Raisi wa nchi kawahi, waziri mkuu kawahi, raisi wa awamu ya nne kawahi na mkuu wa mkoa ambae ndie mlezi wake amewahi asubuhi yeye ana ratiba gani kama watu wazito hao wote wamewahi! Malipo hua ni hapahapa duniani! Mda ndio hua mwalimuKila mtu na ratiba zake, hata kama ukiwahi hutamfufua cha msingi ni uwakilishi wako tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uzushi wewe?! Ni maneno gani alikuwa anayarusha?! Isitoshe tukio lilitokea wakati Ruge yupo hospitali! Sasa nini kinakufanya uone hayo yalikuwa madongo kwa Ruge ambae hakuwepo?Matendo yake hata maneno aliyokuwa anayarusha kwenye mitandao, na wakati clouds wamefungiwa fiesta yeye alikuwa anafanya onesho la wasafi alirusha clip instagram akicheka kicheko cha kebehi wenye akili walielewa alichokuwa anafanya.
Tofauti ya sallam ni Diamond ni ipi katika kazi zao?Acha uzushi wewe?! Ni maneno gani alikuwa anayarusha?! Isitoshe tukio lilitokea wakati Ruge yupo hospitali! Sasa nini kinakufanya uone hayo yalikuwa madongo kwa Ruge ambae hakuwepo?
Mtu ambae alimripua Ruge bila staa ni Sallam ambae alitishia angeanika mambo yake kabla baadae hajasema, kwa heshima ya Kusaga, ameamua kukausha!
Maajabu haya!! Yaani kila kitakachofanywa na mtu wa WCB au management ya WCB basi Diamond anahusika nacho?! Ni watu wangapi wamekuwa wakimlaumu Ruge?! Uliwahi kusikia watu wakimuunganisha na Kusaga kwenye tuhuma zao, ukimwacha Jide?!Tofauti ya sallam ni Diamond ni ipi katika kazi zao?
Tulia sallam ni meneja wa Diamond lijue hilo, kama sallam angefanya kisicho muhusu muajiri wake asingekuwa na nafasi hiyo, kuna tofauti ya Ruge na Kusaga, na sllam na diamond..wasalam, ukiwa kijakazi usijitokeze kuingilia mahusiano ya bosi wako na mabos wenzake, utatumika na sallam alikuwa akitumika., wasallm.Hoja ya hovyo kabisa!! Yaani kila kitakachofanywa na mtu wa WCB au management ya WCB basi Diamond anahusika nacho?! Ni watu wangapi wamekuwa wakimlaumu Ruge?! Uliwahi kusikia watu wakimuunganisha na Kusaga kwenye tuhuma zao, ukimwacha Jide?!
Wanaomfahamu Sallam wanajua kwamba ni mtu asiye na simile; sasa kila atakachofanya au kusema ahusishwe nacho Diamond; kivipi yaani?!
Jibu swali wewe! Nimekuuliza ina maana kila atakachofanya mtu wa WCB ahusishwe nacho Diamond?! Sallam hakusema ni issue gani! Sasa nini kimekufanya uamini alichokuwa amesema Sallam kinamuhusu Boss wake?! Halafu wala hujui lolote! Sallam aliripuka ile siku kufuatia issue ya Mose Iyobo! Sasa hiyo hoja kwamba ukiwa kijakazi usiingilie mahusiano ya mabosi inatoka wapi? Au Sallam ni kijakazi wa Mose?Tulia sallam ni meneja wa Diamond lijue hilo, kama sallam angefanya kisicho muhusu muajiri wake asingekuwa na nafasi hiyo, kuna tofauti ya Ruge na Kusaga, na sllam na diamond..wasalam, ukiwa kijakazi usijitokeze kuingilia mahusiano ya bosi wako na mabos wenzake, utatumika na sallam alikuwa akitumika., wasallm.
Ushaambiwa kila mtu na ratiba zake yeye ni mwananchi wa kawaida tu kwahiyo na yeye alikuja kwa muda wake tatizo liko wapi?Raisi wa nchi kawahi, waziri mkuu kawahi, raisi wa awamu ya nne kawahi na mkuu wa mkoa ambae ndie mlezi wake amewahi asubuhi yeye ana ratiba gani kama watu wazito hao wote wamewahi! Malipo hua ni hapahapa duniani! Mda ndio hua mwalimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni walewale tu mataburasaYote tisa, kumi kanishanga Mrisho Mpoto!!
Hivi Mpoto anafahamu kwamba Ruge alikuwa bosi namba mbili pale Clouds?
Hivi Mpoto anafahamu kwamba Joseph Kusaga ndie bosi namba moja pale Clouds?
Hivi Mrisho Mpoto anafahamu kwamba Diamond anamiliki 45% ya hisa za Wasafi TV na ndio CEO wa Wasafi?
Hivi Mpoto anafajhamu kwamba Joseph Kusaga, au mke wa Joseph Kusaga anamiliki 53% ya hisa za Wasafi TV na kwamba ndie majority shareholder wa Wasafi TV?
Sasa hivi huyu Mpoto anaamini kabisa kwamba Diamond na Kusaga hawakuongea in advace kuhusu kutokwenda kwake pale msibani?!
Hivi huyu Mpoto kabla ya ku-post kumtaka Diamond aende msibani anadhani Kusaga hakuwa amekubaliana na sababu za yeye kutokwenda?!
Hivi huyu Mpoto hata kama alidhani Kusaga hakukubaliana na suala la Diamond kutokwenda pale, anadhani hakumshawishi aende just for image?!
Hivi huyu Mpoto kama Kusaga alimshawishi Diamond lakini Diamond hakumsikiliza boss mwenzake, ndo angemsikiliza yeye mtembea peku peku?!
Bado sijafahamu alikuwa anatarajia ku-achieve nini hasa kwenye post yake ile!!
Kwamba, hata kama kumbe Diamond alikuwa amepanga aende siku fulani na hiyo siku inadondokea baada ya Mrisho ku-post; kwahiyo ndo angeamini kasikilizwa yeye "kama kaka", au?!
Kwahiyo uwezo wako wa kuelewa hapo ndipo ulipoishia, au?!Na wewe ni walewale tu mataburasa
Kwaiyo msiba ulikua ni Wa kusaga?
Alimfedhehesha lini? Kwan mbona huyu jamaa mnamchukia sanaHuwezi kuwa mshindi kwa kumpiga adui yako aiwa amekufa, huyu jamaa atajutia maisha yake yote upuuzi wa kumfedhehesha Ruge akiwa hai, pesa imemvimbisha kichwa.. Ruge ni mshindi maana hakuwahi kujibu upuuzi wowote wala kushindana na ujinga aliendelea kuchapa kazi.
Mkuu mbona ile ilikuwa ni vita ya kibiashara. Hukuona kama ile haikuwa personal attack kwa Ruge bali ilkuwa kwa Clouds nzima?! Kipi kinafanya uamini alikuwa anamshambulia Ruge binafsi.Matendo yake hata maneno aliyokuwa anayarusha kwenye mitandao, na wakati clouds wamefungiwa fiesta yeye alikuwa anafanya onesho la wasafi alirusha clip instagram akicheka kicheko cha kebehi wenye akili walielewa alichokuwa anafanya.
Sijajua lengo linakuwa nini kumzushia mtu maneno! Wanataka wasiokuwa na chuki nae nao wamchuki au vipi?! Inashangaza mkuu.Acha uzushi wewe?! Ni maneno gani alikuwa anayarusha?! Isitoshe tukio lilitokea wakati Ruge yupo hospitali! Sasa nini kinakufanya uone hayo yalikuwa madongo kwa Ruge ambae hakuwepo?
Mtu ambae alimripua Ruge bila staa ni Sallam ambae alitishia angeanika mambo yake kabla baadae hajasema, kwa heshima ya Kusaga, ameamua kukausha!
Ila tofauti ya Manara na Mo unaijua katika kazi zao?!Tofauti ya sallam ni Diamond ni ipi katika kazi zao?
ulijiuliza ni kwa nini Mrisho mpoto alimtumia ujumbe Diamond ahudhurie msiba wa Ruge?Mkuu mbona ile ilikuwa ni vita ya kibiashara. Hukuona kama ile haikuwa personal attack kwa Ruge bali ilkuwa kwa Clouds nzima?! Kipi kinafanya uamini alikuwa anamshambulia Ruge binafsi.
Kwa hiyo sio Diamond tena ni Salam?! Interesting! Anyway onesha ushahidi kwamba Diamond alikuwa anamtumia Sallam kumuattack Ruge, vingenevyo tunahesabu ni maneno tu ya kwenye vijiwe vya kahawa.Tulia sallam ni meneja wa Diamond lijue hilo, kama sallam angefanya kisicho muhusu muajiri wake asingekuwa na nafasi hiyo, kuna tofauti ya Ruge na Kusaga, na sllam na diamond..wasalam, ukiwa kijakazi usijitokeze kuingilia mahusiano ya bosi wako na mabos wenzake, utatumika na sallam alikuwa akitumika., wasallm.
Shobo na mtu mzima kutafuta kiki instagram.ulijiuliza ni kwa nini Mrisho mpoto alimtumia ujumbe Diamond ahudhurie msiba wa Ruge?
Unaijua kazi ya manager? Sallam ni lazima alinde brand ya Diamond kuliko ambavyo Diamond atatumia nguvu kuilinda, brand ikiharibika huwa wa kwanza kulaumiwa ni meneja wake..bye.Ila tofauti ya Manara na Mo unaijua katika kazi zao?!