Watanzania tuchukue tahadhari ya Corona. Jirani zetu Kenya hali ni tete haspitali zimezidiwa wagonjwa

Tz hakuna "kolona"!

Tujadili tena baada ya wk 2 mpaka mwezi
 
Tunakumbushana tu hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mikusanyiko ya kila aina na majirani wa nchi jirani wanavuka mipaka kuja kuhani msiba huu mkubwa tulionao.

Tafadhali tuchukue tahadhari wenzetu Kenya hali ni tete!
Ama kweli nyani haoni kundule
 
Kenya ni Europe ile acha wakutane na mziki wa cd laki tatu.
Wao si waingereza bwana acha wapambane na mdudu jeuri Covid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…