Watanzania popote tulipo tujichangishe ili tumpe Tuzo ya Ujasiri Mange Kimambi

View attachment 611076

manaharakati alimchangishia lisu maelfu ya dollars leo lissu kaamka na kaanza mazoez aibu kuu kwa wale wasiojulikana
Na muda huu mh kamanda wa anga aka asiyenunulika anamwaga sumu ofisi kuu ya chama mtaa wa ufipa kuhusu hali na mwenendo wa Rais wa sheria tanzania.... [HASHTAG]#Pray4Lissu[/HASHTAG]
 
Tatizo kuu la Mange hayuko focused ....akikuchukia kwa kumnyima ugali atakutukana hadi unavyotembea ....kitu kimoja ambacho vijana wetu wengi ni vipofu ni kushangilia kila anayemponda wasiyempenda ....mbaya zaidi hawajifunzi ....waliokuwa wanamponda Kikwete sio wanaomponda JPM ....waliosimama na Kikwete kama akina Wassira tuliwachukia kupitiliza lakini leo bila aibu tunawaona mashujaa kwasababu wamesema tunayopenda kusikia ....hamtoifuta CCM namna hii ....JPM atatawala 10yrs then atashinda mtu mwingine wa CCM for SURE ...another 10yrs ....20yrs without changing any strategies CCM itakuwepo tu .....kama mtaendelea kuruhusu gia za angani bila kuhoji ni kuruhusu kuwa wapinzani wa kudumu (pengine ni faida kwa wengine) ...
 
B
Inaf
Binafsi cwez kufanya huo upuuzi hata ingekua 500,kasaidia nn matusi au?!
 
So sad
 

ndio maana mange anamponda sana zari kumbe mange ovyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…