Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Wakati huohuo wengi wao hawana hata uhakika wa kupata mlo angalau mmoja kwa siku
Kwa hiyo wenye UHAKIKA na mlo mmoja wako tu UPINZANI?!!!

BINADAMU AMEUMBWA KUTAFUTA CHAKULA kabla ya PANDE LA ARDHI KUITWA NCHI....KABLA YA UJAJI WA VYAMA VYA SIASA.......
 
Kwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....

Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!

#NchiKwanza
#KaziIendelee
Bora kuchangia elf 12 tu kwa mwaka ili zisaidie kujenga shule kwa faida ya watoto wetu, zijenge hospital kwa faida ya afya zetu, zijenge barabara kwa ajili wa wakulima na wafanya biashara wa mjini na vijijini. Kuliko kukatwa milioni 1 kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitano afu hela zinakwenda kuliwa Dubai na mwenye chama.

2528007_20200919_173148.jpg
 
Bora kuchangia elf 12 tu kwa mwaka ili zisaidie kujenga shule kwa faida ya watoto wetu, zijenge hospital kwa faida ya afya zetu, zijenge barabara kwa ajili wa wakulima na wafanya biashara wa mjini na vijijini. Kuliko kukatwa milioni 1 kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitano afu hela zinakwenda kuliwa Dubai na mwenye chama.

View attachment 1901442
Ha ha ha ha ha 🤣🤣🤣🤣

KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO........

Familia ya huyo BWANA wanakula "BATA" tu huku akina MDUDE NYAGALI NA PAMBALU wakisilubika KIZWAZWA+KIPOYOYO......

Akili ni nywele.....
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Bado KODI ya KUZIKA INAKUJA ili kupata Eneo la kuchimba kaburi

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ha ha ha ha ha 🤣🤣🤣🤣

KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO........

Familia ya huyo BWANA wanakula "BATA" tu huku akina MDUDE NYAGALI NA PAMBALU wakisilubika KIZWAZWA+KIPOYOYO......

Akili ni nywele.....
Hii ndo inaitwa "dunia hadaa, walimwengu shujaa". Mdude na mwenzake Pambalo wamehadaiwa na shujaa wa siasa za uongo. Kwahiyo acha waendelee kula vumbi, huku familia ya mwenyekiti ikiendelea kula bata huko afrika ya kusini kwa mzee Mandela
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Wapinzani walituchelewesha sanaaaa
 
Hii ndo inaitwa "dunia hadaa, walimwengu shujaa". Mdude na mwenzake Pambalo wamehadaiwa na shujaa wa siasa za uongo. Kwahiyo acha waendelee kula vumbi, huku familia ya mwenyekiti ikiendelea kula bata huko afrika ya kusini kwa mzee Mandela
Swadakta.....

Unamuona tu mtu alivyo hadaa waziwazi halafu UNAHADAIKA kwa "UNDWANYWE NA UHOBO WAKO"....hapo kweli tunasema DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA.....

Waache tu wenzao wale "bata" huko kwa mzee MADIBA......
 
Swadakta.....

Unamuona tu mtu alivyo hadaa waziwazi halafu UNAHADAIKA kwa "UNDWANYWE NA UHOBO WAKO"....hapo kweli tunasema DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA.....

Waache tu wenzao wale "bata" huko kwa mzee MADIBA......
Nawasikitikia sana wale waliokubali kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao dah...
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Mkuu Uzi huu unakasoro rekebisha! Maanake tozo zipo nyingi mfano: kodi ya majengo kwenye luku, tozo ya miamala kweye simu kuongezeka kwa bei ya gesi na mafuta ya kupikia na kadhalika.
Kwa hivyo wewe uSema: umezaa utawala mpya umezaa matozo.
 
Kama unapenda wafu, nenda kazikwe naye. Tumekwisha msahau huyo. Ameoza sasa. Naona kila ukiposti unam miss hayati!! Get used to it. Hatorudi kamwe dikteta. Tujadili ya sasa na yajayo. Love it, hate it.
Mama anaupiga mwingi!

Mamaa anawakomesha mataga sukuma gang na kufuata legacy

Mamaa anafungua nchi

Mama anarudisha hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota!

Mamaa anatufuta machozi baada ya kuonewa sana na mwendazake. Sasa tunapumua, tuna uhuru wote!

Bashiru na Polepole wana kiona cha moto.
 
Mkuu Uzi huu unakasoro rekebisha! Maanake tozo zipo nyingi mfano: kodi ya majengo kwenye luku, tozo ya miamala kweye simu kuongezeka kwa bei ya gesi na mafuta ya kupikia na kadhalika.
Kwa hivyo wewe uSema: umezaa utawala mpya umezaa matozo.
Mkuu kwa hayo uliyo yaongeza tayari ushauboresha uzi
 
Hii ndo inaitwa "dunia hadaa, walimwengu shujaa". Mdude na mwenzake Pambalo wamehadaiwa na shujaa wa siasa za uongo. Kwahiyo acha waendelee kula vumbi, huku familia ya mwenyekiti ikiendelea kula bata huko afrika ya kusini kwa mzee Mandela
Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe
 
Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe

Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe
Leo ni tar 21/08/2021 sio 01/01/1999 mdogo wang. Ogopa sana watanzania wa miaka hii. Maana wengi wanaufahamu mkubwa wa mambo ya siasa na maendeleo ya nchi yao ukilinganisha na wale wa enzi zile miaka ya 1999
 
Leo ni tar 21/08/2021 sio 01/01/1999 mdogo wang. Ogopa sana watanzania wa miaka hii. Maana wengi wanaufahamu mkubwa wa mambo ya siasa na maendeleo ya nchi yao ukilinganisha na wale wa enzi zile miaka ya 1999. So mbadili mbinu na sera za kuwashawishi watu wenye akili, sio kuja kutapika ujinga hapa utafikiri hili ni jukwaa la watoto wa darasa la kwanza.
Afadhali kunguni anatumia sana akili kuliko wewe
 
Leo ni tar 21/08/2021 sio 01/01/1999 mdogo wang. Ogopa sana watanzania wa miaka hii. Maana wengi wanaufahamu mkubwa wa mambo ya siasa na maendeleo ya nchi yao ukilinganisha na wale wa enzi zile miaka ya 199
Wengi wana ufahamu mkubwa sana isipokuwa wewe ambaye bado unatetea ujinga wa ccm
 
Back
Top Bottom