Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Bad News Sells
Kwa sababu zinafurahisha Watu wenye Chuki na roho ya hasidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bad News Sells
Interview ya CDF sio ya bahati mbaya. Ni ishara kuwa ukweli utakuwa wazi, utakuja vipande vipande ila naamini mwisho wa siku ABCs zote za kifo cha jiwe na zile siku 3 kabla ya kuapishwa SSH zitakuwa wazi.
Kwako mtibeli
Taifa limejaa watu wajinga haswa
Taifa limejaa wajinga ndomana waganga na manabii wachungaji mitume wanajipigia tuNaam
Dotto magari anasemaje 😄
Mange kimambi akisema amesema hakosei mange aisee
Ana data za ndani na za ukweli 😄
Ehe kigogo naye vp anasemaje naye mimi ndy namuaminia kigogo bana 😄
Ova
siyo watanzania ni miongozo ya kiulimwengu katika kustawisha dola uongo huwa ni mwingi kuliko ukweli na kwa bahati mbaya akili inapenda mambo yaloyopita au yajayo kwani huwa hayana mashiko kwa muda huo.
ukweli una athari kubwa watu tusingesalimiana na tungerudi kwenye pre social contract era.
Ndio dunia ilivyoKwa sababu zinafurahisha Watu wenye Chuki na roho ya hasidi
Ndiyo maana nchi inaangamiaUdaku mtamu Mkuu
Akili kubwa zinaongelea maendeleo.Kwema Wakuu!
Jadili Chozi la CDF Mstaafu Mabeyo litolee ufafanuzi kana kwamba unajua alichokuwa anafikiri. Fafanua na elezea tabasamu na kila cheki lake na maana iliyojificha. Kwa kina onyesha jinsi body language yake inavyokinzana na anachozungumzia, hakikisha unaeleza uongo mtamumtamu unaopatana na akili za Watanzania kuhusu habari zilizofichwa ambazo watanzania wengi hata kabla hawajaambiwa huwa na hizo habari akilini.
Watanzania wanapenda assumption, imagination, fiction stories, ndio maana ukiwa mbobevu kwenye hayo mambo kwa hapa Tanzania lazima utoboe. Wachungaji wa kileo wengi washasoma saikolojia ya Watanzania, wanasiasa, waganga, biashara ya michezo ya kubahatisha itazidi kustawi na kushamiri kutokana fikra za Watanzania.
Ukishakuwa Star Tanzania ni rahisi kuwaendesha Watanzania vile unavyotaka. Unaweza ukawapa cha kuzungumza wakakizungumza mwezi mzima.
Mange Kimambi, Kigogo kigogo, ni miongoni mwa Watu walioweza kutumia fikra za Watanzania.
Tanzania unaweza ukavaa tuu nguo yenye fuvu la kichwa au pete yenye fuvu la kichwa na ukishakuwa na pesa ya kubadilisha mboga utatungiwa stori za uzushi mara wewe Freemasonry mara sijui kitu gani. Watanzania hawapendi Ukweli. Na ukiwa umesimama mbele ya mtu unayemjua ni Mtanzania hata kama una ukweli wa jambo usimwambie kwa sababu hatakuamini. Mtanzania ni rahisi kuamini uzushi na udaku kuliko kuamini UKWELI.
Hata hivyo haishangazi kwa sababu ukweli mara nyingi(sio zote) Hauna Faida, na Pia ukweli kikawaida unakatili sana. Ukweli ni uhalisia. Na mwanadamu hasa Mtanzania hapendi Uhalisia (ukweli).
Mimi nimemaliza.
Ndio Dunia na Watu wake walivyo.Uzushi
Taifa limejaa wajinga ndomana waganga na manabii wachungaji mitume wanajipigia tu
Ova
faida ipo kubwa sana bila ya uongo kila siku watu wangekuwa barabarani kakaKikawaida uongo hauna faida kwa sababu mara nyingi ni out of our expectations
Binafsi nafikiri kuhoji hoji na kudadisi ni kitu kizuri, ila matumizi ya huu udadisi labda ndiyo siyo chanya.Dunia nzima wanapenda habari kama hizo siyo bongo peke yake sababu duniani watu wajinga ni wengi kuliko werevu
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ndio Dunia na Watu wake walivyo.
Ona vile vitabu vyako vya kijasusi,😂😂😂, ukiweka na picha na namba ya simu, imetoka hiyo...😅
faida ipo kubwa sana bila ya uongo kila siku watu wangekuwa barabarani kaka
Hahaaha haloo una kitu utafika mbali,Wabongo sie tuchoree picha tu caption kila mtu ataweka yake!Kwa hiyo hutaki watanzania watumie bongo zao kufikiri, unataka wawe wazembe tu wanaosubiri kuletewa kila taarifa kama ilivyo?