Ungeanza kudeclare interest kuwa u mmoja wa hao WAJINGA ungeeleweka kirahisi.
In other words unasema, mwerevu mmoja anawahitaji wajinga Ili wasaidiane kufikia lengo Fulani zuri, hivyo zinahitajika jitihada za mwerevu kuelimisha wajinga Kwa AKILI kubwa.
Anyway,
Kwakuwa pesa hizo zinaibwa na Watanzania hao hao, wezi wanajiona kuwa WAJANJA kati ya kundi kubwa la wajinga.
Lakini Pia Kwa kuwa ujinga ni suala la kupita, tutegemee watabadilika na kuchukua hatua.
UPUMBAVU ni kuibia ndugu zako maskini na kwenda kuficha ktk Benki za matajiri Ili pesa hizo zitumike kuendeleza ajira za watoto wa matajiri.
Furaha yangu ni kuwa, Dunia inaingia ktk Recession na pesa zitapotelea huko baada ya mabenki kufilisika.
Wangekuwa na chembe ya akili, wangezirudisha wawekeze nchini mwao.
Tusubiri.
In other words unasema, mwerevu mmoja anawahitaji wajinga Ili wasaidiane kufikia lengo Fulani zuri, hivyo zinahitajika jitihada za mwerevu kuelimisha wajinga Kwa AKILI kubwa.
Anyway,
Kwakuwa pesa hizo zinaibwa na Watanzania hao hao, wezi wanajiona kuwa WAJANJA kati ya kundi kubwa la wajinga.
Lakini Pia Kwa kuwa ujinga ni suala la kupita, tutegemee watabadilika na kuchukua hatua.
UPUMBAVU ni kuibia ndugu zako maskini na kwenda kuficha ktk Benki za matajiri Ili pesa hizo zitumike kuendeleza ajira za watoto wa matajiri.
Furaha yangu ni kuwa, Dunia inaingia ktk Recession na pesa zitapotelea huko baada ya mabenki kufilisika.
Wangekuwa na chembe ya akili, wangezirudisha wawekeze nchini mwao.
Tusubiri.