Watanzania ni wasahaulifu sana, baada ya lori kupata ajali, watu wanachota mafuta

Watanzania ni wasahaulifu sana, baada ya lori kupata ajali, watu wanachota mafuta

itakiamo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
893
Reaction score
1,739
Kuna ajali ya lori la mafuta imetokea hapa Mzambarauni , Morogoro.

Kitu kilichonishangaza ni uwepo wa watu ambao wamejiandaa kabisa kwa kuchota mafuta wakati si miaka mingi naeneo hayo hayo palitokea vifo halaiki kutokana na moto August 2019.

Wakuu,

Lori la mafuta lenye usajili T 257 EAU limepata ajali asubuhi ya leo maeneo ya Mzambarauni, Manispaa ya Morogoro, likisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Njombe.​

Kufuatia ajali hiyo, wananchi walifurika kuchota mafuta, hali iliyozua taharuki kutokana na kumbukumbu ya ajali kama hiyo iliyotokea miaka mitano iliyopita na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, likishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, lilifanikiwa kudhibiti hali hiyo.

Mrakibu Msaidizi Daniel Ibrahim Myalla amewaonya wananchi dhidi ya kukimbilia kuchota mafuta kwenye ajali kama hizi, akisisitiza kuwa ni hatari na inaweza kusababisha mlipuko na vifo.
 
Kuna ajali ya lori la mafuta imetokea hapa Mzambarauni , Morogoro.
Kitu kilichonishangaza ni uwepo wa watu ambao wamejiandaa kabisa kwa kuchota mafuta wakati si miaka mingi naeneo hayo hayo palitokea vifo halaiki kutokana na moto August 2019
Watanzania wote ni wasahaulifu?
Ujinga na upumbavu ni asili ya mwanadamu.
Pamoja na maambukiz ya UKIMWI kua juu,ni watu wangapi wanatombana,ku.firana na kunununua Malaya bila CONDOM?
wanawazidi hao wachota mafuta?
 
Wakuu,

Lori la mafuta lenye usajili T 257 EAU limepata ajali asubuhi ya leo maeneo ya Mzambarauni, Manispaa ya Morogoro, likisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Njombe.

Kufuatia ajali hiyo, wananchi walifurika kuchota mafuta, hali iliyozua taharuki kutokana na kumbukumbu ya ajali kama hiyo iliyotokea miaka mitano iliyopita na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, likishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, lilifanikiwa kudhibiti hali hiyo.

Mrakibu Msaidizi Daniel Ibrahim Myalla amewaonya wananchi dhidi ya kukimbilia kuchota mafuta kwenye ajali kama hizi, akisisitiza kuwa ni hatari na inaweza kusababisha mlipuko na vifo.

 
wamejiandaa kabisa kwa kuchota mafuta wakati si miaka mingi naeneo hayo hayo palitokea vifo halaiki kutokana na moto August 2019.
Ile ajali iliondoka na vijana wengi sana wa pale stendikuu ya msamvu, stendi ilibaki tupu
 
Kuna ajali ya lori la mafuta imetokea hapa Mzambarauni , Morogoro.

Kitu kilichonishangaza ni uwepo wa watu ambao wamejiandaa kabisa kwa kuchota mafuta wakati si miaka mingi naeneo hayo hayo palitokea vifo halaiki kutokana na moto August 2019.
Umaskini ni mbaya sana.. Hapo hawawazi hatari inayowakabili wanawaza faida watakayopata
 
Umaskini ni mbaya sana.. Hapo hawawazi hatari inayowakabili wanawaza faida watakayopata
Yeah. Na faida mojawapo ni kifo (sio kuungua) ili kwa hilo aachane na mahangaiko ya kila siku kuisaka riziki hapa duniani. Atapumzika milele.
 
Mtu akiwa na njaa haoni tabu kuweka rehani maisha yake
 
Back
Top Bottom