Kuna wasanii wengine hata hiyo fursa tu yakuonekana hawapati, msanii ukishajulikana teyali suala linabaki kwako nikujituma basi na shindano la bss dhumuni lake kuu ni kumpa msanii platform ya kuonekana zawadi Ni bonus.Platfom bila ela wapi na wapi..
Hizo nyimbo utarekord vipi..
Videos nazo jeh..?
Utaendelea kuishi kwenu..
Utakula platforms?
'Sanaa sio kiwanda cha kutengeneza maskini wenye majina makubwa '
Acha kuwaza utoto bwana mdogo..
Inabid akae sehem moja sio anahama hama kama kitenesiMara Platforms..
Mara Ustar..
Mara Hotel ya Nyota9..
Mara Make Up..
Ata mie nashindwa kumwelewa aise
Hana maanaMtoa mada lengo lake ni kutunanga watanzania tuliotokea Nanjilinjili, kuwa hatuna shukurani, BSS ndiyo imetuleta mujini, tumejua kulala 5 star hotel, so hatuna haki ya kulalamika hatujapokea zawadi kama ilivyotangazwa...
Turudi kijijini tukakate mkaa..
ππππππ
Nonsense!
Everyday is Saturday.....................π
Uandishi gani ule wa kujidai kujua kila kitu kuliko wengine? Acha hizo mkuu.Magazet yke n yepi. M napenda uandishi wake aise