Uchaguzi 2020 Watanzania ni waelewa sana, 2020 tunachagua maendeleo

CCM wakienda ulaya kupiga magoti kuwalilia wazungu kuomba omba misaada huwaita majina haya, wahisani wafadhili, cha ajabu na cha kushangaza hao hao wazungu wakiona CCM wanakiuka haki za binadamu wakaanza kuwakemea huanza kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Sababu sio mtoto wa miaka ya themanini nikakariri siasa wakati namezaliwa wakati wakudai uhuru
Endelea kukumbatia Tabia mbovu mliyoanzisha ya kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani lakini mkumbuke hakuna mabaya yasiyo na mwisho, ipo siku ubaya wenu utafika kikomo wapo wapi akina chiluba, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Abacha, All-Bashiri, mabutu, idd Amin Dada na wenzao waliokuwa na roho mbaya zaidi?
 
Hakuna kitu kibaya Duniani kama uonevu kuwaonea watu Kuwabambikia kesi unyanyasaji hujuma huleta chuki kubwa kwenye jamii
 
Nikisema wewe Ni mtoto na hujui lolote sikosei unataka tufanane na ulaya wakati wanajitawala Karne ya 9 unazungumzia marekani wamepata Uhuru wao zaidi ya miaka 250 iliopita,unazungumzia Oman mtawala wa bahari ya Hindi yote kuanzia Mombasa Zanzibar mzizima(ambayo ndio dar es salaam) kilwa bagamoyo mpaka pwani zote za Mozambique na miji yote iliyo pwani kwa zaidi ya miaka Mia mbili na sisi ambao tumepata Uhuru ndani ya miaka sitini?
 
CCM mabeberu wanaijua haiombi toka tuna tumia pesa zetu kuwapiga mabeberu na kuwaondoa mosambique Angola Zimbabwe botwasana nk tunafanya biashara tu na mabeberu sio chadema mawakala wa mabeberu mpaka lisu kawa mpenzi wa jinsia moja ili tu kuwaradhishisha mabwana zake
 
Hakuna kitu kibaya Duniani kama uonevu kuwaonea watu Kuwabambikia kesi unyanyasaji hujuma huleta chuki kubwa kwenye jamii
Mhalifu lazima ashughulikiwe ikiwa baba na mama yako anashugulikiwa kwa uhalifu wake unashangaa nini wajasiriasiasa wa Cha Domo aka chadema wasishugulikiwe?
 
Watanzania tunayo fursa tena ama kuchagua maendeleo yaliyodhahili au ahadi za kusadikika. Ninawaamini watanzania watamchagua tena JPM ili waendelee kupata maendeleo. Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020- 2025 naiona ni bora na inatekelezeka!
 
Watanzania tunayo fursa tena ama kuchagua maendeleo yaliyodhahili au ahadi za kusadikika. Ninawaamini watanzania watamchagua tena JPM ili waendelee kupata maendeleo. Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020- 2025 naiona ni bora na inatekelezeka!
 
nimependa ulivyoweza kumnadi ndugu mombea wa ccm, ni wazi mengi yametendeka. ila tusijisahaulishe kuwa ni wajibu wa serikali yoyote ile iwapo madarakni,kuhakikisha inaleta maendeleo chanya kwa watu wake. kwanini uongozi uliopita haukufanya? mimi nawe tuhoji. kazi na bata,,umezungumzia bata ni neno la kihuni,je unaukweli wa kisayansi kuhusu uhuni wa neno bata? mbona dhana ya kazi hujaigusia kabisa? oky..lets wait.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…