Watanzania tuchangamkie fursa kibao zitazokuja na DP-World

Mimi nimeshawapata CDC Group na wameshanambia Jumatatu kuna maafisa wao watawasiliana nami.

Kalaga baho.
Tupe mrejesho wa fursa za gas ya mtwara. Wakati ule tuliokuwa tunajua ni utapeli mlikuwa mnamwaga sifa za fursa hivi hivi. Leo hii yako wapi?
 
Manchester city, psg zinamilikiwa na waarbu manchester united nayo waarabu wanataka kuinunua. Kwa taarifa yako makampuni mengi makubwa ulaya wanahisa wakubwa ni waarabu
 
Baada
Baada ya miaka mitatu mpaka mitano tutajua Kati ya wewe na huyu uliyemjibu nani alienda shule kusomea ujinga.
Time is a perfect judge after God.
 
Manchester city, psg zinamilikiwa na waarbu manchester united nayo waarabu wanataka kuinunua. Kwa taarifa yako makampuni mengi makubwa ulaya wanahisa wakubwa ni waarabu
Ni kweli na ni kwasababu ya mafuta waliyokuwa nayo ila wazungu watakapokuja kufanikiwa kuondokana na matumizi ya mafuta 2035 kama wanavyosema basi itakuwa mwisho wa utajiri wa waarabu.
Akili tu mtu wangu.
 
Bahati nzuri Jamii forums inatunza! Mungu akituweka usishangae Mwaka 2030 au kabla ya 2040 tuna kesi na DP world

Vi reply Kama hivi uwa ni vya kutunza!
Anaweza kuja Rais Mwingine akaona kuna risk ndani yake akatengua

Britanicca
Naomba sana atokee mtu kama muendazake, pachafuke kama miaka 5 mingine
 
Manchester City, PSG na Manchester United siyo mashirika ya ummah bali vilabu vya mpira.
Bro tusubiri 3 to 5 years to come, Hawa ndugu za waarabu watakimbia if hili wazo halitoenda perfectly kama walivyoplan.
Muda ni hakimu mzuri baada ya Mungu.
 
Nakuheshimu sana wewe bibi, lakini nakuona unazeeka vibaya.
 
Yana underperfom ukilinganisha na nani ?
Kwani hii ni mara ya kwanza ubinafsishwaji unafanyika Tanganyika chini ya kivuli cha kuongeza ufanisi ?

Ukilinganisha na potential yake.

Huu sio ubinafsishaji ni uwekezaji rather.

NMB inafanya vizuri hadi leo baada ya kubinafsishwa wakati ilikua imekufa technically.

Bandari inahitajia trillions of TSH kufanyiwa renovation nyie mnatoa wapi kama zaidi ya bajeti ya nchi ni hela toka nje? Kampuni gani ya ndani yenye ukwasi wa kuwekeza kwenye bandari?

I'm not against kurekebisha mkataba ila kuogopa uwekezaji/ubinafsishaji kisa kuogopa makampuni ya nje ni ujinga grade A1.
 

Jadili mambo kama mature person..
Kama mkataba WA kinyonyaji siwezi unga mkono....usi assume nawaunga mkono sababu za dini eti.. please kuwa mature kidogo...
Nawaunga mkono under assumptions mkataba wetu Una masilahi kwetu kama ilivyo Kwa UK na wengine ..
Thread closed.
 
Mkuu don't waste your time na huyo kikojozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…