Uchaguzi 2020 Watanzania ni waelewa sana, 2020 tunachagua maendeleo

Uchaguzi 2020 Watanzania ni waelewa sana, 2020 tunachagua maendeleo

Kwani acacia waliletwa na serikali ya chama gani? Mbona watu mnakuwaga mapoyoyo hivi?
Wewe Ni mjinga au serikali inaleta mtu? Na dalali wa wa accacia Alie tutisha tutashitakiwa miga tusipo waruhusu watupore madini Ni nani? Si lisu au hujui tukufahamishe!!!
 
*WATANZANIA NI WAELEWA SANA, 2020 TUNACHAGUA MAENDELEO*

Na Emmanuel J. Shilatu

Uchaguzi Mkuu 2020 unazidi kukolea na kupamba moto ambapo kila chama, kila mgombea anajinadi kivyake kwa sera zake. Hapa ndipo penyewe.

Kuna chama kinahubiri JPM asichaguliwe tena kwa sababu analeta maendeleo ya vitu pasipo maendeleo ya Watu. Hapa ndipo ulaghai wa si-hasa unapoanzia.

Hivi inawezekana vipi kuwa na maendeleo ya Watu bila ya kuwa na maendeleo ya vitu? Unatofautishaje maendeleo ya vitu na maendeleo ya Watu? Mathalani ukinunua gari hayo yatakuwa maendeleo ya kitu au ya Mtu?

Mwanasiasa huyo huyo anayepinga maendeleo ya vitu ndio huyo huyo amepanda gari toka kwake kuna lami mpaka uwanja wa ndege kupanda Air Tanzania ya kumuwahisha hotelini kufanya mkutano na Waandishi wa habari! Hapo anatengaje maendeleo ya vitu na maendeleo ya Watu? Kama haoni vitu ni maendeleo ya Watu angepanda Punda toka Kijijini kwake akaenda chini ya Miti kufanya mikutano kila mahali!

Ukweli unabakia pale pale hakuna maendeleo ya Watu bila maendeleo ya vitu. Hauwezi ukasema Watu wa nchi yangu wana maendeleo bila ya kuwa na maendeleo ya vitu kama vile miundombinu bora ya barabara, viwanja vya ndege, reli ya kisasa ya SGR, Madaraja kama ya Mfugale na ya Ubungo, Mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme kama ule wa Mto Rufiji unaozalisha megawatts 2115; Bila ya kuwajengea Zahanati, Vituo vya afya, hospitali; Au kuwajengea shule, hostel na vyuo; Ama kuwa na maendeleo ya ndege za kisasa kama ndege 10 zilizonunuliwa na Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka 5 tu.

Watanzania ni waelewa sana, tunajua hakuna maendeleo ya Watu bila ya kuwa na maendeleo ya vitu kama vilivyoanza kuletwa na Rais Magufuli.

Kuna chama sera yao kubwa ni "Kazi na Bata" yaani wakifika Ikulu ni mwendo wa "Bata" tu yaani starehe kwa kwenda mbele. Hilo Bata linawahusu Wapiga kura Watanzania wote ama ni wao peke yao?

Kwanza kabisa neno "Bata" tu ni neno la kihuni kama yalivyo maneno mengineyo ya kihuni yasiyo na heshima wala staha. Kutumia neno la kihuni ni kufikiria Watanzania wote ni Wahuni. Haya ni matusi makubwa yasiyokubalika.

Tanzania ni nchi ya kistaarabu na pia Ikulu sio bar, club ama Casino ya kufanyia starehe na anasa. Ni sehemu ya heshima kwa ajili ya kulijenga Taifa kwa kuliletea maendeleo.

Watanzania hatuhitaji mambo ya kihuni, Watanzania tunahitaji maendeleo.

Chagua Maendeleo
Chagua Magufuli
Chagua Chama Cha Mapinduzi (CCM)

*Shilatu E.J*View attachment 1530022
Maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao wengi ni wapinzani na wananchi wasio na vyama, maendeleo siyo Hisani za CCM, maendeleo siyo pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu, maendeleo hakuna na kama yapo ni kidogo sana kulingananisha na pesa inayotumika kudidimiza demokrasia kudhoofisha kuihujumu chadema, pesa nyingi imepotelea kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa
 
Nasikitika Sana dalalali wa accacia wa mabeberu kwenye madini yetu eti nae mgombea uraisi kwa tiketi ya chadema [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Chadema ndiyo iliwaleta acacia Tanzania? Miaka yote wamekula na CCM tokea kuingia mpaka wanatoka na bado mkawa mnapeleka makinikia kimya kimya nje, udalali anao mgombea wa CCM alidalalia kivuko chakavucha cha mwaka 1974 cha Dsm Bagamoyo kwa bilion 8 wakati bei halisi ni dola laki tano tu, zipo wapi bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, zipo wapi trilion 1.5 wakamtoa CAG kukwepa Aibu , CCM hakuna malaika CCM ni ile ile ukoo wa panya
 
Impact ya hivyo vitu haionekani kwenye maisha ya watu wa chini. Hakuna mtu maskini kule Nanyumbu anayefaidika na SGR, ndege, flyover, nk. Watu hawana maji, afya, masoko ya mazao yao, etc
Hiyo Reli itahujumiwa na wafanyabiashara wakubwa wamiliki wa mabasi magari ya mizigo kwani uwepo wake ni ujio wa wao kufirisika hasa ukizingatia kuwa wameteseka juu ya utawala wa mtukufu kwa kuishi kama mashetani
 
Ha! Naona unaota ndoto ya mchana Kwa maamuzi hayo ndo unapoteza kabisa mpe Bora JPM kwa maendeleo 👍
Maendeleo siyo Hisani za CCM maendeleo hayaletwi na pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao siyo CCM
 
Nchi ina zaidi ya miaka 50 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani badala ya kujenga viwanda kila kata, vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa, barabara vijijini kote, daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba iwe Taifa lenye maendeleo level ya Marekani, China, Japan, German, Rusia, UK, Oman na mataifa yote Tajiri, isingekuwa ni CCM wapo madarakani mda huu hata makao makuu ya UN yangeweza kuwa yapo Tanzania, pesa zote za maendeleo zinapotelea kwenye mambo yasiyo na Tija kwa Taifa, kudidimiza demokrasia, kuihujumu chadema kudhoofisha upinzani kutaka kurejesha mfumo wa chama kimoja, kuwalipa mabilioni cyprian Musiba le mutuz na wengineo watengeneza propaganda za kishamba shamba.
 
Chadema ndiyo iliwaleta acacia Tanzania? Miaka yote wamekula na CCM tokea kuingia mpaka wanatoka na bado mkawa mnapeleka makinikia kimya kimya nje, udalali anao mgombea wa CCM alidalalia kivuko chakavucha cha mwaka 1974 cha Dsm Bagamoyo kwa bilion 8 wakati bei halisi ni dola laki tano tu, zipo wapi bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, zipo wapi trilion 1.5 wakamtoa CAG kukwepa Aibu , CCM hakuna malaika CCM ni ile ile ukoo wa panya
Ndio iliwaleta na wakawa wawakilishi wao kupitia tindu lisu
 
Nyie nyie ndio ma jobless kazi kupigania 7000 shenzy!
 
Maendeleo siyo Hisani za CCM maendeleo hayaletwi na pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao siyo CCM
Ni kweli maendeleo Ni ihsani ya CCM sababu Ni chama dola nikuulizie tu swali ambalo huna jibu unadhani kila kinachofanyika Tanzania Ni chama gani kinafanya kwa mfano tu mwenye majimbo yaliyokuwa yanaongozwa na chadema Ni chama gani kimeleta iwe maji.barabara.madarasa.hospital.au chochote kile Kama sio CCM Ni nani? Hebu sema chadema ndani ya miaka hii mitano wamejenga Nini?
 
Ni kweli maendeleo Ni ihsani ya CCM sababu Ni chama dola nikuulizie tu swali ambalo huna jibu unadhani kila kinachofanyika Tanzania Ni chama gani kinafanya kwa mfano tu mwenye majimbo yaliyokuwa yanaongozwa na chadema Ni chama gani kimeleta iwe maji.barabara.mdarasa.hospital.au chochote kile Kama sio CCM Ni nani? Hebu sema chadema ndani ya miaka hii mitano wamejenga Nini?
Maendeleo hayaletwi na CCM bali huletwa na zile kodi katika eneo husika chini ya halimashauri ambazo huwa na madiwani wa vyama vingi, kwanza walipa kodi wakubwa ni wapinzani na wananchi wasio na vyama, kuleta maji siyo ombi ni lazima kwani ni kodi za wananchi, majimbo ya CCM yana umasikini wa kutupwa nenda Kongwa nyumbani kwao Spika Ndungai uone tabu zilizopo, tembelea jimboni kwa kibajaji, mwigulu Nchemba na wengineo wa CCM utashangaa kuna maisha ya kutisha hakuna maendeleo kabsa CCM ni janga la kitaifa.
 
Asilimia 100 ya wanachadema hawataki kazi na hawana kazi wavivu majobles wanawaza chadema iwe chama tawala wapate kazi huu Ni ukilema
CCM hawalipi kodi cha ajabu ndiyo wafujaji wa kodi zinazolipwa na wapinzani na wananchi wasio na vyama
 
Maendeleo hayaletwi na CCM bali huletwa na zile kodi katika eneo husika chini ya halimashauri ambazo huwa na madiwani wa vyama vingi, kwanza walipa kodi wakubwa ni wapinzani na wananchi wasio na vyama, kuleta maji siyo ombi ni lazima kwani ni kodi za wananchi, majimbo ya CCM yana umasikini wa kutupwa nenda Kongwa nyumbani kwao Spika Ndungai uone tabu zilizopo, tembelea jimboni kwa kibajaji, mwigulu Nchemba na wengineo wa CCM utashangaa kuna maisha ya kutisha hakuna maendeleo kabsa CCM ni janga la kitaifa.
Chini ya chama gani?
 
Wewe unawezaje kujua mawazo wakati huwezi kuwaza chochote zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM
Sababu sio mtoto wa miaka ya themanini nikakariri siasa wakati namezaliwa wakati wakudai uhuru
 
Back
Top Bottom