Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Ha ha haaa 'da Mange siyo!!'Wewe mchaga acha roho mbayaa
Lazima tumchangie da Mange
Huwa nacheka nikutapo umeandika hivyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaa 'da Mange siyo!!'Wewe mchaga acha roho mbayaa
Lazima tumchangie da Mange
Na muda huu mh kamanda wa anga aka asiyenunulika anamwaga sumu ofisi kuu ya chama mtaa wa ufipa kuhusu hali na mwenendo wa Rais wa sheria tanzania.... [HASHTAG]#Pray4Lissu[/HASHTAG]View attachment 611076
manaharakati alimchangishia lisu maelfu ya dollars leo lissu kaamka na kaanza mazoez aibu kuu kwa wale wasiojulikana
Watanzania gani unao zungumzia hapa kumbuka hata wanao tukanwa ni watanzania
InafNahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.
Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.
Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.
Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.
Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.
Nawasilisha.
Binafsi cwez kufanya huo upuuzi hata ingekua 500,kasaidia nn matusi au?!Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda hadi nahisi Kuchanganyikiwa aitwae Mange Kimambi anayeishi huko Majuu / Mamtoni / Marekani.
Kwakweli anafanya Kazi kubwa sana ya Kupambana na Serikali ili kuweza kutukomboa Sisi Watanzania kutokana na Rasilimali zetu kuibiwa na Wajanja wachache lakini pia anasaidia mno kutupa Sisi taarifa Nyeti ambazo tulikuwa hatuzijui kuhusiana na kinachoendelea Tanzania hasa Serikalini.
Napendekeza kila Mtanzania achangie Shilingi Elfu 50 ( 50,000/ Tsh ) ili angalau hata ikipatikana Bilioni 1 au 3 hivi tuweze kumuuliza Mange Kimambi anataka Zawadi gani hasa kutoka Kwa Sisi Watanzania tunaompenda ila hasa hasa Mimi GENTAMYCINE ninayempenda kuliko kitu kingine chochote kile ili aweze kuendelea kutunyofolea ' Siri ' za Serikalini kama kawaida yake.
Kuna Watu wabaya leo ( siyo GENTAMYCINE ) wamemzushia vibaya kuwa sijui kuna ' tatizo ' limemkumba naomba sana washindwe na walegee popote walipo kwani hao hawana nia nzuri kabisa na Mange Kimambi wetu. Walaaniwe vibaya sana wale wote ambao walishabikia na kupayukia kuwa ' Akaunti ' ya Mange Kimambi imefungwa kwani hao ndiyo maadui wakubwa wa Tanzania yetu hii.
Mange Kimambi apewe Tuzo / Zawadi jamani.
Nawasilisha.
So sadyaani mimi hata ya kula ni kizungumkuti leo nichangie tena mtu diaspora tena alienda kwa miguu yake isitoshe si mgonjwa!!!!!....watu wa thread kama hizi utakuta mama yake kijijini ni mgonjwa hata hela ya panadol hana lkn yupo radhi ampotezee yeye bora mange apate bilioni
IndeedB
Inaf
Binafsi cwez kufanya huo upuuzi hata ingekua 500,kasaidia nn matusi au?!
Kama kuna anayemuamini Mange, asubiri Magufuli aajichanganye halafu amteue Wema kuwa Mbunge au nafasi yoyote ile kisha turudi tena hapa!!!
Wanaomsifia Mange ni wageni wa social media na wameanza kumfahamu huyu mama (mwenyewe nadhani angependa aitwe huyu dada) baada ya JPM kuingia madarakani.
Mange huyu huyu ambae hata Makonda alipotaja orodha ya "wauza" mihadarati alimshangilia kweli kweli kwa sababu tu walitajwa wabaya wake lakini siku alivyotajwa Wema Sepetu ikawa nongwa!!!!
Mond ndio uchafu gani???Nyoko tu inakuaje amchambe adi mond kisa hakumfata apo tu ndo nimemchukia