Watanzania popote tulipo tujichangishe ili tumpe Tuzo ya Ujasiri Mange Kimambi

kama ana watu 1.4m wakitoa nusu tu ni 35biloni
wakitoa robo ni 17.5 bilioni
wakitoa basi robo ya robo ya viwers wake ni 4 bilion
wakitoa laki tu 6 bilioni
Mwanzo walikua 2mil+,
Hao wengine wameenda wapi??
 
Wasiwasi wangu ni kwamba hapo ulipo utakuwa umepakatwa sasa unahisi wanaume wote wanatabia kama zako
Siku wahi kujua kwamba account hii ni ya Dada Jane..aka..Gentamycine almaarufu kama kilainishi..

Kilicho kuwasha na kukupekenyua pamchonyo ni nini mpaka ukimbie chupi mkononi kujibu wanaume ?

Acha mambo ya kishamba!

Dada Jane Ids zako zote zina Mushkeli..Gentamycine ni kilainishi..JimyChoko nayo unatupa majibu pasi maswali!

Hakika wanaume tumebaki wachache..yani hata wewe una danga mtandaoni?

mavi kunuka!
 
Hata maandishi yako yanadhihirisha kitu kimo ndani
 
Mkuu;
Naona unamdanganya mke wa mtu awaache watoto wake kwenye shida kisa ni kuja kuchukua hela ya madafu ambayo haikuweza kumsaidia Lissu hapo Nairobi. Huyu mdada haruhusiwi kufika hata Cairo au Capetown.
Unamtakia mabaya yote hayo kakufanyani??
 
!
!
Kwa wale wote tulikuwa tunatumia mange kimambi taarifa mbalimbali na kumwambia ficha I'D yangu kwa kweli tuanze Kujipanga. Kama ni kweli aisee ni sheedah teh teh teh
 
Mdau snitch kingesee yaani
 
binafsi mie nampenda yes alitutukania EL lakini nampenmda hvyo hvyio !weng hawamuelew mange kwasababu ya lugha kali
 
Huyo dada ni jasiri. Lkn nimshali binafsi awe makini kwa kweli. Maaana hivi juzi juzi kamanda...... Aliwepo kwa nchi jirani yenye tabia ya kuuwa wapinzani walio hata nje ya mipaka ya nchi. Nilistuka mno. Kwa hiyo achukue tahadhari. Ametengeneza maadui wengi kwenye huo ujasiri wake. Ambao wanauwezo wa kumfikia huko aliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…