Watanzania popote tulipo tujichangishe ili tumpe Tuzo ya Ujasiri Mange Kimambi

Watanzania popote tulipo tujichangishe ili tumpe Tuzo ya Ujasiri Mange Kimambi

Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.

Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.

Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.

Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.

Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.

Nawasilisha.


Duh! Mtu anayeishi third World Tanzania, achange fedha kumpelekea mtu anayeishi first World USA, I mean, GDP per capital TZ 1000 USD vs GDP per capital USA 50 000 USD!
 
Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.

Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.

Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.

Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.

Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.

Nawasilisha.
WEWE una lolote,umebadilisha gear angani baada ya kusikia Mange bado anayo account yake and its up and running-umemsema vibaya and you know she is gonna come for your ass-si unamjua yeye ufukua mpaka kaburi la great grandfather na by the time amemaliza na wewe anaacha mgogoro mkubwa katika ukoo-revelations zake lazima ziwasambaratishe
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] watu mnahela aisee pomoja na hali ilivyokua ngumu kuna baadhi ya watanzania wanalala njaa hawajui kesho yake wataamka vp halaf upande mwingne watu mnamawazo ya kumchangia mtu 50000 tena unapendekeza ipatikane bilion 1 au 2 apewe mtu aishie USA anauhakika na maisha yake ....mambo mengne kabla ya kutoa post muwe mnajifikiria kidogo

Usilolijua ni sawa na usiku wa Giza na Mtu anahitaji ' upeo ' mkubwa sana kuweza kumjua na kumuelewe vizuri GENTAMYCINE. Pole sana Mkuu ila narudia tena kusema siku zote ' usilolijua ni sawa na usiku wa Giza '. Kazi Kwako.
 
Victoire njoo huku GENTAMYCINE anakusema

Sema umenichekesha sana leo umeunga mkono kuponda halafu ilivyorudi hewani ukarudi nayo ama kweli wewe unatoka puerto rico

Huyo ndiyo GENTAMYCINE inahitaji ' akili ' nyingi mno kuweze kumuelewa ipasavyo vinginevyo atakuchanganya hadi kukufanya uwehuke / uchizike bure!
 
Kwa kweli Dada huyu hata mm amenivumbua mambo mengi sana juu ya serikali hii yaliyokuwa nyuma ya pazia wanayaficha na ktk hali ya kawaida ni ngumu kuyajua...[emoji120] [emoji120]
Tatizo avatar yako sasa unakata mti huku umeukalia
 
WEWE una lolote,umebadilisha gear angani baada ya kusikia Mange bado anayo account yake and its up and running-umemsema vibaya and you know she is gonna come for your ass-si unamjua yeye ufukua mpaka kaburi la great grandfather na by the time amemaliza na wewe anaacha mgogoro mkubwa katika ukoo-revelations zake lazima ziwasambaratishe

Umemaliza au bado?
 
Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.

Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.

Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.

Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.

Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.

Nawasilisha.
we Lumumba buku 7 zama hizi kumpenda Mange ni sawa na magu kumpenda Lissu
 
Kama kuna anayemuamini Mange, asubiri Magufuli aajichanganye halafu amteue Wema kuwa Mbunge au nafasi yoyote ile kisha turudi tena hapa!!!

Wanaomsifia Mange ni wageni wa social media na wameanza kumfahamu huyu mama (mwenyewe nadhani angependa aitwe huyu dada) baada ya JPM kuingia madarakani.

Mange huyu huyu ambae hata Makonda alipotaja orodha ya "wauza" mihadarati alimshangilia kweli kweli kwa sababu tu walitajwa wabaya wake lakini siku alivyotajwa Wema Sepetu ikawa nongwa!!!!
 
we Lumumba buku 7 zama hizi kumpenda Mange ni sawa na magu kumpenda Lissu

Sijawahi kuona Mtu mwenye ' akili ' za ' Kutukuka ' kama Wewe Mkuu. Ama hakika Siku zote ' usilolijua ni sawa na usiku wa Giza '.
 
Kiukweli hela ya mchango sitokuwa nayo ila Mange angejua nnavyompenda aisee mngempa zawadi ya mimi apa
 
Back
Top Bottom