Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

Itakuwa matako yanalia mbwata.
Maana inasemwa Maskini akipata matako hulia mbwata
 
Unamaana ujui nini huwa kinatokea pale Diamondi anapoingiaga kwenye umati? Unajua kati ya umaarufu, yaani kuwa na fun base kubwa na utajili? Kwa diamond ulinzi unaitajika tena sana na asipofanya hivyo mtaanza kutoa lawama kama za mo kipindi kile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamondplatnumz ni msanii maarufu na mwenye mafanikio makubwa kwa sasa Tanzania na hata Africa.

Kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza, Diamond pamoja na Harmonize kulindwa na Mabaunsa zaidi ya mmoja hali ya kuwa usalama nchini kwetu si wa kutisha kihivyo kama Somalia au Mogadishu, Je hizi ni sifa za umaarufu au ni jeuri ya pesa ama ni jambo jema kwa usalama wao?

Kwa mfano jana kwenye msiba wa Ruge harmonize na Diamond wamefanya jambo jema sana kwenda. Lakini kulimuwa na haja gani ya kwenda na msululu wa Mabaunsa hali ya kuwa Pale kulikuwa na viongozi wakubwa wa serikali Raisi pamoja na Raisi msitafu mana yake ulinzi uliokuwa pale ni wakutosha sana.

Mi nadhani hawa madogo wajifunze jinsi ya kwenda misibani pale sio sehemu ya show off mbona hatukuona matajiri wengine na watu maarufu hawana mabodigadi kama vile au wao wana maadui wengi sana?

Matokeo yake wameshindwa hata kuaga mwili wa marehemu hatujui kama walizuiliwa kwa sababu ipi Lakini diamond pamoja na Management yake lazima wajue jinsi ya kwenda kwenye public mbona mbona wasanii wenzao hawana hizi drama au wao hawana hela?

Punguza sifa za umaarufu mwisho wa siku haya maisha tu hata ulindwe vipi siku kifo hakikwepeki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Anachokifanya Diamond ni kuibland biashara yake ili mashabiki wa muone ni special, mashabiki wengi watakuwa na hamu ya kumuona diamond hasa jinsi anavyo lindwa, Kwa hiyo huo ni mpango wa kibiashara zaidi na Wala sio swala la usalama tu. Yaani km jinsi ulivyoshangaa ww jinsi anavyolindwa, ndivyo utakapokuwa na hamu ya kumuona live.
 
Mkuu, tafuta tu hela hata ukitaka kulindwa Hadi chooni watu wanakulinda.. So usiwashadadie namna huu kana kwamba wameanza wao.. Kwani angekuja Jiwe asingekuwa na ulinzi wake tosha hali ya kuwa kulikuwa na ulinzi kama ulivyosema..?
 
Diamondplatnumz ni msanii maarufu na mwenye mafanikio makubwa kwa sasa Tanzania na hata Africa.

Kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza, Diamond pamoja na Harmonize kulindwa na Mabaunsa zaidi ya mmoja hali ya kuwa usalama nchini kwetu si wa kutisha kihivyo kama Somalia au Mogadishu, Je hizi ni sifa za umaarufu au ni jeuri ya pesa ama ni jambo jema kwa usalama wao?

Kwa mfano jana kwenye msiba wa Ruge harmonize na Diamond wamefanya jambo jema sana kwenda. Lakini kulimuwa na haja gani ya kwenda na msululu wa Mabaunsa hali ya kuwa Pale kulikuwa na viongozi wakubwa wa serikali Raisi pamoja na Raisi msitafu mana yake ulinzi uliokuwa pale ni wakutosha sana.

Mi nadhani hawa madogo wajifunze jinsi ya kwenda misibani pale sio sehemu ya show off mbona hatukuona matajiri wengine na watu maarufu hawana mabodigadi kama vile au wao wana maadui wengi sana?

Matokeo yake wameshindwa hata kuaga mwili wa marehemu hatujui kama walizuiliwa kwa sababu ipi Lakini diamond pamoja na Management yake lazima wajue jinsi ya kwenda kwenye public mbona mbona wasanii wenzao hawana hizi drama au wao hawana hela?

Punguza sifa za umaarufu mwisho wa siku haya maisha tu hata ulindwe vipi siku kifo hakikwepeki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hao walinzi wa viongozi hapo msibani walienda kumfuata kwake na wangemrudisha kwake maana sijui hata umeandika kitu gani!

Mtu katoka huko atokako ulitaka njiani kote nani amlinde na vipi wakati wa kurudi?
 
Back
Top Bottom