Watanzania ni Watu wanaopenda habari za Uzushi, Conspiracy theories na udaku

Interview ya CDF sio ya bahati mbaya. Ni ishara kuwa ukweli utakuwa wazi, utakuja vipande vipande ila naamini mwisho wa siku ABCs zote za kifo cha jiwe na zile siku 3 kabla ya kuapishwa SSH zitakuwa wazi.

Jana lakini ni kumbukumbu ya kifo cha Jpm hivyo maelezo kama hayo ni kawaida kwa siku kama ya jana
 
siyo watanzania ni miongozo ya kiulimwengu katika kustawisha dola uongo huwa ni mwingi kuliko ukweli na kwa bahati mbaya akili inapenda mambo yaloyopita au yajayo kwani huwa hayana mashiko kwa muda huo.

ukweli una athari kubwa watu tusingesalimiana na tungerudi kwenye pre social contract era.
 
Dotto magari anasemaje πŸ˜„

Mange kimambi akisema amesema hakosei mange aisee
Ana data za ndani na za ukweli πŸ˜„
Ehe kigogo naye vp anasemaje naye mimi ndy namuaminia kigogo bana πŸ˜„

Ova

Huwezi washughulikia Watu kama kina Kigogo na Mange Wakati huna chakula cha kuwapa Watu wapenda Udaku.

Udaku unasaidia pia kuwa-keep busy Watu wasio na kazi ili wasiwaze mambo ya msingi kama katiba na nchi yao
 

Kikawaida Ukweli hauna faida kwa sababu mara nyingi ni out of our expectations
 
Akili kubwa zinaongelea maendeleo.

Akili za kawaida zinaongelea matukio.

Akili mbovu zinaongelea watu.
 
Dunia nzima wanapenda habari kama hizo siyo bongo peke yake sababu duniani watu wajinga ni wengi kuliko werevu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Binafsi nafikiri kuhoji hoji na kudadisi ni kitu kizuri, ila matumizi ya huu udadisi labda ndiyo siyo chanya.

Ukipata habari/taarifa baada ya kuchunguza unazifanyia nini, ndipo ilipo shida.

Ukitumia vizuri ndiyo tunapata vitu vinaitwa ujasusi/ ushushushu/ upelelezi. Majasusi wazuri ni watu wanaofuatilia kila detail including even eye gestures.
Kila detail kwenye upelelezi ina maana, hupaswi kupuuzia hata kikohozi na chafya.

Kukaa kindezi na kumeza kila jambo kama linavyoonekana ndiyo kinyume cha werevu, ni kutokujali, kutokutaka kiwajibika.
 
Kwa hiyo hutaki watanzania watumie bongo zao kufikiri, unataka wawe wazembe tu wanaosubiri kuletewa kila taarifa kama ilivyo?
Hahaaha haloo una kitu utafika mbali,Wabongo sie tuchoree picha tu caption kila mtu ataweka yake!
 
Nakumbuka ile mada yako ukijaribu kueleza namna mzee alivyo ondoka. Na ulisema kifua sijui kilibana akashindwa kupumua vizuri akaanguka n.k unaikumbuka? Wengine bado tunaikumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…