Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

Ndioooooooooo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yote tisa, kumi kanishanga Mrisho Mpoto!!

Hivi Mpoto anafahamu kwamba Ruge alikuwa bosi namba mbili pale Clouds?

Hivi Mpoto anafahamu kwamba Joseph Kusaga ndie bosi namba moja pale Clouds?

Hivi Mrisho Mpoto anafahamu kwamba Diamond anamiliki 45% ya hisa za Wasafi TV na ndio CEO wa Wasafi?

Hivi Mpoto anafajhamu kwamba Joseph Kusaga, au mke wa Joseph Kusaga anamiliki 53% ya hisa za Wasafi TV na kwamba ndie majority shareholder wa Wasafi TV?

Sasa hivi huyu Mpoto anaamini kabisa kwamba Diamond na Kusaga hawakuongea in advace kuhusu kutokwenda kwake pale msibani?!

Hivi huyu Mpoto kabla ya ku-post kumtaka Diamond aende msibani anadhani Kusaga hakuwa amekubaliana na sababu za yeye kutokwenda?!

Hivi huyu Mpoto hata kama alidhani Kusaga hakukubaliana na suala la Diamond kutokwenda pale, anadhani hakumshawishi aende just for image?!

Hivi huyu Mpoto kama Kusaga alimshawishi Diamond lakini Diamond hakumsikiliza boss mwenzake, ndo angemsikiliza yeye mtembea peku peku?!

Bado sijafahamu alikuwa anatarajia ku-achieve nini hasa kwenye post yake ile!!

Kwamba, hata kama kumbe Diamond alikuwa amepanga aende siku fulani na hiyo siku inadondokea baada ya Mrisho ku-post; kwahiyo ndo angeamini kasikilizwa yeye "kama kaka", au?!
 
Always, diamond yeye ni mshindi kwa kuwa wabongo wengi wanajua msiba huwa unaombolezewa mtandaoni kwamba mtu akifariki lazima uposti yeye aliamua kutokuposti.

Basi wabongo waliokosa kazi za kufanya acha waanze kumtupia madongo,mara ooh analeta bifu hadi kwenye msiba mbona hajapost..me nikawa najiuliza kwani ni lazima au ni amri kupost kuhusu msiba?
Diamond kwa hekima na busara akachagua kunyamaza.

Jana mida ya saa saba alitinga msibani pale karimjee kuja kuomboleza msiba wa ruge. Aliamua kuja muda wa kawaida kabisa kama raia wengine wasio na dhahifa walivyokuja. Basi wabongo wasivyokosa maneno acha waanze tena, mara ooh mbona kachelewa kuja, ana dharau mara ooh amechelewa kuja ili aje kupata kick.

Nauliza kwani kuna sheria gani inayomtaka mtu awahi kuja msibani? Hivi diamond kwa level hizi ni wakutafuta tena kick?

Diamond always ni mshindi, jana kafika msibani sasa kazi ni kwa wambea wasiokuwa na kazi waanze kumjadili. Diamond ni kama watanzania wengine ata haki ya kuchagua ni yupi wa kumuombolezea.. Mtu sio ndugu yako, sio rafiki yako kwani ni lazima ufanya maombolezo kwenye msiba wake?

Wabongo tuwe serious basi! View attachment 1036671

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine wanasema kwa nini alivyaa suti ya bluu na sio nyeusi? Kwamba alivaa hiyo ili aonekane sana maana iko yofauti na wengi.
Jamaa kwa kweli anawachapa bakora wanafiki.
 
Huwezi kuwa mshindi kwa kumpiga adui yako aiwa amekufa, huyu jamaa atajutia maisha yake yote upuuzi wa kumfedhehesha Ruge akiwa hai, pesa imemvimbisha kichwa.. Ruge ni mshindi maana hakuwahi kujibu upuuzi wowote wala kushindana na ujinga aliendelea kuchapa kazi.
 
Yote tisa, kumi kanishanga Mrisho Mpoto!!

Hivi Mpoto anafahamu kwamba Ruge alikuwa bosi namba mbili pale Clouds?

Hivi Mpoto anafahamu kwamba Joseph Kusaga ndie bosi namba moja pale Clouds?

Hivi Mrisho Mpoto anafahamu kwamba Diamond anamiliki 45% ya hisa za Wasafi TV na ndio CEO wa Wasafi?

Hivi Mpoto anafajhamu kwamba Joseph Kusaga, au mke wa Joseph Kusaga anamiliki 53% ya hisa za Wasafi TV na kwamba ndie majority shareholder wa Wasafi TV?

Sasa hivi huyu Mpoto anaamini kabisa kwamba Diamond na Kusaga hawakuongea in advace kuhusu kutokwenda kwake pale msibani?!

Hivi huyu Mpoto kabla ya ku-post kumtaka Diamond aende msibani anadhani Kusaga hakuwa amekubaliana na sababu za yeye kutokwenda?!

Hivi huyu Mpoto hata kama alidhani Kusaga hakukubaliana na suala la Diamond kutokwenda pale, anadhani hakumshawishi aende just for image?!

Hivi huyu Mpoto kama Kusaga alimshawishi Diamond lakini Diamond hakumsikiliza boss mwenzake, ndo angemsikiliza yeye mtembea peku peku?!

Bado sijafahamu alikuwa anatarajia ku-achieve nini hasa kwenye post yake ile!!

Kwamba, hata kama kumbe Diamond alikuwa amepanga aende siku fulani na hiyo siku inadondokea baada ya Mrisho ku-post; kwahiyo ndo angeamini kasikilizwa yeye "kama kaka", au?!


yaani post ya mpoto ndio umeandika maneno meeengi kama haya

ilikuuma?? wewe ni nani kwa diamond?

ni issue zao wawili. sasa wewe wa tatu mimi ndio inawezekana haujui kitu

what if diamond hakutaka kwenda na alimwambia mpoto aandike ule ujumbe? ili avutike

ni wasanii wale
 
Afadhali mvua imenyesha joto lilifika hatua mbaya sana[emoji4]
 
Kila kitu, wengi tu hata Lemutuz, hawakutegemea msiba wa Ruge ungekuwa wa kitaifa walitegemea majungu yao yangewaingia wananchi, ni kama nyoka kichaka kimechomwa wameamua kujitokeza. kama alikuwa mbaya na hana thamani mbele yake leo why ajitokeze?
Ulisema alimfedhehesha sana kipindi yupo hai. Alimfedhesha vipi?!
 
yaani post ya mpoto ndio umeandika maneno meeengi kama haya

ilikuuma?? wewe ni nani kwa diamond?

ni issue zao wawili. sasa wewe wa tatu mimi ndio inawezekana haujui kitu

what if diamond hakutaka kwenda na alimwambia mpoto aandike ule ujumbe? ili avutike

ni wasanii wale
Nonsense! Na wewe ni nani hadi unipangie cha kuandika?!
 
Ulisema alimfedhehesha sana kipindi yupo hai. Alimfedhesha vipi?!
Matendo yake hata maneno aliyokuwa anayarusha kwenye mitandao, na wakati clouds wamefungiwa fiesta yeye alikuwa anafanya onesho la wasafi alirusha clip instagram akicheka kicheko cha kebehi wenye akili walielewa alichokuwa anafanya.
 
Back
Top Bottom