BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #21
Umesema vema. Tumegeuka kuwa Jamhuri ya nyumbu.Mkuu mwanadamu yyte ukimuweza kwenye elimu basi umefanikiwa sana kwa mambo yalivyo mm simlaumu mwananchi yyte hii ni matokea ya mifumo ya elimu tuliyonayo na wenye mifumo ni serikali so labda viongozi waliweka mifumo hii ya elimu kimakusudi kabisa ili waendelee kutufanya majinga wao wafanye yao.
Ukisema wewe inatosha, simama shika bango uandamane acha kujificha nyuma ya keyboard na fake ID. Unlock your Identity first upaze sauti.
Tanzania eeeh mwanangu kuwa uyaone watu wana push landrover adventure aiseeeee alafu tunalalamila acha tuibiwe tuHapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Mkulungwa umepotea sana siku iziNimekuelewa
Duh. NimekuelewaHapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Wewe nawe mshirika wa [emoji304][emoji304][emoji304][emoji304][emoji304]Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Sukuma gang at work. Hivi Assad alifanywa nini na lile ovu?Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Assad alifichua wizi wa Jiwe akatolewaTanzania tuna kaujinga fulani
Tupo radhi kutukanana kuhusu simba na yanga Diamond na alikiba ia report ya CAG hawana muda nao
Watatokaje huku unasema wamerithi. Sukuma gang ni wapumbavu kwa kifupiNdio maana niko hapa kuwafokea ili muamkee mtoke kwenye unyumbu wa kurithi.
Andamana hata wewe, watanzania siyo masheikh na mapadre tu,na Wala hawawjibiki kuandamana kwa kila JamboAsante.