Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

Ishu ya baba yake ni la kifamilia zaidi.

The Future is in Our Brain,Tongue's&Hand's.
Kifamilia zaidi ndo nini!?? Issue ipo kwenye public ww unabana pua hapa. Nani alikuambia ni ya kifamilia wakati Baba yake analalamika hiyo kitu inavyomuumiza...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ku- Generalize weee, unaposema Watanzania unamaanisha hadi bibi kizee alie koromije huko porini nae ni mnafiki....


Ungesema baadhi ya Raia ni wanafiki hapo ningekuelewa sana.

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
 
hivi hakuna mwnjf alie eneo la tukio atujuze mubashara nini kinendelea -kuaga
 
Umeona mkuu.

The Future is in Our Brain,Tongue's&Hand's.

Sasa na wao si wangejinyanyua yeye alienda shule akawa anabinu mbinu na wao wangebinu kipaji cha mtu huwezi kukizima leo Pierre kawa star kwa kipaji cha pombe tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
tukiachana na yoote ya ruge hususani kwetu ambao hayatuhusu ila tunafuatilia, kauli yako ya "the future is in our brains, tongue and hands" , is a very good statement

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ku- Generalize weee, unaposema Watanzania unamaanisha hadi bibi kizee alie koromije huko porini nae ni mnafiki....


Ungesema baadhi ya Raia ni wanafiki hapo ningekuelewa sana.

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
Lakini nadhani umeelewa maada inawalenga kina nani?mara nyingi ni wale wa town na hasa wenye smartphones na hata wenye smart vijijini.

The Future is in Our Brain,Tongue's&Hand's.
 
Sasa na wao si wangejinyanyua yeye alienda shule akawa anabinu mbinu na wao wangebinu kipaji cha mtu huwezi kukizima leo Pierre kawa star kwa kipaji cha pombe tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] aisee ni kweli.

The Future is in Our Brain,Tongue's&Hand's.
 
Hao ndo wanaitwa FAMILIA YA RUGE NJE YA MUTAHABA.
yaani wana hasira kushinda ndugu wa damu wa ruge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakera Sana,lakini jamaa kaenda bado wanaendelea kuponda eti kachelewa Mara eti Mbona kaenda kavaa suti Kama anaenda kuoa duh.

The Future is in Our Brain,Tongue's&Hand's.
 
tukiachana na yoote ya ruge hususani kwetu ambao hayatuhusu ila tunafuatilia, kauli yako ya "the future is in our brains, tongue and hands" , is a very good statement

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee Asante Sana mkuu nafarijika kusikia hivyo be blessed.

The Future is in Our Brain,Tongue's&Hand's.
 
Always, diamond yeye ni mshindi kwa kuwa wabongo wengi wanajua msiba huwa unaombolezewa mtandaoni kwamba mtu akifariki lazima uposti yeye aliamua kutokuposti.

Basi wabongo waliokosa kazi za kufanya acha waanze kumtupia madongo,mara ooh analeta bifu hadi kwenye msiba mbona hajapost..me nikawa najiuliza kwani ni lazima au ni amri kupost kuhusu msiba?
Diamond kwa hekima na busara akachagua kunyamaza.

Jana mida ya saa saba alitinga msibani pale karimjee kuja kuomboleza msiba wa ruge. Aliamua kuja muda wa kawaida kabisa kama raia wengine wasio na dhahifa walivyokuja. Basi wabongo wasivyokosa maneno acha waanze tena, mara ooh mbona kachelewa kuja, ana dharau mara ooh amechelewa kuja ili aje kupata kick.

Nauliza kwani kuna sheria gani inayomtaka mtu awahi kuja msibani? Hivi diamond kwa level hizi ni wakutafuta tena kick?

Diamond always ni mshindi, jana kafika msibani sasa kazi ni kwa wambea wasiokuwa na kazi waanze kumjadili. Diamond ni kama watanzania wengine ata haki ya kuchagua ni yupi wa kumuombolezea.. Mtu sio ndugu yako, sio rafiki yako kwani ni lazima ufanya maombolezo kwenye msiba wake?

Wabongo tuwe serious basi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Always, diamond yeye ni mshindi kwa kuwa wabongo wengi wanajua msiba huwa unaombolezewa mtandaoni kwamba mtu akifariki lazima uposti yeye aliamua kutokuposti.

Basi wabongo waliokosa kazi za kufanya acha waanze kumtupia madongo,mara ooh analeta bifu hadi kwenye msiba mbona hajapost..me nikawa najiuliza kwani ni lazima au ni amri kupost kuhusu msiba?
Diamond kwa hekima na busara akachagua kunyamaza.

Jana mida ya saa saba alitinga msibani pale karimjee kuja kuomboleza msiba wa ruge. Aliamua kuja muda wa kawaida kabisa kama raia wengine wasio na dhahifa walivyokuja. Basi wabongo wasivyokosa maneno acha waanze tena, mara ooh mbona kachelewa kuja, ana dharau mara ooh amechelewa kuja ili aje kupata kick.

Nauliza kwani kuna sheria gani inayomtaka mtu awahi kuja msibani? Hivi diamond kwa level hizi ni wakutafuta tena kick?

Diamond always ni mshindi, jana kafika msibani sasa kazi ni kwa wambea wasiokuwa na kazi waanze kumjadili. Diamond ni kama watanzania wengine ata haki ya kuchagua ni yupi wa kumuombolezea.. Mtu sio ndugu yako, sio rafiki yako kwani ni lazima ufanya maombolezo kwenye msiba wake?

Wabongo tuwe serious basi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Always, diamond yeye ni mshindi kwa kuwa wabongo wengi wanajua msiba huwa unaombolezewa mtandaoni kwamba mtu akifariki lazima uposti yeye aliamua kutokuposti.

Basi wabongo waliokosa kazi za kufanya acha waanze kumtupia madongo,mara ooh analeta bifu hadi kwenye msiba mbona hajapost..me nikawa najiuliza kwani ni lazima au ni amri kupost kuhusu msiba?
Diamond kwa hekima na busara akachagua kunyamaza.

Jana mida ya saa saba alitinga msibani pale karimjee kuja kuomboleza msiba wa ruge. Aliamua kuja muda wa kawaida kabisa kama raia wengine wasio na dhahifa walivyokuja. Basi wabongo wasivyokosa maneno acha waanze tena, mara ooh mbona kachelewa kuja, ana dharau mara ooh amechelewa kuja ili aje kupata kick.

Nauliza kwani kuna sheria gani inayomtaka mtu awahi kuja msibani? Hivi diamond kwa level hizi ni wakutafuta tena kick?

Diamond always ni mshindi, jana kafika msibani sasa kazi ni kwa wambea wasiokuwa na kazi waanze kumjadili. Diamond ni kama watanzania wengine ata haki ya kuchagua ni yupi wa kumuombolezea.. Mtu sio ndugu yako, sio rafiki yako kwani ni lazima ufanya maombolezo kwenye msiba wake?

Wabongo tuwe serious basi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…