Watanzania ni wajinga wanastahili kuibiwa

Watanzania ni wajinga wanastahili kuibiwa

Mkuu mwanadamu yyte ukimuweza kwenye elimu basi umefanikiwa sana kwa mambo yalivyo mm simlaumu mwananchi yyte hii ni matokea ya mifumo ya elimu tuliyonayo na wenye mifumo ni serikali so labda viongozi waliweka mifumo hii ya elimu kimakusudi kabisa ili waendelee kutufanya majinga wao wafanye yao.
Umesema vema. Tumegeuka kuwa Jamhuri ya nyumbu.

Shule za SENTI KAJAMBA ni kiwanda bora cha kuzalisha magoigoi na mazezeta.
 
Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.

Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.

Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.

Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.

Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.

Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.

Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.

Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Tanzania eeeh mwanangu kuwa uyaone watu wana push landrover adventure aiseeeee alafu tunalalamila acha tuibiwe tu
 
Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.

Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.

Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.

Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.

Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.

Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.

Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.

Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Duh. Nimekuelewa
 
Mwenye Enzi Mungu nakuomba kwa hawa watu walio sema “Watanzania ni wajinga” na mtu yeyote ambaye ametutukana Watanzania nina kuomba tena niko chini ya miguu yako na kipindi hiki ni cha Kwaresma na Ramadhan nakuomba eeh Mungu Mkuu huo ujinga na upumbavu ukawapate wao na family zao mpaka kizazi cha nne laana zote za Zaburi 35 na Zaburi 109 zikawapate wote katika uzi huu walionenea watu Watanzania vibaya!
Nina jua wazi kabisa uta tenda maana nguvu za maisha zina toka katika kunena!
Ninaamini uta watendea kama walivyo tamka yeye na family yake mpaka kizazi cha nne!
Nakushukuru eeh Rabuka maana wewe unatupa yote tuyanenayo!
Aamina[emoji2972]
 
Good observation. But solution yako ni ipi? Naingoja sana, mkuu.

NB: Ujinga siyo kipaji, bali ni ugonjwa, formidable foe (if you like).
 
Tatizo ni shule ya mawazo. Dhana ni kwamba Waafrika ni wajinga na kwa hivyo, wanapaswa kuzungumziwa kwa kupuuza kabisa utu wao. Hii peke yake haina tija na matokeo hayazai matunda... Sijawahi kukaa na kumsikiliza yeyote anaye kosa adabu na ni mnyanyasaji.

Hakuna mtu humu anayeweza kuwa anawaita watoto zake au ndugu zake wajinga kila siku halafu akategemea kupata mazuri.

Wacheni ugaidi
 
Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.

Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.

Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.

Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.

Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.

Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.

Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.

Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Wewe nawe mshirika wa [emoji304][emoji304][emoji304][emoji304][emoji304]

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.

Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.

Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.

Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.

Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.

Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.

Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.

Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Sukuma gang at work. Hivi Assad alifanywa nini na lile ovu?
 
Tanzania tuna kaujinga fulani
Tupo radhi kutukanana kuhusu simba na yanga Diamond na alikiba ia report ya CAG hawana muda nao
Assad alifichua wizi wa Jiwe akatolewa
 
Back
Top Bottom