu mwingine ambaye ametangulia kuyatoa na anaaminika kwenye jamii/influencial, Au tuseme mtu atachukua mawazo ya ZZK ndio atayatumia kufanyia argument. Leave alone vijana wa UVCCM ni kama wao huwa wanakutana kujadili vitu na wakitoka hapo majibu yao kwenye kila mjadala yanafanana hata choice yao ya maneno.

Kuna tatizo! Moja ya tatizo ni serikali au vyombo fulani au watu fulani wameteuliwa “kucontroll narrations”

Siamini kama akili za zetu ni mfu kiasi hiki.
Sio mambo ya siasa tu hata masuala ya Usalama barabarani. Ajali imetokea kwa uzembe kabisa, ukitoa hoja yenye mashiko utasikia kifo au ajali haina kinga, kutakufuata popote. Mara watu wanatoa makafara, freemasons etc. Yaani ni wachache sana wataleta hoja ya maana na hao wanaishia kukejeliwa.
 
Ukitaka kujua akili za wabongo nenda kwenye posts za BBC na DW Kiswahili FB,Insta au X comments za Wakenya, Wabongo na Wakongo etc utaona Wabongo mostly wanatukana tu kubishana na hawana hoja kujadili mada iliyoletwa na hizo idhaa
 
Back
Top Bottom