Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Ukweli ni kwamba tulikuwa hakuna kitu kinatuleta pamoja kama nchi ndo maana hata maandamano yalikuwa haiwezekani.sasa wametuunganisha
 
Limezaa wizi mkuu,Wala sio tozo tena
 
Ukweli ni kwamba tulikuwa hakuna kitu kinatuleta pamoja kama nchi ndo maana hata maandamano yalikuwa haiwezekani.sasa wametuunganisha
Hata wale watu wa iraq na Afghanistan hawakuzaliwa na chuki kama ile ila ni kutoka kwa watawala
 
Mwigulu hana huruma kabisa kwa watanzania
 
Sisi Watanzania tutazoea tu...ndio hulka yetu
 
Hakuna mtu yeyote yule anaye zoea mateso

Sasa mtanzania ndio huyo mtu aliyekwishazoea mateso...

Kitendo tu cha kuwapa madaraka CCM kila mara, wakati huo huo kuwalalamikia kila mara ni dalili kuwa watanzania wamezoea shida zao
 
Sasa mtanzania ndio huyo mtu aliyekwishazoea mateso...

Kitendo tu cha kuwapa madaraka CCM kila mara, wakati huo huo kuwalalamikia kila mara ni dalili kuwa watanzania wamezoea shida zao
Naunga mkono hoja yako kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…