Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kwa hiyo wenye UHAKIKA na mlo mmoja wako tu UPINZANI?!!!Wakati huohuo wengi wao hawana hata uhakika wa kupata mlo angalau mmoja kwa siku
Bora kuchangia elf 12 tu kwa mwaka ili zisaidie kujenga shule kwa faida ya watoto wetu, zijenge hospital kwa faida ya afya zetu, zijenge barabara kwa ajili wa wakulima na wafanya biashara wa mjini na vijijini. Kuliko kukatwa milioni 1 kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitano afu hela zinakwenda kuliwa Dubai na mwenye chama.Kwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....
Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Ha ha ha ha ha 🤣🤣🤣🤣Bora kuchangia elf 12 tu kwa mwaka ili zisaidie kujenga shule kwa faida ya watoto wetu, zijenge hospital kwa faida ya afya zetu, zijenge barabara kwa ajili wa wakulima na wafanya biashara wa mjini na vijijini. Kuliko kukatwa milioni 1 kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitano afu hela zinakwenda kuliwa Dubai na mwenye chama.
View attachment 1901442
Bado KODI ya KUZIKA INAKUJA ili kupata Eneo la kuchimba kaburiWatanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
View attachment 1901401
Hii ndo inaitwa "dunia hadaa, walimwengu shujaa". Mdude na mwenzake Pambalo wamehadaiwa na shujaa wa siasa za uongo. Kwahiyo acha waendelee kula vumbi, huku familia ya mwenyekiti ikiendelea kula bata huko afrika ya kusini kwa mzee MandelaHa ha ha ha ha 🤣🤣🤣🤣
KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO........
Familia ya huyo BWANA wanakula "BATA" tu huku akina MDUDE NYAGALI NA PAMBALU wakisilubika KIZWAZWA+KIPOYOYO......
Akili ni nywele.....
Wapinzani walituchelewesha sanaaaaWatanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
View attachment 1901401
Swadakta.....Hii ndo inaitwa "dunia hadaa, walimwengu shujaa". Mdude na mwenzake Pambalo wamehadaiwa na shujaa wa siasa za uongo. Kwahiyo acha waendelee kula vumbi, huku familia ya mwenyekiti ikiendelea kula bata huko afrika ya kusini kwa mzee Mandela
Nawasikitikia sana wale waliokubali kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao dah...Swadakta.....
Unamuona tu mtu alivyo hadaa waziwazi halafu UNAHADAIKA kwa "UNDWANYWE NA UHOBO WAKO"....hapo kweli tunasema DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA.....
Waache tu wenzao wale "bata" huko kwa mzee MADIBA......
Mkuu Uzi huu unakasoro rekebisha! Maanake tozo zipo nyingi mfano: kodi ya majengo kwenye luku, tozo ya miamala kweye simu kuongezeka kwa bei ya gesi na mafuta ya kupikia na kadhalika.Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
View attachment 1901401
Mama anaupiga mwingi!
Mamaa anawakomesha mataga sukuma gang na kufuata legacy
Mamaa anafungua nchi
Mama anarudisha hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota!
Mamaa anatufuta machozi baada ya kuonewa sana na mwendazake. Sasa tunapumua, tuna uhuru wote!
Bashiru na Polepole wana kiona cha moto.
Mkuu kwa hayo uliyo yaongeza tayari ushauboresha uziMkuu Uzi huu unakasoro rekebisha! Maanake tozo zipo nyingi mfano: kodi ya majengo kwenye luku, tozo ya miamala kweye simu kuongezeka kwa bei ya gesi na mafuta ya kupikia na kadhalika.
Kwa hivyo wewe uSema: umezaa utawala mpya umezaa matozo.
Tunarudi kwenye kodi ya kichwaBado KODI ya KUZIKA INAKUJA ili kupata Eneo la kuchimba kaburi
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko weweHii ndo inaitwa "dunia hadaa, walimwengu shujaa". Mdude na mwenzake Pambalo wamehadaiwa na shujaa wa siasa za uongo. Kwahiyo acha waendelee kula vumbi, huku familia ya mwenyekiti ikiendelea kula bata huko afrika ya kusini kwa mzee Mandela
Mkuuu, wakati mwingine ni bora tupitie haya ili zile propaganda za kijima kua "wapinzani wanatuchelewesha" zisipate nafasi.Sasa hivi tukiwa na bunge la chama kimoja ndiyo tunazidi kudidimia chini ya kina cha giza totolo
Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe
Leo ni tar 21/08/2021 sio 01/01/1999 mdogo wang. Ogopa sana watanzania wa miaka hii. Maana wengi wanaufahamu mkubwa wa mambo ya siasa na maendeleo ya nchi yao ukilinganisha na wale wa enzi zile miaka ya 1999Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe
Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe
Wengi wana ufahamu mkubwa sana isipokuwa wewe ambaye bado unatetea ujinga wa ccmLeo ni tar 21/08/2021 sio 01/01/1999 mdogo wang. Ogopa sana watanzania wa miaka hii. Maana wengi wanaufahamu mkubwa wa mambo ya siasa na maendeleo ya nchi yao ukilinganisha na wale wa enzi zile miaka ya 199